Hali ya hewa leo Dar

Hali ya hewa leo Dar

Jamani asubuh kulikua jua. Ila huwezi amin ilipofika sa 8 wingu zito mara mvua hii hapa.

Hata TMA hawajatupa tahadhari kuna kiubaridi haswaa. Jamani vaeni masweta na miguun tupia tusoksi mana tiles zinatia ubarid.

Koroga kahawa au chai ya tangawizi kaa nayo pembeni kama una mzgo wa series huu ndo muda ss.

Usiwe kama Equation x angeshatafuta pisi ya kuzagamua au mzabzab anawaza kuita watoto wa watu.

Saa zingine kuspend time alone kuna karaha kake. Mimi nipo na series ya Citadel hapa karibuni😘
Wewe ni mwanamke au mwanaume wa Dar?
 
Usijari nitakuita sehemu zile sehemu zetu za kujidai huku ukiwa umevaa koti zito lakukeep joto litakalokuwa likizalishwa mwilini na kinywaji murua😊
avae koti la nini mkuu 😅😅😅... tafuta forward wa maana atupie mpila wavuni iishe hiyo
 
Yaaani haka kamvua nimeweka miguu ju utasema nna hela [emoji3][emoji3]

Naangalia zangu movie nawaza ningepata na kijikitimoto aah weeee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha
 
Nilikua buuzy na movie, baadae nkahamia kucheza PS, lakini badoo hali inagoma ku settle, nkaona niende kule ambakoo moto utapelekwa vyediiiiii.

Niko njiani ndo nakipelekaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Uduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na kitawaka moto
 
Back
Top Bottom