Hali si shwari Msimbazi!

Huu nao ni USHAMBENGA km umbea mwingine. Mambo ya wadada hayo. WANAUME SISI NI KUPGA KAZ TUUU
 
Wewe utakuwa Haji Manara kwa nembo ya ID fake!
 
Mbna Nasikia Yule Mluo Kamwaga Mda Huu Kamwaga manyanga
 
uto tulia ww mambo ya ndani ya simba yanakuhusu nini
 
E Kamwaga ashamwaga manyanga huko..
Dadeki Mwamedi Tapeli wa kutupwa
 
Ligi ikianza tutajua wapi wanamigogoro na wapi hawana
 
Kuna taarifa zinaeleza ndani ya simba na Ezekiel kamwaga wametofaufiana na alikuwa tayari kujiuzulu nafasi hiyo ila now nadhani waandamizi wa simba wamemshauri hatakiwi kuachia ngazi kipindi hili kwani ataonesha dhahiri ndani ya simba kuna tatizo kubwa
 
Njaa ndio husababisha mambo yote haya amini nawaambieni.....
 
Acheni umbea

 
hiyo story upewa kijiwe ipi?😃
 
Hata mimi nimepita msimbazi jioni nikaona booonge la mpasuko. Kubwa jinga hawana nembo
mbona hueleweki unaposema hawana Nembo
hapo kinachotakiwa account ya Club isome zile 20B na hayo malipo ya kina Chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…