Hali tete ya Maisha: Tumlilie nani?

Hali tete ya Maisha: Tumlilie nani?

Chalamila unahangaika Sana. Fanya kazi. Kama kuna ulazima wa kumlaumu mtu basi mlaumu Baba yako!
Na hapa ndo kuna utofauti wa great thinkers and simple men.
Watanzania wazee, masikini, wasihojiweza walikuwa wanapewa msaada na hii ni sera ya dunia nzima, leo hicho kitu kimegeuzwa, wewe unaona kawaida.
Nitaanzia kukulaumu wewe kea sababu watu kama Ninyi ndo mnaitesa hii nchi, hamuoni mbali mnachukulia kila kitu poa
 
Baada ya uzinduzi wa Ni konect ni siku 4 tuu umeme ndani.
Hiyo ni siasa, tangu mwezi December 2021 hadi leo maombi kila Halmashauli (kwa kila Ofisi za TANESCO zilizo kila wilaya ni zaidi ya maombi 400 × idadi ya wilaya).
1:Utaona Ni konnect ni mbwembwe za kisiasa za kudanganya watu wajinga
2: mitandao hasa wa internet ni tatizo kwa sehemu kubwa nchi hii, utajua kuwa hii ni plan B ya kupunguza jam, japo TANESCO wamesha feli
 
Hiyo ni siasa, tangu mwezi December 2021 hadi leo maombi kila Halmashauli (kwa kila Ofisi za TANESCO zilizo kila wilaya ni zaidi ya maombi 400 × idadi ya wilaya).
1:Utaona Ni konnect ni mbwembwe za kisiasa za kudanganya watu wajinga
2: mitandao hasa wa internet ni tatizo kwa sehemu kubwa nchi hii, utajua kuwa hii ni plan B ya kupunguza jam, japo TANESCO wamesha feli
Sasa kama wamezidiwa lazima wasue sue
 
Sasa kama wamezidiwa lazima wasue sue
Kwa nini wasisitishe kupokea maombi mapya Ili washughulikie mlundikano uliopo. Hii ndo ilikuwa njia rahisi kabisa ya kupunguza jam. Wa stop kupokea maombi mapya kwa hata miezi 6, waondoe jam alafu wafungue dirisha kwa waombaji
 
Wandugu hali ya maisha ni tete, tuna aangaika huku na kule hakuna pa kukimbilia

- Wazee waliokuwa wanalipwa na TASSAF, sasa inabidi wafanye kazi za kujitolea katika maeneo ya umma kwenye halmashauri husika ili walipwe, no free lunch.

-TANESCO tangu mwezi decemba 2021 hadi leo tarehe 4 julai naandika uzi huu, kuna maombi takribani 10,000 wateja wapya waliotuma maombi kuingiziwa umeme (new conection) nchi nzima, lakini hakuna mita, hakuna nguzo. Wateja wanazidi kusota, TANESCO wanaendelea kukusanya malipo ya maombi mapya bila kutoa huduma! Hali ni tete, tumlilie nani?baada ya kuona jam imekuwa kubwa na idadi ina exceed the limit, wamekuja na maombi mtanaoni!mmmmm, tutafika tu, hata kwa machozi.

Hayo inawezekana hayakuhusu, sasa ona yanayo kuhusu: Anyway Wacha tuangalie ndani ya miezi 3 ilio pita
i/ Sabuni mcheni ilikuwa 2000 saivi 4000
ii/ Mafuta ya kupika Lita ilikuwa 2500 saivi 6000
iii/ Mfuko wa mbolea ulikuwa 50000 saivi 120000
iv/ Unga ulikuwa kilo 700 saivi 1800
v/ Petrol ilikuwa 2500 saivi 3227
vi/ Mchele kilo ilikuwa 1500 saivi 2500
vii/ Bei ya rimu ilikuwa 9500 saivi 24000
viii/ Kondom ilikuwa 500 saivi 1000
ix/ Unga wa ngano kilo ilikuwa 1200 saivi 2200
x/ Mafuta ya taa 1200 Hadi 2600
xi/ Tambi 1500 Hadi 2500
xii/ Soda ilikuwa 500 saivi 600
xiii/ Bati ilikuwa 285000 kwa Sasa ni 345000
xiv/ Daftari ilikuwa 500 saivi 800
xv/ Whitedent kutoka 1000 hadi 2000
xvi/ Mahindi debe ilikuwa 10,000 saizi 18,000
xvii/ Nyama kutoka 6000 Hadi 8000
xviii/ Mahindi gunia ilikuwa 60000 sasa ni 150,000

Hali iko hivyo, nauli, tozo kila kitu, NB: UKIONA MAISHA MAGUMU HAMIA BURUNDI
Unalia ili ugundue nini ?
 
Unalia ili ugundue nini ?
Wazalendo tunapo ona unyanyasaji ukitendwa na taasisi za serikali tunakereka sana.
Sera ya TANESCO haijabadilika ukiomba na ukaripia gharama za kuunganishiwa umeme utasubiri siku 90 za kazi. Sasa mtu unalipa na unasubiri miezi 6 hadi mwaka mmoja. Wabadili sera Ili wateja tujue
 
Wandugu hali ya maisha ni tete, tuna aangaika huku na kule hakuna pa kukimbilia

- Wazee waliokuwa wanalipwa na TASSAF, sasa inabidi wafanye kazi za kujitolea katika maeneo ya umma kwenye halmashauri husika ili walipwe, no free lunch.

-TANESCO tangu mwezi decemba 2021 hadi leo tarehe 4 julai naandika uzi huu, kuna maombi takribani 10,000 wateja wapya waliotuma maombi kuingiziwa umeme (new conection) nchi nzima, lakini hakuna mita, hakuna nguzo. Wateja wanazidi kusota, TANESCO wanaendelea kukusanya malipo ya maombi mapya bila kutoa huduma! Hali ni tete, tumlilie nani?baada ya kuona jam imekuwa kubwa na idadi ina exceed the limit, wamekuja na maombi mtanaoni!mmmmm, tutafika tu, hata kwa machozi.

Hayo inawezekana hayakuhusu, sasa ona yanayo kuhusu: Anyway Wacha tuangalie ndani ya miezi 3 ilio pita
i/ Sabuni mcheni ilikuwa 2000 saivi 4000
ii/ Mafuta ya kupika Lita ilikuwa 2500 saivi 6000
iii/ Mfuko wa mbolea ulikuwa 50000 saivi 120000
iv/ Unga ulikuwa kilo 700 saivi 1800
v/ Petrol ilikuwa 2500 saivi 3227
vi/ Mchele kilo ilikuwa 1500 saivi 2500
vii/ Bei ya rimu ilikuwa 9500 saivi 24000
viii/ Kondom ilikuwa 500 saivi 1000
ix/ Unga wa ngano kilo ilikuwa 1200 saivi 2200
x/ Mafuta ya taa 1200 Hadi 2600
xi/ Tambi 1500 Hadi 2500
xii/ Soda ilikuwa 500 saivi 600
xiii/ Bati ilikuwa 285000 kwa Sasa ni 345000
xiv/ Daftari ilikuwa 500 saivi 800
xv/ Whitedent kutoka 1000 hadi 2000
xvi/ Mahindi debe ilikuwa 10,000 saizi 18,000
xvii/ Nyama kutoka 6000 Hadi 8000
xviii/ Mahindi gunia ilikuwa 60000 sasa ni 150,000

Hali iko hivyo, nauli, tozo kila kitu, NB: UKIONA MAISHA MAGUMU HAMIA BURUNDI
Pongezi na sifa zote zipo kwa Mama hakuna wakumlilia, ni kila mtu kupambana na hali yake, na ina andaliwa sherehe ya pongezi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kwa nini wasisitishe kupokea maombi mapya Ili washughulikie mlundikano uliopo. Hii ndo ilikuwa njia rahisi kabisa ya kupunguza jam. Wa stop kupokea maombi mapya kwa hata miezi 6, waondoe jam alafu wafungue dirisha kwa waombaji
Hilo hawawezi maana navyowajua Tanesco hiyo ni fursa kwao
 


Linganisha ni haya ya kwenye hii clip,

Naomba waTanzania wote wazalendo tusambaze video clip hii kwa kasi kwa kila mtu,
 
Miradi mingi na vita ya uchumi iliyoanza awamu ya 5 imefilisi nchi.
 
Back
Top Bottom