Uchaguzi 2020 Hali si shwari ndani ya CCM, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Bashiru Ally amekemea vikali baadhi ya wanachama wanaopanga kukisaliti chama

Mnalipwa bei gani kusambaza huu ujinga ? Chama chenye viongozi waliopitisha Mhujumu uchumi Deo Mwanyika na Mtekaji Ramadhan Ighondu kina uhalali upi wa kutaka watu wawe wehu ?

Mtu anayeshinda kwa waganga ana uhalali gani wa kutisha wengine ?
 
Yaani na ngonjera zote miaka mitano za Hapa Kazi Tu, hakuna rais aliyewahi kutokea Tanzania kama Magufuli, Magufuli ni mchapakazi, Magufuli ametumwa na Mungu, na utopolo wa aina hiyo, Bushiri hana aibu kabisa anakuja mbele ya wakulima kuwapa ahadi badala ya kuwathibitishia hapa kazi tu na uchapakazi wa Magufuli ulivyowanufaisha!!! Walikuwa preoccupied na kuua upinzani - nunua wabunge na madiwani, itisha chaguzi ndogo, nk na pesa ya mlipa kodi ikawa inateketea - ingeweza kuwekezwa kuongeza tija katika kilimo, ushirika, elimu, au afya. Wajukuu, vitukuu, na vilembwe wenu watakuja kuyatandika bakora kali makaburi ya akina bushiri na makufuli. Laana tupu!!!
 
Itakua alivyozomewa na wananchi kamuamua kuwafukuza viongozi wa chama
 
TL kawapagaisha. Mnasubiri adondoke afe lakini kama ambavyo Mungu hakupenda iwe kwa risasi, haitatokea.
 
Maccm hawana akili kabisa. Shida wanahangaika na viongozi wkt Wtz ndio hawawataki...

Wasisahau kua waliwekeza kwenye kununua wabunge na madiwani lkn bado watz hawataki jusikia kuhusu ccm
 
Mnalipwa bei gani kusambaza huu ujinga ? Chama chenye viongozi waliopitisha Mhujumu uchumi Deo Mwanyika na Mtekaji Ramadhan Ighondu kina uhalali upi wa kutaka watu wawe wehu ?

Mtu anayeshinda kwa waganga ana uhalali gani wa kutisha wengine ?
Bashiru atulize mshono, lichama lenyewe limeisha mshinda nadhani wakuokota makopo ni yeye.
 
Labda kama ni diwani wa Kipawa
Ha ha haa! Mkuu, tarabu aisee. Mbavu zangu zitalegea. Ha haa haa!
===
Narudi kwenye mada.
Kwa mujibu wa katiba ya CCM toleo la hivi karibuni, kila mwanachama awe kiongozi asiwe kiongozi awe anagombea uwakilishi kwenye ngazi yoyotea asiwe anagombea analojukumu la kufafanua vyema ilani ya Chama, mafanikio yaliyofiwa na chama matarajio ambayo Chama kinayo katika kudumisha mapinduzi ya kuimarisha maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla.

Mkuu, si diwani wa Kipawa tu ni kwa kila mwanaCCM anapaswa kuelezea mafanikio ya chama chake.
 
h
Hizi taarifa Membe anazo lakini?
 
Acha tu kuna yule Mfanyabiashara Ali Mufuruki, nasikia nae walikosana na Jiwe akamfanyizia
Bila kusahau wakina Rugemalila na mama wa mboga ( Tibaijuka ) mpaka akaacha siasa.

Wengine wahaya wengi wakina mwijage nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…