Tetesi: Hali tete Tanzania: Baraza la Maaskofu laandaa Waraka Mzito wa X-Mass

Tetesi: Hali tete Tanzania: Baraza la Maaskofu laandaa Waraka Mzito wa X-Mass

Waraka wa maaskofu utahusu ushoga?Kama huu waraka wa EU?
peleka ushoga wako lumumba kama unaliwa ni wewe pekeyako.. umikazana USHOGA USHOGA.. unazani wote humu ni mashoga kama wewe mbwiga
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
UWONGO
 
D2F89768-C879-4478-8624-BEA5672D73B5.jpeg
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
Hao hawawezi hao. Wao wenzao Bakwata ru.
 
Atamtuma musiba (wa taifa) afanye press conference au akauibe huo waraka[emoji23]
 
Sasa wakishatoa waraka inasaidia nini? Kama huna inside info basi fuatilia kiini cha kubadilishwa kwa katibu mkuu wq baraza la Maaskofu.
Ukiona hausaidii basi ujue haujatolewa kwa ajili yako, walengwa wanauelewa na wanapagawa vilivyo, sio lazima kila kitu kikuhusu
 
Sasa hivi waisilamu na wakristo tumeungana dhidi ya hawa waswezi walioivamia Ikulu.
 
Kwani ushamuona tena Madhabauni?jana kaomba awe anaitwa kuzindua Misikiti
Mkuu, sio lazima nimmwone kama ni misa ya kawaida, anaenda tu bila kutangazwa. Ikiwa Siku Kuu au kaalikwa kama Mgeni Rasmi ndo hutangazwa.
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mshahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
 
Back
Top Bottom