see post#42Sidhani kama Baraza la Maaskofu Tanzania linafanya Kazi katika utaratibu kama huo. Kwamba Tamko lenyewe halijatoka halafu wewe tayari wewe ulishafahamu kwamba kuna tamko linaandaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
see post#42Sidhani kama Baraza la Maaskofu Tanzania linafanya Kazi katika utaratibu kama huo. Kwamba Tamko lenyewe halijatoka halafu wewe tayari wewe ulishafahamu kwamba kuna tamko linaandaliwa.
Kumbe ni tetesi mm nasubiri hilo tamko km lipoKama mnakumbuka mnamo mwezi Machine ku2018 Baraza la Maaskofu pamoja na Maaskofu wa KKKT walitoa waraka mzito wa Pasaka kukemea hali tete nchini Tanzania
Tetesi zinaonyesha kwamba Baraza la maaskofu limekuwa likikutana kutathmini kama serikali imefanyia kazi maoni yao.
Baada ya hali halisi kuonyesha serikali imeshindwa kufanyia kazi maoni yao mazuri na malalamiko ya wananchi,baraza limeandaa waraka mwingine mzito kuelekea Xmas na Mwaka Mpya. Waraka unasemwa kujikita katika mambo makuu matatu,ikiwemo haki za binadamu,hali ya kisiasa na amani
Usiombe hilo litokee, huwajui wakatoliki kaa pembeni na ushabiki maandazi wako. Jiwe anaujua muziki wao vizuri mwambie haya faragha usikie atakachokujibu.Sifikiri kama kuna uhitaj wa waraka, Nafikiri huu ni utawala usiohitaji waraka wala matamko koko yyt yale.Nawashauri wachukue hatua tu kama wanakiamini wanachokipigania.
Hawaelewi hawa wajiandikia tu. Usalama wa nchi si swala la lele mama mtasubiri sana wachafuzi wa amani ya nchi. Trump amepeleka kikosi cha jeshi kulinda amani mpakani mwa Mexico. Kagame juzi kakagua kikosi chake cha jeshi huku akisisitiza kuwa tayari kutetea amani ya nchi. Halafu nyinyi mnajiandaa na msivyojua. Haya jaribuni lakini serikali iko imara kutuhakikishia amani na UsalamaSasa wakishatoa waraka inasaidia nini? Kama huna inside info basi fuatilia kiini cha kubadilishwa kwa katibu mkuu wq baraza la Maaskofu.
Sioni busara upande wa serekali, waraka wa maaskofu ungezingatiwa EU wangekosa la kushutumu.Naamini busara itatumika sana hasa kuhusu maazimio ya EU...
Nani hao wachukue hatua. Mabeberu? Naelewa huna maana hiyo!Sifikiri kama kuna uhitaj wa waraka, Nafikiri huu ni utawala usiohitaji waraka wala matamko koko yyt yale.Nawashauri wachukue hatua tu kama wanakiamini wanachokipigania.
Uwe na adabu na nidhamu katika matumizi ya lugha. "Waraka koko" ndio nini?Sifikiri kama kuna uhitaj wa waraka, Nafikiri huu ni utawala usiohitaji waraka wala matamko koko yyt yale.Nawashauri wachukue hatua tu kama wanakiamini wanachokipigania.
Anapenda ligi kuliko chochote kuna hati hati ya xmass kufutwaJiwe lazima ataomba "poo" kama sio kupagwa.
Christmas inaweza kupigwa marufuku kama zile sherehe zilizokuwa zifanyike hivi karibuni.
Hapo ni kuzidi kukaza kamba
Lakini Rais ambaye analalamikiwa, ni Muumini wao wamnyime komonio.
Jiwe kuu la pembeni lililokataliwa na waashiNi jiwe la chumvi?
Kanisa litafutiwa usajili huyu sio mtu wa kawaida
Wampe askofu shoo kiboko ya jiwe ausome amchane liveHakuna Waraka Kusomwa Popote
Ingawa Baraza La Maaskofu TEC Na KKKT
Taarifa Zinasema Wamekuwa Wakikutana Mara Kwa Mara Kuna Jambo
Tulipozungumza kuhusu waraka wa Pasaka , watu wenye akili fupi walitubezaHivi wewe haya mambo yanakunufaisha nn hasa kuleta polojo hapa unapata nn