Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ni kila kijiji na kila mtaa, ha ha ha. Hebu acheni hizo propaganda zenu uchwara.Unaishi ulimwengu wa Chattle. You live in the past! Kwa nini watu mliokuwa braishwashed ni vigumu kubadilika. Aliyewaroga kazikwa tayari. Mtakufa hivyo hivyo.
Arusha nayo balaaa
Seriously??? nna safari ya kuja hukoArusha nayo balaaa
Ipo kuna dereva Wa ibra line kazikwa leo, aliumwa ghafla na kufa siku hiyo hiyo, na hapaSeriously??? nna safari ya kuja huko
Uliwapima?Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.
Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.
Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.
Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.
Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.
Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.
Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Kwenye huu uzi kuna majinga aisee yanadhani nimepost kwamba mimi ni promoter wa chanjo yana akili kweli hayo majamaa?Yakikukuta ndo utajua yaanitaja
acha maneno mengi. taja hyo mitaa yenye misiba twende msibani. upumbavu ni kudalalia usiyoyajua. hamna mtaa moshi hapa wenye misiba sita pimbi weweKwenye huu uzi kuna majinga aisee yanadhani nimepost kwamba mimi ni promoter wa chanjo yana akili kweli hayo majamaa?Yakikukuta ndo utajua yaani
Jamaa hasemi uongo hali ni mbayaWewe ni mmoja wa team iliyopewa bando ili kurudisha hofu kwa watz juu ya uviko? Kama sio mmoja wao taja eneo au kijiji ambacho kina hiyo misiba 6. Tulioko moshi tuhakikishe. Sio vyema kushiriki kutia hofu wananchi
Leo nimeambiwa shemeji yangu yuko mahututi kwa Corona.The thing is realSiku yakikukuta ndio utajua kama Corona ipo au lah, naona mATAGA bado hawakomi
misiba 6 mtaa gani?Jamaa hasemi uongo hali ni mbaya
Lissu ameingiaje hapa sasa? Au ndio MK unakuwasha?Watu mnaishadidia corona utadhan ni ugonjwa mzuri wa kukumbatiwa halafu mnaua raia wasio na hatia kwan tuliwatuma muende huko kwenye maambukizi mengi mtuletee janga? Hasa wale mnaozurura duniani kwa kisingizio cha biashara na exposure.
Ooh hatutakubaliwa kusafiri kimataifa msxxxyuuuu zenu. Lissu kaleta korona wimbi la pili na la tatu huyo akatimka kufata la nne na la tano
ndio Watanzania wanavyotaka kusikia hiviLeo nimeambiwa shemeji yangu yuko mahututi kwa Corona.The thing is real
Kama Magufuli alivyokufa kwa hofu. Alikuwa anakebehi hivyo hivyo anasema korona ni hofu. Kunapokuwa na mlipuko wa kipundupindu kwa nini hamkatazi watu kusema kuna kipindupindu ili watu wasife kwa hofu.?Mod futeni huu ujinga ,tulishaukataa tokaa mwanzo ..
Watu wanakufa kwa hofu na ujinga ujinga wa walevi kama hawa
Mungu angekuwa katili kama wewe dunia isingekuwepo. Husda na ukatili wako usimsingizie Mungu!Huo ukanda walishangilia sana kifo cha Magufuli.
Hasira ya Mungu hiyo acha wapukutike
Acha kumshirikisha Mungu kwa vitu vya kubuniHuo ukanda walishangilia sana kifo cha Magufuli.
Hasira ya Mungu hiyo
Bush Mamy hua watu hawaamini mpaka waugue wafeIpo kuna dereva Wa ibra line kazikwa leo, aliumwa ghafla na kufa siku hiyo hiyo, na hapa
Jirani kuna mchungaji kafa ye na Mkewe,
We njoo tu kifo anapanga Mungu