MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
mkuuUmeongelea moja kati ya 15
huyu jamaa anakitu kinamuwasha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuuUmeongelea moja kati ya 15
peleka ushoga wako lumumba kama unaliwa ni wewe pekeyako.. umikazana USHOGA USHOGA.. unazani wote humu ni mashoga kama wewe mbwigaWaraka wa maaskofu utahusu ushoga?Kama huu waraka wa EU?
UWONGOKama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania
Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.
Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
HahahahaWaraka wa maaskofu utahusu ushoga?Kama huu waraka wa EU?
Hao hawawezi hao. Wao wenzao Bakwata ru.Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania
Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.
Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
Wewe uza nyapu tu.
Ukiona hausaidii basi ujue haujatolewa kwa ajili yako, walengwa wanauelewa na wanapagawa vilivyo, sio lazima kila kitu kikuhusuSasa wakishatoa waraka inasaidia nini? Kama huna inside info basi fuatilia kiini cha kubadilishwa kwa katibu mkuu wq baraza la Maaskofu.
Mkuu, sio lazima nimmwone kama ni misa ya kawaida, anaenda tu bila kutangazwa. Ikiwa Siku Kuu au kaalikwa kama Mgeni Rasmi ndo hutangazwa.Kwani ushamuona tena Madhabauni?jana kaomba awe anaitwa kuzindua Misikiti
huyu ana msimamo usio na meno (yaani toothless au maPengo).Ngo-pe ana msimamo gani
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]huyu ana msimamo usio na meno (yaani toothless au maPengo).