Tetesi: Hali tete Tanzania: Baraza la Maaskofu laandaa Waraka Mzito wa X-Mass

Tetesi: Hali tete Tanzania: Baraza la Maaskofu laandaa Waraka Mzito wa X-Mass

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya
Jiwe sasa litamung"unyuka
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya
Naamini busara itatumika sana hasa kuhusu maazimio ya EU...
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya
Lakini Rais ambaye analalamikiwa, ni Muumini wao wamnyime komonio.
 
Itakuwa hata sadaka kwenye nyumba za ibada zimepungua!!maana hii hali sio hali
 
Mababa Askofu tunawaomba mababa zetu msimame na sisi wananchi, hali ngumu baba zetu, tunaumia, tunanyanyasika, tusaidieni kumueleza ukweli huyu mzee wetu.

Najua amejitahidi kuwawekeni karibu ili kuwalainisha, amejitahidi kuwaiteni ili mkutane naye mara kadhaa, amejaribu kuwaiteni ili mshiriki uzinduzi wa Stiegle's , yote hii ili mlainike lakini nyinyi mkilainika sisi Twafa.

Mababa Askofu msituangushe, Ubaya haushindwi kwa kishindo kimoja, bali endeleeni kusukuma na kusukuma mpaka ubaya ushindwe.

Mababa askofu, simameni na wanyonge wa nchi hii.

Sisi hatutaki kile ambacho hawezi kutupa, sisi tunataka
1. Uhuru wa kujieleza waziwazi bila hofu ya kupotezwa
2. Tunataka haki za kisiasa kama zilivyoainishwa katika katiba na sheria ya vyama
3. Tunataka uwazi katika utendaji wa shughuli za serikali
4. Tunataka Demokrasia kwa mujibu wa katiba
5. Tunataka ulinzi na usalama wetu hatutaki watu kutekwatekwa
6. Tunataka haki katika chaguzi na si uonevu wa wakurugenzi na watangaza matokeo
7. Tunataka katiba mpya kama vile sisi kama Taifa tumeshakubaliana kuwa hii ya sasa haitutoshelezi

Hayo yangu ni machache tu mababa askofu. Tafadhali sana nawaombeni myasimamie hayo
 
man_earnestly_praying-transparent.gif

Watumiahi wa mungu tunasubiri.
man_earnestly_praying-transparent.gif
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
Dawa ya jiwe ni kuwa na tume huru ya uchaguzi. 2020 ungekuwa mwisho wake, ila kwa hii anayoiteua yeye kazi tunayo
 
Back
Top Bottom