#COVID19 Hali ya Covid Moshi ni mbaya sana watu wanakuputika balaa

#COVID19 Hali ya Covid Moshi ni mbaya sana watu wanakuputika balaa

Unaishi ulimwengu wa Chattle. You live in the past! Kwa nini watu mliokuwa braishwashed ni vigumu kubadilika? Aliyewaroga kazikwa tayari. Mtakufa hivyo hivyo.
Habari inasema wanakufa Moshi, sio chattle.
Au wataka kutuambia huko Moshi nao wamekuwa brainwashed? Hapana.
Kwani mtu aliyekuwa brainwashed nae hufa kwa corona? Noooo?
Yeye hufa kwa mpango wa Mungu tu, maana kwake kuishi Ni Kristo kufa Ni faida(wafilipi 1:21-30)
Tena acha kabisa kutishia watu kifo!!!.
 
Kwani hujui kama alikuwa muuaji? Naanzaje kumpenda mwizi, muongo, mnafiki, katili, mtekaji, mtesaji na pia MUUAJI ambaye alilewa madaraka na kuwaumiza Watanzania wengi sana wakiwemo Wafanyakazi, Wakulima na Wafanyabishara? Hujasikia kuhusu maiti zilizookotwa ufukweni na akazuia uchunguzi, kupotea Azory na Saanane pia shambulizi la Lissu kupotea hazina 2.7 trillions vyote akazuia uchunguzi huru. Nampendaje dhalimu kama yule!? 😫😫😫

Mkuu mwendazake alikufanya nini mpaka unamchukia kiasi hicho
 
Uko brainswashed. Yule dikteta kipenzi chako aliigiza sana kwa jinsi yako. Usiku akituma watu wake waende kuua aliokuwa na mawazo tofauti na yake. wengine wakifungwa kwa makosa ya kusingiziwa. Wakaozea magerezani... Kwenye chaguzi akachapisha makaratasi yake ya kura na kujipigia mwenyewe na kuyapeleka kwenye vituo vya kura kwa escort ya polisi. Mchana akienda kanisani na ma-TV, huku amekunja mikono yake kwa unyenyekevu feki na kutaja mafungu ya biblia. Yote hayo yalikuwa ni ubatili mtupu. Mungu akawakomboa watu wake bila kumwaga damu. Utavimba weeeeeee, wakati mtu amekwishaoza tayari.
Habari inasema wanakufa Moshi, sio chattle.
Au wataka kutuambia huko Moshi nao wamekuwa brainwashed? Hapana.
Kwani mtu aliyekuwa brainwashed nae hufa kwa corona? Noooo?
Yeye hufa kwa mpango wa Mungu tu, maana kwake kuishi Ni Kristo kufa Ni faida(wafilipi 1:21-30)
Tena acha kabisa kutishia watu kifo!!!.
 
Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.

Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.

Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.

Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.

Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.

Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.

Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Kuna culture inahusika
 
Moshi hali mbaya familia yetu tu dada kazika mume, mdogo wangu kazika mume, wifi kazika baba, kaka kazika mke, hii ni familia moja ndani ya Mei na Juni.

MUNGU TUOKOE
Kama Magufuli alivyokufa kwa hofu. Alikuwa anakebehi hivyo hivyo anasema korona ni hofu. Kunapokuwa na mlipuko wa kipundupindu kwa nini hamkatazi watu kusema kuna kipindupindu ili watu wasife kwa hofu.?
Leo nimeambiwa shemeji yangu yuko mahututi kwa Corona.The thing is real
Seriously??? nna safari ya kuja huko
Watu wanapenda kuwa Tomaso, bila hivo hawawezi kuelewa somo
 
Wewe MBWEHA acha kupanic ,Malisa ni Akili kubwa ,aendeshwi kwa mihemko kama NYINYI nzi wa Lumumba! Relax and Take Notes while i take totes of marijuana smoke....I just want the paper.


Busy kidogo Bro, ntakucheki usiku
 
Na kama ni kweli hali ipo hivyo iwamalize pabaki mlima tu,mzee wetu jasiri muongoza njia alivyotangulia mlijua mngeishi milele safi kabisa.
 
Na kama ni kweli hali ipo hivyo iwamalize pabaki mlima tu,mzee wetu jasiri muongoza njia alivyotangulia mlijua mngeishi milele safi kabisa.
Wewe una..flwA....mbwa
 
Back
Top Bottom