tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hasira ya mungu ilimuua kichaa mwenye file mirembe,bladifakeniHuo ukanda walishangilia sana kifo cha Magufuli.
Hasira ya Mungu hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasira ya mungu ilimuua kichaa mwenye file mirembe,bladifakeniHuo ukanda walishangilia sana kifo cha Magufuli.
Hasira ya Mungu hiyo
kuwa makini na maneno yakoMoshi wamekutana na hasira ya Mungu baada ya kushangilia kifo cha mwendazake.
Corona imechapa familia ya mbowe
Pole sana mshikiMoshi hali mbaya familia yetu tu dada kazika mume, mdogo wangu kazika mume, wifi kazika baba, kaka kazika mke, hii ni familia moja ndani ya Mei na Juni.
MUNGU TUOKOE
Mkuu mwendazake alikufanya nini mpaka unamchukia kiasi hichoChaliiiii!!!
Habari inasema wanakufa Moshi, sio chattle.Unaishi ulimwengu wa Chattle. You live in the past! Kwa nini watu mliokuwa braishwashed ni vigumu kubadilika? Aliyewaroga kazikwa tayari. Mtakufa hivyo hivyo.
Mkuu mwendazake alikufanya nini mpaka unamchukia kiasi hicho
Habari inasema wanakufa Moshi, sio chattle.
Au wataka kutuambia huko Moshi nao wamekuwa brainwashed? Hapana.
Kwani mtu aliyekuwa brainwashed nae hufa kwa corona? Noooo?
Yeye hufa kwa mpango wa Mungu tu, maana kwake kuishi Ni Kristo kufa Ni faida(wafilipi 1:21-30)
Tena acha kabisa kutishia watu kifo!!!.
Mkuu mwendazake alikufanya nini mpaka unamchukia kiasi hicho
Kuna culture inahusikaMoshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.
Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.
Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.
Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.
Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.
Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.
Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Moshi hali mbaya familia yetu tu dada kazika mume, mdogo wangu kazika mume, wifi kazika baba, kaka kazika mke, hii ni familia moja ndani ya Mei na Juni.
MUNGU TUOKOE
Kama Magufuli alivyokufa kwa hofu. Alikuwa anakebehi hivyo hivyo anasema korona ni hofu. Kunapokuwa na mlipuko wa kipundupindu kwa nini hamkatazi watu kusema kuna kipindupindu ili watu wasife kwa hofu.?
Leo nimeambiwa shemeji yangu yuko mahututi kwa Corona.The thing is real
Watu wanapenda kuwa Tomaso, bila hivo hawawezi kuelewa somoSeriously??? nna safari ya kuja huko
Wabongo ngumu kuelewa hadi yawakuteBush Mamy hua watu hawaamini mpaka waugue wafe
Wewe MBWEHA acha kupanic ,Malisa ni Akili kubwa ,aendeshwi kwa mihemko kama NYINYI nzi wa Lumumba! Relax and Take Notes while i take totes of marijuana smoke....I just want the paper.
Kama.hata hili Hadi uelelezewe basi tenaKivipi mkuu
Pole sana mkuuWewe una..flwA....mbwa
Halafu wamejisahau Sana. Hii pamoja na vitu asili ilisaidia Sana.Bila kurudi kwenye nyungu tutapukutika sana.