usifikir kipind inaitwa jamboforum ulikuwa msomaj pekee yako tetea hoja zako bila kugusa umri wako kama unajiona mtu mzima unda group la wahenga wenzio , humu ni ukubwa wa akili ndo tunahitaj sio umriSiwezi kumjua kila mtu ndio maana nakwambia simfahamu!Ni nani huyo Chongolo?
Kijana,Mimi nipo tokea hii forum inaitwa jambo forum!
Nilikuwa msomaji tu hata ilipoitwa jamii forum,2014 nikaamua nijisajiri nami nishiriki mijadala!
Miaka 9 iliyopita ndio nilikuwa naandika lugha ya rejareja kama Yako!
ukraine sio Germany , urusi alipigana na Germany ila Usichokielewa Ukraine ilipata uhuru kutoka USSR na sio Urusi , Urus ni yule mwanafunz anajitua kimbembele sana kisa anatumwaga na mwalimu , Ukraine kaipekua sana hii vita tangu 2014 alipoporwa Crimea ila akatulia kimya , 2022 Kaamua kuilazimisha Ukrane kuingia vitan , Wengi wenu ni ufupi wa akili ndo unawafanya kushabikia UrusiSasa si walimgeuka mkuu ndo maana anawachapa, Na hawa wamarekani si walishamsaidiaga zamani, Wamemgeuka anawachapa.Hataki masihara ukimzingua.Ni nchi muhimu kwenye mzani wa kinguvu na utawala.
mnajua kuongeza minofu , jifunzen kukubali tu , mlisema winter is coming haya tuambieni hiyo winter mpk sana haija come ?Kuna wamarekani wa humu walisema baridi imeisha tutegemee makubwa
Nakuelewa tu,nilipitia huko upitako!Matusi hayajengi,ukikua utaelewa hili!Kwahiyo hapo tu unajiona wewe ni mzee shida sana bwashee, ok tuachane nalo
Hata kuandika kwenye we tabu,utaweza kujenga hoja na Mimi?Pita tu kushoto!Ukiona unakimbilia swala la ela , umri , asili , na elimu basi tambua akili yao ni ndogo huez defend hoja zako , unatafuta pa kujifichia , tabia hiu wanayo teamPutin sabab wanasabikia wasipopaelewa zaid ya kumezeshwa tu kuea Urusi anaipigania dunia hawajiuliz kuwa West wangeweza kuiacha Ukrane ila Urusi angenogewa unihisi angesogea Ulaya magharib hapna ila angekuja huku kwetu tunaojianya wapenz mashabiki
Umedandia treni Kwa mbele,Mimi nilikuwa namuonya huyo kijana Kwa kitendo Cha kuandika matusi!Ndio nikamueleze Kuna kipindi na Mimi nilikuwa kama yeye,miaka 10 huko iliyopita!usifikir kipind inaitwa jamboforum ulikuwa msomaj pekee yako tetea hoja zako bila kugusa umri wako kama unajiona mtu mzima unda group la wahenga wenzio , humu ni ukubwa wa akili ndo tunahitaj sio umri
WaGNER lazma wamnyooshe huyo Kima. Tena alivyowaita magaidi ndio watamuonesha ugaidi ni nini sasa. Maana wamesajiliwa kisheria kabisa.Usa na propaganda zake si walisema wamewaua wapiganaji elf 30 wa WAGNER GROUP..
USA anaenda pata aibu tena kama alivyopewa kichapo na WAGNER GROUP Alleppo Syria hadi akala kona.
Ok salute mzee!Nakuelewa tu,nilipitia huko upitako!Matusi hayajengi,ukikua utaelewa hili!
Sisi show zetu huwa tunamaliza fasta tu na huwa hatupelek mtu asiye na weledSiku Tz ikiingia vitani ndo utajua kuwa hata wewe utaenda
Ni kwel tuliandaa makubwa lkn wakat tunasafirisha leopard 2 kukipeleka front hapo bakhmut ili kifanye comeback yakibabe kilikwama kwenye tope ndio tunahanya kukisukumaKuna wamarekani wa humu walisema baridi imeisha tutegemee makubwa
Mm nipo kratosk vita ni KaliKila la kheri!