Tetesi: Hali tete Tanzania: Baraza la Maaskofu laandaa Waraka Mzito wa X-Mass

Tetesi: Hali tete Tanzania: Baraza la Maaskofu laandaa Waraka Mzito wa X-Mass

Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
Sunzu tuko wote, lakini sidhani kama unaweza kuvuja mpaka utoe hint hapa!
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani

Sidhani kama Baraza la Maaskofu Tanzania linafanya Kazi katika utaratibu kama huo. Kwamba Tamko lenyewe halijatoka halafu wewe tayari wewe ulishafahamu kwamba kuna tamko linaandaliwa.
 
Hakuna Waraka Kusomwa Popote
Ingawa Baraza La Maaskofu TEC Na KKKT
Taarifa Zinasema Wamekuwa Wakikutana Mara Kwa Mara Kuna Jambo
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
Kwa kuwa ni tetesi basi kathibitishe kwanza kisha uje uandike habari za uhakika. Hao maaskofu huwa hawachelewi kurukana wanapotoa hizo nyaraka zao.
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
wakileta tu tunaweka kodi ktk sadaka
 
wakala my foot😕😕😕😕😕.

hili ndio tatizo la siasa kuingia kanisani au msikitini.
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
Afadhali kamanda.
Hakuna haja ya kuangalia Utekelezaji wa mradi wa Umeme, SGR, Flyovers, Elimu bure, ukuaji wa uchumi, kupinga USHOGA, ongezeko la pesa za madawa mahospitaini ...........Maaskofu wetu wanatakiwa kuangalia haki za akina Mbowe kukiuka masharti ya dhamana na haki za mashoga tu.
Hiyo ndiyo kazi ya kanisa.
Asante kwa kutumegea uliyoyaona kwenye waraka.
Piiiiiiiiiiiples!!!!!!
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
Nawasihi wenye mamlaka wasikubali kutumwa na Jiwe kupoza majanga kama alivyotumiwa yule mama. Jiwe apambane mwenyewe na majanga aliyotengeneza
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
The more they talk, the more people are getting used to them, the more they are ignored!
 
Mababa Askofu tunawaomba mababa zetu msimame na sisi wananchi, hali ngumu baba zetu, tunaumia, tunanyanyasika, tusaidieni kumueleza ukweli huyu mzee wetu.

Najua amejitahidi kuwawekeni karibu ili kuwalainisha, amejitahidi kuwaiteni ili mkutane naye mara kadhaa, amejaribu kuwaiteni ili mshiriki uzinduzi wa Stiegle's , yote hii ili mlainike lakini nyinyi mkilainika sisi Twafa.

Mababa Askofu msituangushe, Ubaya haushindwi kwa kishindo kimoja, bali endeleeni kusukuma na kusukuma mpaka ubaya ushindwe.

Mababa askofu, simameni na wanyonge wa nchi hii.

Sisi hatutaki kile ambacho hawezi kutupa, sisi tunataka
1. Uhuru wa kujieleza waziwazi bila hofu ya kupotezwa
2. Tunataka haki za kisiasa kama zilivyoainishwa katika katiba na sheria ya vyama
3. Tunataka uwazi katika utendaji wa shughuli za serikali
4. Tunataka Demokrasia kwa mujibu wa katiba
5. Tunataka ulinzi na usalama wetu hatutaki watu kutekwatekwa
6. Tunataka haki katika chaguzi na si uonevu wa wakurugenzi na watangaza matokeo
7. Tunataka katiba mpya kama vile sisi kama Taifa tumeshakubaliana kuwa hii ya sasa haitutoshelezi

Hayo yangu ni machache tu mababa askofu. Tafadhali sana nawaombeni myasimamie hayo

Nyie mnataka????? Nyie na nani???
 
Waraka huo hauna tofauti na matamko ya wanasiasa. Tofauti ni kuwa unasomwa kwenye nyumba za ibada na mapadri na maaskofu.

Hauna madhara yoyote kwa serekali na ccm. Jiwe atabaki kuwa mtukufu jiwe, haambiliki.
 
Watanzania tusiotaka udikteta nchini mwetu wa kudharau katiba, Bunge, mahakama, haki za binadamu, kuchota pesa chungu nzima hazina bila idhini ya Bunge, kuteka, kutesa na kutoa roho za Watanzania wasio na hatia yoyote ile.

Nyie mnataka????? Nyie na nani???
 
Bora watowe waraka maana kichaa wetu hajielewi na Chuki zake sasa kumpa za mbowe wiki Tatum ndani mwanaye kafufuka au Tanzania imeongeza dollar ngapi kwenye reserve lazima wakemee pepo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom