Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Sijui hawa watu wamepatwa na nini?
Wameweka lockdown
Wameweka curfew
Wameua waliokiuka
Wamefunga mipaka
Wamefunga anga
Wamefunga shule
Wamechukua mikopo
Wafanya Pima Pima Pima
Wamefunga miji
Wana quarantines
Wanavaa masks
Walisema Tanzania tutakufa kama kumbikumbi
Lakini bado kirusi kinawakung'uta, inasikitisha kwa kweli saivi watu wanadondoka mitaani
Hali ya Tanzania kwenye media za mabeberu
Wameweka lockdown
Wameweka curfew
Wameua waliokiuka
Wamefunga mipaka
Wamefunga anga
Wamefunga shule
Wamechukua mikopo
Wafanya Pima Pima Pima
Wamefunga miji
Wana quarantines
Wanavaa masks
Walisema Tanzania tutakufa kama kumbikumbi
Lakini bado kirusi kinawakung'uta, inasikitisha kwa kweli saivi watu wanadondoka mitaani
Hali ya Tanzania kwenye media za mabeberu