chamilo nicolous
JF-Expert Member
- Mar 10, 2016
- 2,097
- 1,457
- Thread starter
-
- #41
Na hapa ndo kuna utofauti wa great thinkers and simple men.Chalamila unahangaika Sana. Fanya kazi. Kama kuna ulazima wa kumlaumu mtu basi mlaumu Baba yako!
Fuatilia hili la TANESCO na mlundikano wa maombi ya kuingiziwa umeme ( new nnection), ni aibu, utaona hii serikali ulivyo na maigizoHatari kubwa
Hiyo ni siasa, tangu mwezi December 2021 hadi leo maombi kila Halmashauli (kwa kila Ofisi za TANESCO zilizo kila wilaya ni zaidi ya maombi 400 × idadi ya wilaya).Baada ya uzinduzi wa Ni konect ni siku 4 tuu umeme ndani.
Sasa kama wamezidiwa lazima wasue sueHiyo ni siasa, tangu mwezi December 2021 hadi leo maombi kila Halmashauli (kwa kila Ofisi za TANESCO zilizo kila wilaya ni zaidi ya maombi 400 × idadi ya wilaya).
1:Utaona Ni konnect ni mbwembwe za kisiasa za kudanganya watu wajinga
2: mitandao hasa wa internet ni tatizo kwa sehemu kubwa nchi hii, utajua kuwa hii ni plan B ya kupunguza jam, japo TANESCO wamesha feli
Kwa nini wasisitishe kupokea maombi mapya Ili washughulikie mlundikano uliopo. Hii ndo ilikuwa njia rahisi kabisa ya kupunguza jam. Wa stop kupokea maombi mapya kwa hata miezi 6, waondoe jam alafu wafungue dirisha kwa waombajiSasa kama wamezidiwa lazima wasue sue
Unalia ili ugundue nini ?Wandugu hali ya maisha ni tete, tuna aangaika huku na kule hakuna pa kukimbilia
- Wazee waliokuwa wanalipwa na TASSAF, sasa inabidi wafanye kazi za kujitolea katika maeneo ya umma kwenye halmashauri husika ili walipwe, no free lunch.
-TANESCO tangu mwezi decemba 2021 hadi leo tarehe 4 julai naandika uzi huu, kuna maombi takribani 10,000 wateja wapya waliotuma maombi kuingiziwa umeme (new conection) nchi nzima, lakini hakuna mita, hakuna nguzo. Wateja wanazidi kusota, TANESCO wanaendelea kukusanya malipo ya maombi mapya bila kutoa huduma! Hali ni tete, tumlilie nani?baada ya kuona jam imekuwa kubwa na idadi ina exceed the limit, wamekuja na maombi mtanaoni!mmmmm, tutafika tu, hata kwa machozi.
Hayo inawezekana hayakuhusu, sasa ona yanayo kuhusu: Anyway Wacha tuangalie ndani ya miezi 3 ilio pita
i/ Sabuni mcheni ilikuwa 2000 saivi 4000
ii/ Mafuta ya kupika Lita ilikuwa 2500 saivi 6000
iii/ Mfuko wa mbolea ulikuwa 50000 saivi 120000
iv/ Unga ulikuwa kilo 700 saivi 1800
v/ Petrol ilikuwa 2500 saivi 3227
vi/ Mchele kilo ilikuwa 1500 saivi 2500
vii/ Bei ya rimu ilikuwa 9500 saivi 24000
viii/ Kondom ilikuwa 500 saivi 1000
ix/ Unga wa ngano kilo ilikuwa 1200 saivi 2200
x/ Mafuta ya taa 1200 Hadi 2600
xi/ Tambi 1500 Hadi 2500
xii/ Soda ilikuwa 500 saivi 600
xiii/ Bati ilikuwa 285000 kwa Sasa ni 345000
xiv/ Daftari ilikuwa 500 saivi 800
xv/ Whitedent kutoka 1000 hadi 2000
xvi/ Mahindi debe ilikuwa 10,000 saizi 18,000
xvii/ Nyama kutoka 6000 Hadi 8000
xviii/ Mahindi gunia ilikuwa 60000 sasa ni 150,000
Hali iko hivyo, nauli, tozo kila kitu, NB: UKIONA MAISHA MAGUMU HAMIA BURUNDI
Wazalendo tunapo ona unyanyasaji ukitendwa na taasisi za serikali tunakereka sana.Unalia ili ugundue nini ?
Pongezi na sifa zote zipo kwa Mama hakuna wakumlilia, ni kila mtu kupambana na hali yake, na ina andaliwa sherehe ya pongezi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Wandugu hali ya maisha ni tete, tuna aangaika huku na kule hakuna pa kukimbilia
- Wazee waliokuwa wanalipwa na TASSAF, sasa inabidi wafanye kazi za kujitolea katika maeneo ya umma kwenye halmashauri husika ili walipwe, no free lunch.
-TANESCO tangu mwezi decemba 2021 hadi leo tarehe 4 julai naandika uzi huu, kuna maombi takribani 10,000 wateja wapya waliotuma maombi kuingiziwa umeme (new conection) nchi nzima, lakini hakuna mita, hakuna nguzo. Wateja wanazidi kusota, TANESCO wanaendelea kukusanya malipo ya maombi mapya bila kutoa huduma! Hali ni tete, tumlilie nani?baada ya kuona jam imekuwa kubwa na idadi ina exceed the limit, wamekuja na maombi mtanaoni!mmmmm, tutafika tu, hata kwa machozi.
Hayo inawezekana hayakuhusu, sasa ona yanayo kuhusu: Anyway Wacha tuangalie ndani ya miezi 3 ilio pita
i/ Sabuni mcheni ilikuwa 2000 saivi 4000
ii/ Mafuta ya kupika Lita ilikuwa 2500 saivi 6000
iii/ Mfuko wa mbolea ulikuwa 50000 saivi 120000
iv/ Unga ulikuwa kilo 700 saivi 1800
v/ Petrol ilikuwa 2500 saivi 3227
vi/ Mchele kilo ilikuwa 1500 saivi 2500
vii/ Bei ya rimu ilikuwa 9500 saivi 24000
viii/ Kondom ilikuwa 500 saivi 1000
ix/ Unga wa ngano kilo ilikuwa 1200 saivi 2200
x/ Mafuta ya taa 1200 Hadi 2600
xi/ Tambi 1500 Hadi 2500
xii/ Soda ilikuwa 500 saivi 600
xiii/ Bati ilikuwa 285000 kwa Sasa ni 345000
xiv/ Daftari ilikuwa 500 saivi 800
xv/ Whitedent kutoka 1000 hadi 2000
xvi/ Mahindi debe ilikuwa 10,000 saizi 18,000
xvii/ Nyama kutoka 6000 Hadi 8000
xviii/ Mahindi gunia ilikuwa 60000 sasa ni 150,000
Hali iko hivyo, nauli, tozo kila kitu, NB: UKIONA MAISHA MAGUMU HAMIA BURUNDI
Hilo hawawezi maana navyowajua Tanesco hiyo ni fursa kwaoKwa nini wasisitishe kupokea maombi mapya Ili washughulikie mlundikano uliopo. Hii ndo ilikuwa njia rahisi kabisa ya kupunguza jam. Wa stop kupokea maombi mapya kwa hata miezi 6, waondoe jam alafu wafungue dirisha kwa waombaji
Simba hakuna chaiNa Makombe yalikua Simba sasa hivi yote yapo Yanga
Kweli maisha yamekuwa magumu.
Daah! Nimecheka kwa sauti; bahati nzuri nipo peke yangu!!!2025 wanavalishwa fulana na vitenge na kuanza kukatika viuno