Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kweli ni kali. Karibu.Nasikia baridi ya mwaka huu A town si mchezo😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ni kali. Karibu.Nasikia baridi ya mwaka huu A town si mchezo😂😂
Usijari nitakuita sehemu zile sehemu zetu za kujidai huku ukiwa umevaa koti zito lakukeep joto litakalokuwa likizalishwa mwilini na kinywaji murua😊Fanyeni mpango tusalimiane
Wewe ni mwanamke au mwanaume wa Dar?Jamani asubuh kulikua jua. Ila huwezi amin ilipofika sa 8 wingu zito mara mvua hii hapa.
Hata TMA hawajatupa tahadhari kuna kiubaridi haswaa. Jamani vaeni masweta na miguun tupia tusoksi mana tiles zinatia ubarid.
Koroga kahawa au chai ya tangawizi kaa nayo pembeni kama una mzgo wa series huu ndo muda ss.
Usiwe kama Equation x angeshatafuta pisi ya kuzagamua au mzabzab anawaza kuita watoto wa watu.
Saa zingine kuspend time alone kuna karaha kake. Mimi nipo na series ya Citadel hapa karibuni😘
Itapendeza.Usijari nitakuita sehemu zile sehemu zetu za kujidai huku ukiwa umevaa koti zito lakukeep joto litakalokuwa likizalishwa mwilini na kinywaji murua😊
Ndani mbupu, nafanya utalii wa ndani.huku mkono mwingi ndani ya nyonyoà ½Ã¸
Majibu unayo mkuuWewe ni mwanamke au mwanaume wa Dar?
😅😅😅 humu jf wengi wapo single, alafu wanakaza kaza kizembe.. badala tupeane peane kirafiki .National Anthem ndio peke yake kajibu vile uzi unataka.🤣 Wengine mara nipo wapi nakula bia, mara nipo ghetto nashusha episodes, mara miguu juu nakula raha...
avae koti la nini mkuu 😅😅😅... tafuta forward wa maana atupie mpila wavuni iishe hiyoUsijari nitakuita sehemu zile sehemu zetu za kujidai huku ukiwa umevaa koti zito lakukeep joto litakalokuwa likizalishwa mwilini na kinywaji murua😊
Kuna ukimwi usiuze mechi😅😅😅 humu jf wengi wapo single, alafu wanakaza kaza kizembe.. badala tupeane peane kirafiki .
Nimekusoma Mkuu😊avae koti la nini mkuu 😅😅😅... tafuta forward wa maana atupie mpila wavuni iishe hiyo
😅😅😅... nyama ya nyamani tamu sanaaa.. huo ukimwi upite kushotooo...Kuna ukimwi usiuze mechi
😅😅😅 huyo mrembo mzuri anaonekana wa 🔥🔥🔥🔥 huwa nasoma mawazo yake.. ni professor kabisaaa huyooNimekusoma Mkuu😊
Yaaani haka kamvua nimeweka miguu ju utasema nna hela [emoji3][emoji3]
Naangalia zangu movie nawaza ningepata na kijikitimoto aah weeee
Nilikua buuzy na movie, baadae nkahamia kucheza PS, lakini badoo hali inagoma ku settle, nkaona niende kule ambakoo moto utapelekwa vyediiiiii.
Niko njiani ndo nakipelekaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
itabidi nikutembelee aisee😂Watu wa dar mnadeka sana. Haya karibuni arusha
Huko kwenu wanaume mnawaita gal sio?Wanaume wa dar bhna yani kimvua kidogo tu mshaanza kulalama ivyo embu uje huku njombe ukae hata wiki mbili tuone kama utasavaivu
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app