Hali si shwari Msimbazi!

Hali si shwari Msimbazi!

Kuna mpasuko mkubwa uliopo ndani ya simba hivi sasa. Kuna bomu kubwa sana linakuja kulipuka muda sio mrefu. Hiyo yote ni kwa ajili ya Boss kuuza wachezaji wawili na mpunga bado haujasomeka katika account ya klabu.

Wapo viongozi wenye hofu na wasiwasi kubwa sana juu ya biashara ya usajili ya msimu huu. Pia ndani humo humo wapo viongozi wanapingana mazima na uendeshaji wa klabu.

Ikumbukwe kuwa tangu Mo atangaze kuwa ameweka mpunga wa Bilioni 10, Akaunti ya klabu bado inasoma zero balance.
Chanjo zimeanza kufanya kwa kwa wana utopolo...uzi wa hovyo kabisa
 
Kuna mpasuko mkubwa uliopo ndani ya simba hivi sasa. Kuna bomu kubwa sana linakuja kulipuka muda sio mrefu. Hiyo yote ni kwa ajili ya Boss kuuza wachezaji wawili na mpunga bado haujasomeka katika account ya klabu.

Wapo viongozi wenye hofu na wasiwasi kubwa sana juu ya biashara ya usajili ya msimu huu. Pia ndani humo humo wapo viongozi wanapingana mazima na uendeshaji wa klabu.

Ikumbukwe kuwa tangu Mo atangaze kuwa ameweka mpunga wa Bilioni 10, Akaunti ya klabu bado inasoma zero balance.
Mkuu ww ni utopolo. Rudi kasome na ujue kufanya dadisi za maana. Mpunga unawekwa kwenye account ipi..?
 
Mkuu misri bado hawaja fungua dirisha la usajili. Inabidi wafiche ili kuendana na ratiba za ligi yao kule misri
Kama ni hivyo kwanini CAF itangaze mwisho wa kuwasilisha majina ya wachezaji iwe tarehe 15 August?
 
Kama ni hivyo kwanini CAF itangaze mwisho wa kuwasilisha majina ya wachezaji iwe tarehe 15 August?
Na kama watamtumia hatuwezi kuwapangia watu wa taasisi yao. Mipango na maamuzi ni yao ww ni mpokeaji wa kile unachokiona.
 
Mihela Sisi hatuna haja nayo , tulishamwambia MO abaki nayo tunachohitaji ni MAKOMBE TU ...! Sababu tunajua hicho ndicho mmekikosa Kwa Miaka 4 sasa na hakuna dalili Ya kuyapata MAKOMBE labda...labda....LABDA la MAPINDUZI...!
Gonga Like Kwa Hii Comment Fupi Halafu Chachu Kama Ukwaju Yaani Mate 😀😁😂🤣😃😄😅😄😃🤣😂😁😀🤣😃😄
Miaka Minne Vikombe!! Raha Sana
 
Kuna mpasuko mkubwa uliopo ndani ya simba hivi sasa. Kuna bomu kubwa sana linakuja kulipuka muda sio mrefu. Hiyo yote ni kwa ajili ya Boss kuuza wachezaji wawili na mpunga bado haujasomeka katika account ya klabu.

Wapo viongozi wenye hofu na wasiwasi kubwa sana juu ya biashara ya usajili ya msimu huu. Pia ndani humo humo wapo viongozi wanapingana mazima na uendeshaji wa klabu.

Ikumbukwe kuwa tangu Mo atangaze kuwa ameweka mpunga wa Bilioni 10, Akaunti ya klabu bado inasoma zero balance.
Tanzania sasa inakabiliwa na kizazi kinachopenda umbea, hira, unafiki na umasikini wa tumbo na mawazo. Kuleta uharo wako kama unachefeu watu bora ungeupeleka kwa bibi yako aliekurithisha uchawi
 
Kwa taarifa za ndani kabisa, msemaji wa familia ya METL atatoka na kutoa utaratibu wa kisheria wa jinsi ya kujitoa kwenye ufadhili wa timu hiyo ya simba

Kwani wamechoshwa na maneno maneno ya mashabiki wa simba
 
Ila hii mipasuko ndiyo itaisaidia Simba, maana wanafiki wote watajulikana.

Simba itaachana na kuajili Wana simba bali wataalamu wa kazi husika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom