#COVID19 Hali ya Covid Moshi ni mbaya sana watu wanakuputika balaa

#COVID19 Hali ya Covid Moshi ni mbaya sana watu wanakuputika balaa

Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.

Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.

Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.

Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.

Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.

Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.

Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Pole sana ndugu.

Pole sana.
 
Watu watano tu wamekufa kelele kibaooo...

Nyie madalali wa chanjo sijui ni lini mtaelewa kwamba hizi propaganda haziwezi kufanya kazi?

Atii watu wanapukutika! Watu wenyewe watatu.... Ooooohhh tunapukutika!

Pukutika tu! Kwani hii dunia ni ya baba ako?

Ulitaka usife we ni nani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani unahesabu misiba? Unajua iyo misiba yote marehemu wamekufa nanini kana kwamba uliona death report zao? Unajua kuwa kuna misiba kila mtaa na kila kijiji !!!

Naombeni K-Vant ebu maana naona unatuona sisi watoto
 
Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.

Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.

Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.

Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.

Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.

Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.

Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Hali si shwari lkn Barakoa watu hawataki kuvaa kbs,Yani ukipita masokoni huko Mbuyuni kwenye usafiri wa public ice,bajaji, barakoa hazivaliwi kbs. Yani Mungu atutetee na watu wabadilike.
 
Mnapozika si mnatengeneza mikusanyiko?!Kwa hiyo unapigiwa simu ili ukakae kwenye mikusanyiko?Mtu mweusi ni Kima aliechangamka!🐒🐒🐒
 
Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.

Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.

Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.

Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.

Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.

Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.

Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Watu wakitoa taarifa mitungi ya gas imeisha mahospitalini mnawakamata.

Shame on you
 
Wabongo bhana wapo wanaoamini kuwa Corona hakuna ni uzushi tuu...sijui ni kukosa Elimu bora au exposure au kula vyakula vinavyoua uwezo wa kufikiri kwa muda mrefu bila kujua...
 
Wewe ni zaidi ya mjinga
Huyo malisa ana wawakilishi kila kijiji kila mtaa huko moshi?
Huna akili

Wewe MBWEHA acha kupanic ,Malisa ni Akili kubwa ,aendeshwi kwa mihemko kama NYINYI nzi wa Lumumba! Relax and Take Notes while i take totes of marijuana smoke....I just want the paper.

 
Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.

Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.

Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.

Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.

Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.

Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.

Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Watanzania badonhata hawana habari wala hawachukui tahadhari, Mungu atunusuru maana tutaisha
 
Back
Top Bottom