Hali tete ya Maisha: Tumlilie nani?

Hali tete ya Maisha: Tumlilie nani?

chamilo nicolous

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2016
Posts
2,097
Reaction score
1,457
Wandugu hali ya maisha ni tete, tuna aangaika huku na kule hakuna pa kukimbilia

- Wazee waliokuwa wanalipwa na TASSAF, sasa inabidi wafanye kazi za kujitolea katika maeneo ya umma kwenye halmashauri husika ili walipwe, no free lunch.

-TANESCO tangu mwezi decemba 2021 hadi leo tarehe 4 julai naandika uzi huu, kuna maombi takribani 10,000 wateja wapya waliotuma maombi kuingiziwa umeme (new conection) nchi nzima, lakini hakuna mita, hakuna nguzo. Wateja wanazidi kusota, TANESCO wanaendelea kukusanya malipo ya maombi mapya bila kutoa huduma! Hali ni tete, tumlilie nani?baada ya kuona jam imekuwa kubwa na idadi ina exceed the limit, wamekuja na maombi mtanaoni!mmmmm, tutafika tu, hata kwa machozi.

Hayo inawezekana hayakuhusu, sasa ona yanayo kuhusu: Anyway Wacha tuangalie ndani ya miezi 3 ilio pita
i/ Sabuni mcheni ilikuwa 2000 saivi 4000
ii/ Mafuta ya kupika Lita ilikuwa 2500 saivi 6000
iii/ Mfuko wa mbolea ulikuwa 50000 saivi 120000
iv/ Unga ulikuwa kilo 700 saivi 1800
v/ Petrol ilikuwa 2500 saivi 3227
vi/ Mchele kilo ilikuwa 1500 saivi 2500
vii/ Bei ya rimu ilikuwa 9500 saivi 24000
viii/ Kondom ilikuwa 500 saivi 1000
ix/ Unga wa ngano kilo ilikuwa 1200 saivi 2200
x/ Mafuta ya taa 1200 Hadi 2600
xi/ Tambi 1500 Hadi 2500
xii/ Soda ilikuwa 500 saivi 600
xiii/ Bati ilikuwa 285000 kwa Sasa ni 345000
xiv/ Daftari ilikuwa 500 saivi 800
xv/ Whitedent kutoka 1000 hadi 2000
xvi/ Mahindi debe ilikuwa 10,000 saizi 18,000
xvii/ Nyama kutoka 6000 Hadi 8000
xviii/ Mahindi gunia ilikuwa 60000 sasa ni 150,000

Hali iko hivyo, nauli, tozo kila kitu, NB: UKIONA MAISHA MAGUMU HAMIA BURUNDI
 
Mishahara imeongezwa,peridiem imepanda na matamko ni kila aliye na fursa anatakiwa ale kwa urefu wa kamba yake inavyomruhusu na pawepo siri ofisini hasa ikitokea king'asti kimeingia kwenye ofisi ya umma,ikiwezekana uliyeona pisha afanywe anachotakiwa kufanywa na mengine mengiiii.... Wewe wa huku mtaani ambaye huna kamba,uhurumiwe sana.Awamu ya bata hii.
 
Mahindi hapa Simiyu debe ni 22000
Sukari 2800 hadi 3000
Sabuni poa 300
Sabuni b29 500
Maharage 2200 hadi 2600
 
Wandugu hali ya maisha ni tete, tuna aangaika huku na kule hakuna pa kukimbilia

- Wazee waliokuwa wanalipwa na TASSAF, sasa inabidi wafanye kazi za kujitolea katika maeneo ya umma kwenye halmashauri husika ili walipwe, no free lunch.

-TANESCO tangu mwezi decemba 2021 hadi leo tarehe 4 julai naandika uzi huu, kuna maombi takribani 10,000 wateja wapya waliotuma maombi kuingiziwa umeme (new conection) nchi nzima, lakini hakuna mita, hakuna nguzo. Wateja wanazidi kusota, TANESCO wanaendelea kukusanya malipo ya maombi mapya bila kutoa huduma! Hali ni tete, tumlilie nani?baada ya kuona jam imekuwa kubwa na idadi ina exceed the limit, wamekuja na maombi mtanaoni!mmmmm, tutafika tu, hata kwa machozi.

Hayo inawezekana hayakuhusu, sasa ona yanayo kuhusu: Anyway Wacha tuangalie ndani ya miezi 3 ilio pita
i/ Sabuni mcheni ilikuwa 2000 saivi 4000
ii/ Mafuta ya kupika Lita ilikuwa 2500 saivi 6000
iii/ Mfuko wa mbolea ulikuwa 50000 saivi 120000
iv/ Unga ulikuwa kilo 700 saivi 1800
v/ Petrol ilikuwa 2500 saivi 3227
vi/ Mchele kilo ilikuwa 1500 saivi 2500
vii/ Bei ya rimu ilikuwa 9500 saivi 24000
viii/ Kondom ilikuwa 500 saivi 1000
ix/ Unga wa ngano kilo ilikuwa 1200 saivi 2200
x/ Mafuta ya taa 1200 Hadi 2600
xi/ Tambi 1500 Hadi 2500
xii/ Soda ilikuwa 500 saivi 600
xiii/ Bati ilikuwa 285000 kwa Sasa ni 345000
xiv/ Daftari ilikuwa 500 saivi 800
xv/ Whitedent kutoka 1000 hadi 2000
xvi/ Mahindi debe ilikuwa 10,000 saizi 18,000
xvii/ Nyama kutoka 6000 Hadi 8000
xviii/ Mahindi gunia ilikuwa 60000 sasa ni 150,000

Hali iko hivyo, nauli, tozo kila kitu, NB: UKIONA MAISHA MAGUMU HAMIA BURUNDI
maisha ni magumi mno tatizo vitu vimepanda hela hamna
 
Wandugu hali ya maisha ni tete, tuna aangaika huku na kule hakuna pa kukimbilia

- Wazee waliokuwa wanalipwa na TASSAF, sasa inabidi wafanye kazi za kujitolea katika maeneo ya umma kwenye halmashauri husika ili walipwe, no free lunch.

-TANESCO tangu mwezi decemba 2021 hadi leo tarehe 4 julai naandika uzi huu, kuna maombi takribani 10,000 wateja wapya waliotuma maombi kuingiziwa umeme (new conection) nchi nzima, lakini hakuna mita, hakuna nguzo. Wateja wanazidi kusota, TANESCO wanaendelea kukusanya malipo ya maombi mapya bila kutoa huduma! Hali ni tete, tumlilie nani?baada ya kuona jam imekuwa kubwa na idadi ina exceed the limit, wamekuja na maombi mtanaoni!mmmmm, tutafika tu, hata kwa machozi.

Hayo inawezekana hayakuhusu, sasa ona yanayo kuhusu: Anyway Wacha tuangalie ndani ya miezi 3 ilio pita
i/ Sabuni mcheni ilikuwa 2000 saivi 4000
ii/ Mafuta ya kupika Lita ilikuwa 2500 saivi 6000
iii/ Mfuko wa mbolea ulikuwa 50000 saivi 120000
iv/ Unga ulikuwa kilo 700 saivi 1800
v/ Petrol ilikuwa 2500 saivi 3227
vi/ Mchele kilo ilikuwa 1500 saivi 2500
vii/ Bei ya rimu ilikuwa 9500 saivi 24000
viii/ Kondom ilikuwa 500 saivi 1000
ix/ Unga wa ngano kilo ilikuwa 1200 saivi 2200
x/ Mafuta ya taa 1200 Hadi 2600
xi/ Tambi 1500 Hadi 2500
xii/ Soda ilikuwa 500 saivi 600
xiii/ Bati ilikuwa 285000 kwa Sasa ni 345000
xiv/ Daftari ilikuwa 500 saivi 800
xv/ Whitedent kutoka 1000 hadi 2000
xvi/ Mahindi debe ilikuwa 10,000 saizi 18,000
xvii/ Nyama kutoka 6000 Hadi 8000
xviii/ Mahindi gunia ilikuwa 60000 sasa ni 150,000

Hali iko hivyo, nauli, tozo kila kitu, NB: UKIONA MAISHA MAGUMU HAMIA BURUNDI
Ulizaliwa Duniani kupata tabu sio kula raha..mlaumu Covid 19 na Putin.

Badala ya kubwabwaja kwenye mtandao,Kalianzishe kama wenzio huku 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220629-221415.png
    Screenshot_20220629-221415.png
    239.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220629-221530.png
    Screenshot_20220629-221530.png
    121 KB · Views: 6
Wandugu hali ya maisha ni tete, tuna aangaika huku na kule hakuna pa kukimbilia

- Wazee waliokuwa wanalipwa na TASSAF, sasa inabidi wafanye kazi za kujitolea katika maeneo ya umma kwenye halmashauri husika ili walipwe, no free lunch.

-TANESCO tangu mwezi decemba 2021 hadi leo tarehe 4 julai naandika uzi huu, kuna maombi takribani 10,000 wateja wapya waliotuma maombi kuingiziwa umeme (new conection) nchi nzima, lakini hakuna mita, hakuna nguzo. Wateja wanazidi kusota, TANESCO wanaendelea kukusanya malipo ya maombi mapya bila kutoa huduma! Hali ni tete, tumlilie nani?baada ya kuona jam imekuwa kubwa na idadi ina exceed the limit, wamekuja na maombi mtanaoni!mmmmm, tutafika tu, hata kwa machozi.

Hayo inawezekana hayakuhusu, sasa ona yanayo kuhusu: Anyway Wacha tuangalie ndani ya miezi 3 ilio pita
i/ Sabuni mcheni ilikuwa 2000 saivi 4000
ii/ Mafuta ya kupika Lita ilikuwa 2500 saivi 6000
iii/ Mfuko wa mbolea ulikuwa 50000 saivi 120000
iv/ Unga ulikuwa kilo 700 saivi 1800
v/ Petrol ilikuwa 2500 saivi 3227
vi/ Mchele kilo ilikuwa 1500 saivi 2500
vii/ Bei ya rimu ilikuwa 9500 saivi 24000
viii/ Kondom ilikuwa 500 saivi 1000
ix/ Unga wa ngano kilo ilikuwa 1200 saivi 2200
x/ Mafuta ya taa 1200 Hadi 2600
xi/ Tambi 1500 Hadi 2500
xii/ Soda ilikuwa 500 saivi 600
xiii/ Bati ilikuwa 285000 kwa Sasa ni 345000
xiv/ Daftari ilikuwa 500 saivi 800
xv/ Whitedent kutoka 1000 hadi 2000
xvi/ Mahindi debe ilikuwa 10,000 saizi 18,000
xvii/ Nyama kutoka 6000 Hadi 8000
xviii/ Mahindi gunia ilikuwa 60000 sasa ni 150,000

Hali iko hivyo, nauli, tozo kila kitu, NB: UKIONA MAISHA MAGUMU HAMIA BURUNDI
Wakulaumiwa ni Putin kwa kuvamia Ukraine.
 
Back
Top Bottom