Tetesi: Hali ya hatari kati ya Burundi vs Rwanda

Tetesi: Hali ya hatari kati ya Burundi vs Rwanda

LOVE U JF

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2015
Posts
2,138
Reaction score
1,639
Kama heading inavyojieleza, kuna sintofahamu kubwa kati ya nchi hizi jirani yaani Burundi na Rwanda ambapo majuzi baada ya Kagame kushuhudia mazoezi ya kijeshi huku askari wake wakijaribu mizinga mipya alitoa hotuba iliyo m criticise Nkurunziza baada ya wiki 2 lilitokea tukio la uvamizi katika msitu wa Nyungwe\Nyaruguru ambapo watu wanaosemekana kutoka Burundi walivamia wakachoma magari 3 ambapo mashuhuda waliohojiwa wanasema wavamizi walikuwa wanaongea Kirundi lakini waandishi wa nje hawakuruhusiwa kuhoji wanchi kuhusu tukio hilo.

Kwa mjibu wa msemaji wa Jeshi la RDF alikiri kuwa walibahatika kuua wavamizi 3 wengine wapatao 30 walitimkia Burndi hivyo msemaji huyo alisisitiza kua watajibu dhidi ya uvamizi huo na kwaupande wa pili wa Burundi juzi katiks mdaharo uliojumuisha wandishi wa habari na mawazari akiwemo wazir mambo ya ndani msemaji wa rais ,msemaji wizara ya ulinzi na usalama wa nchi ,mwandishi 1 aliuliza halo ya usalama ktk mpka na Rwanda na uchokozi ikiwa ni pamoja na kuteka wavuvi wa Kirundi swali hilo lilijibiwa na msemàji wa waziri usalama aliwatoa hofu wanachi wa Burundi kwakusema mipaka na jiran yao huyo imelindwa na aliongeza kwa kusema tunasafisha siraha zetu kila saa na tuko imara.

Swali langu je mikataba ya jumuia EAC inazunguza nini endapo wanachama watatwangana ? Welcome all

By: JF lover
 
Huenda tulikosea kuwakaribisha hawa wenzetu kwenye EAC...ni watu waliozoea kuuwana. Yaani wasipoona damu ya halaiki ikitiririka mioyo yao haitulii. Kuna umuhimu wa nchi hizi kuchukuliwa na kuwa mikoa ya Tanzania. Jwtz kapanueni mipaka ya nchi yetu
 
Kama heading inavyojieleza,kuna sintofahamu kubwa kati ya nchi hizi jirani yaani Burundi na Rwanda ambapo majuzi baada ya kagame kushuhudia mazoezi ya kijeshi huku askari wake wakijaribu mizinga mipya alitoa hotuba iliyo m criticise Nkurunziza baada ya wiki 2 lilitokea tukio la uvamizi katika msitu wa Nyungwe\ Nyaruguru ambapo watu wanaosemekana kutoka Burundi walivamia wakachoma magari 3 ambapo mashuhuda walio hojiwa wanasema wavamiz walikua wanaongea Kirundi lakini wandishi wa nje hawakuruhusiwa kuhoji wanchi kuhusu tukio hilo na kwa mjibu wa msemaji wa jeshi la RDF alikili kua walibahatika kuua wavamizi 3 wengine wapatao 30 walitimkia Burndi hivyo msemaji huyo alisisitiza kua watajibu dhidi ya uvamizi huo na kwaupande wa pili wa Burundi juzi katiks mdaharo uliojumuisha wandishi wa habari na mawazari akiwemo wazir mambo ya ndani msemaji wa rais ,msemaji wizara ya ulinzi na usalama wa nchi ,mwandishi 1 aliuliza halo ya usalama ktk mpka na Rwanda na uchokozi ikiwa ni pamoja na kuteka wavuvi wa Kirundi swali hilo lilijibiwa na msemàji wa waziri usalama aliwatoa hofu wanachi wa Burundi kwakusema mipaka na jiran yao huyo imelindwa na aliongeza kwa kusema tunasafisha siraha zetu kila saa na tuko imara.
Swali langu je mikataba ya jumuia EAC inazunguza nini endapo wanachama watatwangana ? Welcome all

By: JF lover
Hizo ni propaganda za Rwanda ili apate kisingizio cha kupigana na Burundi, Kagame anataka aweke utawala wake. Hafu Wanyarwanda na Warundi ni jamii moja vita vya nn?
 
Teh teh teh teh Burundi haiwezi kupambana na Rwanda. Labda ipate msaada wa kutosha.
 
Huenda tulikosea kuwakaribisha hawa wenzetu kwenye EAC...ni watu waliozoea kuuwana. Yaani wasipoona damu ya halaiki ikitiririka mioyo yao haitulii. Kuna umuhimu wa nchi hizi kuchukuliwa na kuwa mikoa ya Tanzania. Jwtz kapanueni mipaka ya nchi yetu
Unamtafuta Kagame eenhe,,,,
 
Teh teh teh teh Burundi haiwezi kupambana na Rwanda. Labda ipate msaada wa kutosha.
Usiseme haiwezi. Vita vya nchi na nchi mara nyingi ni vigumu sana maana kwa kawaida kila nchi inakuwa na wanaoiunga mkono. Hapo akina Uganda na wenzao wanaweza kuisaidia Burundi na Rwanda pia akasaidiwa na wenzake. Tuombe tu wasipigane maana athari zake ni mbaya kwa pande zote na hata kwa watanzania
 
Huenda tulikosea kuwakaribisha hawa wenzetu kwenye EAC...ni watu waliozoea kuuwana. Yaani wasipoona damu ya halaiki ikitiririka mioyo yao haitulii. Kuna umuhimu wa nchi hizi kuchukuliwa na kuwa mikoa ya Tanzania. Jwtz kapanueni mipaka ya nchi yetu
Naunga mkono
 
Teh teh teh teh Burundi haiwezi kupambana na Rwanda. Labda ipate msaada wa kutosha.
Ndugu angalia mfano wa vita ya Elitiria na Ethiopia ( upo kwenye top 10 ya majeshi imara afrika )
Ubora wa Ethiopia hata haukuonekana kabisa Burns vs Rwnd kila 1 ana marafiki na mbaya mimi naonaona kagame ana maadui wengi kwasababu ya uchokozi wake MF:Uganda , DRC n.k
 
Hadi pale wahutu wa Rwanda watakapoanza kumsaidia mhutu mwenzao wa Burundi ndiyo utagundua vita siyo a,b,c,d.
Believe or not, Rwanda has more enemies within than outside!
In addition Kagame haelewani na Uganda kwa sababu M7 anaunga mkono wapinzani wa PK including Gen Kayumba Nyamwasa. Sasa PK kuwa kwenye mgogoro na Nkurunziza ni kujiongezea matatizo.
Kwa sasa Burundi wanapata misaada ya kiuchumi na ulinzi kutoka SA, China, Russia, Libya & Misri. Pia yeyote akubali au asikubali, Tanzania ni rafiki mkubwa wa Burundi kuliko Rwanda.
PK anatiwa jeuri na US, Israel, UK, Canada, Australia pamoja na baadhi ya nchi za umoja wa ulaya.
 
Hadi pale wahutu wa Rwanda watakapoanza kumsaidia mhutu mwenzao wa Burundi ndiyo utagundua vita siyo a,b,c,d.
Believe or not, Rwanda has more enemies within than outside!
In addition Kagame haelewani na Uganda kwa sababu M7 anaunga mkono wapinzani wa PK including Gen Kayumba Nyamwasa. Sasa PK kuwa kwenye mgogoro na Nkurunziza ni kujiongezea matatizo.
Kwa sasa Burundi wanapata misaada ya kiuchumi na ulinzi kutoka SA, China, Russia, Libya & Misri. Pia yeyote akubali au asikubali, Tanzania ni rafiki mkubwa wa Burundi kuliko Rwanda.
PK anatiwa jeuri na US, Israel, UK, Canada, Australia pamoja na baadhi ya nchi za umoja wa ulaya.
 
Kama heading inavyojieleza,kuna sintofahamu kubwa kati ya nchi hizi jirani yaani Burundi na Rwanda ambapo majuzi baada ya kagame kushuhudia mazoezi ya kijeshi huku askari wake wakijaribu mizinga mipya alitoa hotuba iliyo m criticise Nkurunziza baada ya wiki 2 lilitokea tukio la uvamizi katika msitu wa Nyungwe\ Nyaruguru ambapo watu wanaosemekana kutoka Burundi walivamia wakachoma magari 3 ambapo mashuhuda walio hojiwa wanasema wavamiz walikua wanaongea Kirundi lakini wandishi wa nje hawakuruhusiwa kuhoji wanchi kuhusu tukio hilo na kwa mjibu wa msemaji wa jeshi la RDF alikili kua walibahatika kuua wavamizi 3 wengine wapatao 30 walitimkia Burndi hivyo msemaji huyo alisisitiza kua watajibu dhidi ya uvamizi huo na kwaupande wa pili wa Burundi juzi katiks mdaharo uliojumuisha wandishi wa habari na mawazari akiwemo wazir mambo ya ndani msemaji wa rais ,msemaji wizara ya ulinzi na usalama wa nchi ,mwandishi 1 aliuliza halo ya usalama ktk mpka na Rwanda na uchokozi ikiwa ni pamoja na kuteka wavuvi wa Kirundi swali hilo lilijibiwa na msemàji wa waziri usalama aliwatoa hofu wanachi wa Burundi kwakusema mipaka na jiran yao huyo imelindwa na aliongeza kwa kusema tunasafisha siraha zetu kila saa na tuko imara.
Swali langu je mikataba ya jumuia EAC inazunguza nini endapo wanachama watatwangana ? Welcome all

By: JF lover
Mm binafsi ninafurahi kuona hawa ndugu wakigombana tena sipo upande wowote sababu wote ni madikiteta
 
hii vita ikitokea kweli Tanzania tunaweza kunufaika sana kuliko tunavyofikiria kwanza zana nyingi za kivita zitapitia bandarini kwetu na mamia ya wakimbizi watakuja kwenye kambi zetu kwa hiyo ajira njenje na kwa maaskari walioko mipakani pesa ni za kujiokotea kabisa kutoka kwa hao wakimbizi kwahiyo kama mimi ningekuwa ndio nawashauri ningewashauri waanze kutwangana hata Jana asubuhi
 
Back
Top Bottom