#COVID19 Hali ya Covid Moshi ni mbaya sana watu wanakuputika balaa

#COVID19 Hali ya Covid Moshi ni mbaya sana watu wanakuputika balaa

Promotion ya chanjo on the beat....muogopeni Mungu

Bwana billgate chanjo uliyojituhumu kui promote, kwetu ni bure na ya hiari:

IMG_20210713_163019_565.jpg


Bwana Mwigulu katuahidi ile ya daraja la White House. Au hukumsikia?
 
Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.

Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.

Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.

Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.

Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.

Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.

Hali ni mbaya sana huko Moshi.
UPUUZI huu

Madalali ya barakoa na misaada ya IMF tusitishane
 
Hasira ya Mungu ilikuwa juu ya muuaji mkuu aliyepeleka watu jela kwa makosa ya kusingiziwa. Akaumiza familia. Akituma watu wake kupiga risasi waliopingana naye... Kama mashetani ni wengi, huyo alikuwa mkuu wao.

Na ujue kuwa hakuna sehemu watu wanakufa sana kuliko Kanda ya Ziwa. Niko Kanda ya Ziwa.
Huo ukanda walishangilia sana kifo cha Magufuli.

Hasira ya Mungu hiyo acha wapukutike
 
Serikali iharakishe chanjo sie wenye shida tuchanje. Acha hao wasioamini waendelee na wasichokiamini. Alafu kiwakute kilichomkuta Mwendazake kwa ukaidi wake.
Kuna madaktari na manesi wameshachanjwa. Hawajifunzi. Wameshuhudia viongozi walivyo potea kama upepo ila bado wanashupaza shingo.
 
Siku yakikukuta ndio utajua kama Corona ipo au lah, naona mATAGA bado hawakomi
Corona ipo.ila.sio mambo za kujazana hofu....kufa siku zako.zikifika utakufa tu hata uvae mabarakoa buku.....wengi wanapata wanapona na pia wanaoenda wapo kama malaria tu
 
Kama hujafa wewe mleta mada pamoja n kuwa na tahadhli ndogo uliyo nayo kwenye pombe za bei ndogo, na magonjwa mtambuka uliyo nayo hizi ni POROJO tu.

Tuchukue Tahadhri juu ya UVIKO
 
Corona ipo.ila.sio mambo za kujazana hofu....kufa siku zako.zikifika utakufa tu hata uvae mabarakoa buku.....wengi wanapata wanapona na pia wanaoenda wapo kama malaria tu
IMG_20210713_165939_546.jpg


 
Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.

Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.

Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.

Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.

Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.

Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.

Hali ni mbaya sana huko Moshi.

Kuna wengine walikua hawaamini katakata kama kuna covid, sasa waendelee kutoamini na kufuata mashariti hakuna kulaumiana.
 
Mlima Kilimanjaro na wageni wanaopandda huo mlima naona ....baaa ya hapo na tabia za mshi kuria mbeeee.....mnashare taratibu taratibu....
 
Back
Top Bottom