4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
usifikir kipind inaitwa jamboforum ulikuwa msomaj pekee yako tetea hoja zako bila kugusa umri wako kama unajiona mtu mzima unda group la wahenga wenzio , humu ni ukubwa wa akili ndo tunahitaj sio umriSiwezi kumjua kila mtu ndio maana nakwambia simfahamu!Ni nani huyo Chongolo?
Kijana,Mimi nipo tokea hii forum inaitwa jambo forum!
Nilikuwa msomaji tu hata ilipoitwa jamii forum,2014 nikaamua nijisajiri nami nishiriki mijadala!
Miaka 9 iliyopita ndio nilikuwa naandika lugha ya rejareja kama Yako!