Tetesi: Hali tete Tanzania: Baraza la Maaskofu laandaa Waraka Mzito wa X-Mass

Tetesi: Hali tete Tanzania: Baraza la Maaskofu laandaa Waraka Mzito wa X-Mass

Jiwe lazima ataomba "poo" kama sio kupagwa.

Christmas inaweza kupigwa marufuku kama zile sherehe zilizokuwa zifanyike hivi karibuni.
Ni hapo Christmas itakapo ahirishwa na ela yake kupangiwa kazi nyingine, yetu macho,
Ah ah....
 
Wamruke kwenye mgawo Wa sakrament ,waende kwa anaefata labda itasaidia
 
JIWE PIGA MARUKUFU SKUKUU YA XMAS... FEDHA ZOOTE KAZITUMIE KULISHA ULIOWASWEKA LUPANGO
Fedha zipi? kwan xmas uandaliwa na setikali ? au unasema sadaka za waumini ? kama hawatoenda kanisani sasa sadaka zitoka wapi ??
 
Kama unatoka kwa. Maaskofu hauna maana...
 
Fedha zipi? kwan xmas uandaliwa na setikali ? au unasema sadaka za waumini ? kama hawatoenda kanisani sasa sadaka zitoka wapi ??
we tulixa makalio humjui jiwe mipango yake
 
Rais wetu mtukufu anafanya kazi nzuri sana, tuendelee kumuombea #Tanzania ni nchi tajiri sana.
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
Wewe ni mzushi tu....... Labda angesema Matola!
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
Huo waraka hautakuwa na maana. Ni sawa na abiria kujamba akiwa kwenye boda boda
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
Ndiyo mwezi upi huo?
 
Kama mnakumbuka mnamo mwezi Machine 2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania

Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.

Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
Na wewe ni Askofu?
 
Back
Top Bottom