Promotion ya chanjo on the beat....muogopeni Mungu
Bwana billgate chanjo uliyojituhumu kui promote, kwetu ni bure na ya hiari:
Bwana Mwigulu katuahidi ile ya daraja la White House. Au hukumsikia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Promotion ya chanjo on the beat....muogopeni Mungu
Walikufa wengi tu, hata meko naye alikufa kibuduKwani kabla ya corona watu walikuwa hawafi?
Acha ujuha.
UPUUZI huuMoshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.
Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.
Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.
Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.
Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.
Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.
Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Huo ukanda walishangilia sana kifo cha Magufuli.
Hasira ya Mungu hiyo acha wapukutike
Sasa si mtaje hiyo mitaa yenye misiba 6 ya uviko. Madalali wa chanjo mnazingua sana.Wewe ni zaidi ya mjinga
Huyo malisa ana wawakilishi kila kijiji kila mtaa huko moshi?
Huna akili
Kwani kabla ya corona watu walikuwa hawafi?
Acha ujuha.
Mingine iko hapa:Sasa si mtaje hiyo mitaa yenye misiba 6 ya uviko. Madalali wa chanjo mnazingua sana.
Kuna amiri jeshi mkuu wa majeshi ya nchi fulani hivi alikuwa anaongea kwa kuibeza korona hivi hivi - ikaishia kumwondoa!Mod futeni huu ujinga ,tulishaukataa tokaa mwanzo ..
Watu wanakufa kwa hofu na ujinga ujinga wa walevi kama hawa
Kuna amiri jeshi mkuu wa majeshi ya nchi fulani hivi alikuwa anaongea kwa kuibeza korona hivi hivi - ikaishia kumwondoa!
Kuna madaktari na manesi wameshachanjwa. Hawajifunzi. Wameshuhudia viongozi walivyo potea kama upepo ila bado wanashupaza shingo.Serikali iharakishe chanjo sie wenye shida tuchanje. Acha hao wasioamini waendelee na wasichokiamini. Alafu kiwakute kilichomkuta Mwendazake kwa ukaidi wake.
Corona ipo.ila.sio mambo za kujazana hofu....kufa siku zako.zikifika utakufa tu hata uvae mabarakoa buku.....wengi wanapata wanapona na pia wanaoenda wapo kama malaria tuSiku yakikukuta ndio utajua kama Corona ipo au lah, naona mATAGA bado hawakomi
Corona ipo.ila.sio mambo za kujazana hofu....kufa siku zako.zikifika utakufa tu hata uvae mabarakoa buku.....wengi wanapata wanapona na pia wanaoenda wapo kama malaria tu
Unapiga mbichi kwa.mfuga mbwa halaf unazuga na mabarakoaView attachment 1851629
Nadharia iliyoshiba kuhusu vifo na wendazao
Mabibi na mabwana zimekuwapo nadharia nyingi na zingine nyepesi nyepesi kuhusiana na vifo na wendazao. Mtumishi huyu wa Mungu katika udadavuzi wake kwa hakika ana hoja za msingi: Kwamba pana vifo vya aina 4: 1. Uzee (wa miaka ma Mia wako hapa) 2. Vya kusababishwa na kusababishiwa (wa kwenye...www.jamiiforums.com
Unapiga mbichi kwa.mfuga mbwa halaf unazuga na mabarakoa
Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.
Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.
Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.
Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.
Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.
Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.
Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Nyoooo usiombe KukutwaMod futeni huu ujinga ,tulishaukataa tokaa mwanzo ..
Watu wanakufa kwa hofu na ujinga ujinga wa walevi kama hawa