Hali si shwari kati ya Hussein Mwinyi na Othman Masoud. Hawaelewani kuhusu suala la Muungano

Hali si shwari kati ya Hussein Mwinyi na Othman Masoud. Hawaelewani kuhusu suala la Muungano

Kwani kutaka kuvunja muungano ni kosa ?

Kwa nini mnatulazimishia Muungano?

Wewe Mtanganyika unafaidika nini na kakisiwa landless kale ka Zanzibar ??????
Mimi ni Mtanganyika, ila wanafki wa Tanganyika wakikujibu nitag, huwezi kujibiwa hili.
 
Kwani kutaka kuvunja muungano ni kosa ?

Kwa nini mnatulazimishia Muungano?

Wewe Mtanganyika unafaidika nini na kakisiwa landless kale ka Zanzibar ??????
Nadhani umesoma lakini hukuelewa

Rudi katika bandiko langu, hakuna mahali nimesema kuvunja muungano ni kosa
Nilichosema ni kuwa '' hoja ya akina OMO ya mkataba ililenga kuvunja muungano'' Kwa maneno mengine nachambua mantiki ya hoja yao . Nilienda mbali na kuonyesha kuwa hivi muungano wa mkataba ukoje!

Nikasema kulitokea tofauti kati ya Unguja ya akina Pandu na Pemba ya akina Maalim na OMO
Huu ni mtazamo unaweza kuukubali au kuukataa lakini huna uwezo wa kuzuia maoni ya watu

Ukisoma kitu jaribu kuelewa kwanza kabla ya kukimbilia katika key board.

Pili, hakuna mtu anawalazimisha muungano , mnaweza kuondoka leo mkawaambia Wazanzibar wajiuzulu nafasi zao serikali ya JMT kuanzia juu, mkakataza Wabunge wasije Dodoma, mkapitisha sheria BLW kwamba hamtaki muungano!

Tatu, Tanganyika haififidiki na chochote kwa uwepo wa Zanzibar ! zigo tu
 
Hizi kelele zote zinatengenezwa na wahizbu..nyie jamaa ni watu wa hovyo sana.

Kwa staili hiyo mnayoenda nayo nadhani mmeimis 2001


#MaendeleoHayanaChama
Nyie ni wezi tuu. Mnapenda sana vya dezo. Jengeni nchi yenu bara huko inawashinda nini?
 
Back
Top Bottom