Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,187
- 1,914
We zee la chanjo bado upo tu?Hata wakiwa mia kama si nduguzo na hasa kama ni mwenye ubinafsi uliopitiliza, kwako bado watakuwa ni wachache sana.
Hiiiiii bagosha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We zee la chanjo bado upo tu?Hata wakiwa mia kama si nduguzo na hasa kama ni mwenye ubinafsi uliopitiliza, kwako bado watakuwa ni wachache sana.
Hiiiiii bagosha!
Madalali wa chanjo kwa matusi hamjambo!Sikufahamu kama mimba niliyomtia mamako angezaliwa mtu majujuni kama wewe...najutaa.
Pole sana ndugu.Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.
Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.
Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.
Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.
Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.
Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.
Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Poleni.Moshi hali mbaya familia yetu tu dada kazika mume, mdogo wangu kazika mume, wifi kazika baba, kaka kazika mke, hii ni familia moja ndani ya Mei na Juni.
MUNGU TUOKOE
ngoja nifuatilieIpo kuna dereva Wa ibra line kazikwa leo, aliumwa ghafla na kufa siku hiyo hiyo, na hapa
Jirani kuna mchungaji kafa ye na Mkewe,
We njoo tu kifo anapanga Mungu
Na live life to the fullest sio kuishi kiwogawoga kwa kujibanabanaMaisha ni ya thamani sana kuyafanyia ajizi. Tunaishi mara moja tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu watano tu wamekufa kelele kibaooo...
Nyie madalali wa chanjo sijui ni lini mtaelewa kwamba hizi propaganda haziwezi kufanya kazi?
Atii watu wanapukutika! Watu wenyewe watatu.... Ooooohhh tunapukutika!
Pukutika tu! Kwani hii dunia ni ya baba ako?
Ulitaka usife we ni nani?
Hali si shwari lkn Barakoa watu hawataki kuvaa kbs,Yani ukipita masokoni huko Mbuyuni kwenye usafiri wa public ice,bajaji, barakoa hazivaliwi kbs. Yani Mungu atutetee na watu wabadilike.Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.
Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.
Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.
Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.
Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.
Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.
Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Kwahiyo hamchukui tahadhari mpk msikilize maoni Malisa. Jamani sijui nani katuloga jamani.?Wewe ni zaidi ya mjinga
Huyo malisa ana wawakilishi kila kijiji kila mtaa huko moshi?
Huna akili
Watu wakitoa taarifa mitungi ya gas imeisha mahospitalini mnawakamata.Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.
Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.
Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.
Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.
Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.
Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.
Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Wewe ni zaidi ya mjinga
Huyo malisa ana wawakilishi kila kijiji kila mtaa huko moshi?
Huna akili
Watanzania badonhata hawana habari wala hawachukui tahadhari, Mungu atunusuru maana tutaishaMoshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.
Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.
Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.
Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.
Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.
Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.
Hali ni mbaya sana huko Moshi.