Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Kama Manara alishindwa kuvumilia nina hakika kwa kamwaga litatokea tu, Huyu Ezekiel atamwaga mboga kama sio ugali muda wowotehiyo story upewa kijiwe ipi?😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Manara alishindwa kuvumilia nina hakika kwa kamwaga litatokea tu, Huyu Ezekiel atamwaga mboga kama sio ugali muda wowotehiyo story upewa kijiwe ipi?😃
Lisemwalo lipo kama halipo linakuja
[emoji3525][emoji3525]NI UZUNI KWAKWELI [emoji16][emoji16]
Asante kwa kunisahihisha NI HUZUNI KWAKWELI[emoji847]Kumbe ni “uzuni” tu.Ningesikitika kama ingekuwa huzuni[emoji3][emoji3][emoji3]
Utajili bila wizi na ujanja ujanja hutoboi.
MO ni mwizi sema anajificha kwa kigezo cha Kufadhili simba.
Ngoja tusubili..anaweza badilika
Mudy ni jambazi aliye na kibaliUtajili bila wizi na ujanja ujanja hutoboi.
MO ni mwizi sema anajificha kwa kigezo cha Kufadhili simba.
Ngoja tusubili..anaweza badilika
Sasa tufanyejeKuna mpasuko mkubwa uliopo ndani ya simba hivi sasa. Kuna bomu kubwa sana linakuja kulipuka muda sio mrefu. Hiyo yote ni kwa ajili ya Boss kuuza wachezaji wawili na mpunga bado haujasomeka katika account ya klabu.
Wapo viongozi wenye hofu na wasiwasi kubwa sana juu ya biashara ya usajili ya msimu huu. Pia ndani humo humo wapo viongozi wanapingana mazima na uendeshaji wa klabu.
Ikumbukwe kuwa tangu Mo atangaze kuwa ameweka mpunga wa Bilioni 10, Akaunti ya klabu bado inasoma zero balance.
Mmetumwa na manara nyieKibaya zaidi mashabiki hawana hili wala lile. 😂 😂
nyinyi ni kina nani mpaka mpewe taarifa kila mara na muda wowote?View attachment 1894987 mbona hueleweki unaposema hawana Nembo
hapo kinachotakiwa account ya Club isome zile 20B na hayo malipo ya kina Chama
yanga mngepambana na timu yenu. propaganda dhidi ya Simba hazitawasaidiaKuna taarifa zinaeleza ndani ya simba na Ezekiel kamwaga wametofaufiana na alikuwa tayari kujiuzulu nafasi hiyo ila now nadhani waandamizi wa simba wamemshauri hatakiwi kuachia ngazi kipindi hili kwani ataonesha dhahiri ndani ya simba kuna tatizo kubwa
Kuna taarifa zinaeleza ndani ya simba na Ezekiel kamwaga wametofaufiana na alikuwa tayari kujiuzulu nafasi hiyo ila now nadhani waandamizi wa simba wamemshauri hatakiwi kuachia ngazi kipindi hili kwani ataonesha dhahiri ndani ya simba kuna tatizo kubwa
Mimi nakupa hizo za ndani kabisa ambazo wewe hauna mkuuWewe jamaa kwa uongo huna mpinzani hapa jukwaani.Naona umekoma kutumia lugha ya Malkia kwa sasa [emoji3][emoji3]
Mimi nakupa hizi za ndani kabisa ambazo ww hauna mkuu na sio propaganda na tusubiri mvua inyeshe ili tuone panapovujayanga mngepambana na timu yenu. propaganda dhidi ya Simba hazitawasaidia
hizo za ndani mpelekee dada yako,mimi zinanisaidia niniMimi nakupa hizi za ndani kabisa ambazo ww hauna mkuu na sio propaganda na tusubiri mvua inyeshe ili tuone panapovuja
😀😀😀😀hizo za ndani mpelekee dada yako,mimi zinanisaidia nini