Hali Tete: Wana struggle kuuza tiketi za siku yao

Hali Tete: Wana struggle kuuza tiketi za siku yao

Struggle is real my friend, hali ikienda hivi inabidi wafanye kale ka mchezo cha last year kuingiza watu bure siku husika yaani kesho kwa sababu hakuna namna

View attachment 2315399
Wachezaji na mashabiki tunataka jezi za msimu mpya! Wewe unatuletea habari za uzushi za tiketi za timu isiyo tuhusu!

Tumechoka kubandua nembo ya mdhamini wa zamani! Tunataka jezi zenye nembo ya mdhamini mpya!
 
Wachezaji na mashabiki tunataka jezi za msimu mpya! Wewe unatuletea habari za uzushi za tiketi za timu isiyo tuhusu!

Tumechoka kubandua nembo ya mdhamini wa zamani! Tunataka jezi zenye nembo ya mdhamini mpya!
kanunue tiketi bwashee acha kuwa keyboard warrior, saidia kurudisha pesa za Gsm anazopoteza hovyohovyo kwa vilaza
 
Manara ni mtu mfitini na mnafiki kwenye soka maana ndo anaanzisha haya na mashabiki hawana filter za kuchuja wanabeba tu mara bei ndogo mara ticket hazinunuliwa simba na yanga zilikuwepo toka hata manara hajulikani atazaliwa sasa yule bwana anavyopenda sifa atasema yeye ndio kasababisha pitso kuja yanga day.
 
Wachezaji na mashabiki tunataka jezi za msimu mpya! Wewe unatuletea habari za uzushi za tiketi za timu isiyo tuhusu!

Tumechoka kubandua nembo ya mdhamini wa zamani! Tunataka jezi zenye nembo ya mdhamini mpya!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmeshikwa pabaya mnoooo., lol

Byuti byuti.
 
Back
Top Bottom