Hali ya hewa leo Dar

Hali ya hewa leo Dar

Nipe to location ya ulipo nije tuangalie wote hiyo citadel,Japo sidhani kama utakua

hujaimaliza,ka series gani kafupi kama Mkojo wa mtoto,Ntakuja na nyingine nzuri nzuri

ya kuitwa FROM nakuja nazo zote mbili tuzianze wote,Hali ya hewa hii sio ya kuangalia series

Tamu (fupi) unatakiwa upate kigongo halafu kirefu refu mpka kiishe na Muda wa kusema Good Night umefika.
From uangalie na mtoto mzuri kama new gal ili awe anakudandia Sandia wale watu wakutisha wanaokuja usiku?🤣🤣🙌
 
Yaani manyunyu kidogo tu ndio imekuwa baridi hadi kuanzishia nyuzi?

By the way hiki ni kipindi jua la utosi lipo mzingo wa kaskazini wa dunia, wakati kusini mwa dunia ni baridi...

Hivyo ni kawaida miezi hii hata kwa Dar kuwa na jotoridi lenye ubaridi, upepo kiasi...

Pia mabadiliko ya hali ya hewa yamechangia Dar kuwa na joto la chini, mathalani mwaka jana Dar ilikuwa na kipindi kirefu cha jotoridi lenye ubaridi kwa muda mrefu...
 
Yaani manyunyu kidogo tu ndio imekuwa baridi hadi kuanzishia nyuzi?

By the way hiki ni kipindi jua la utosi lipo mzingo wa kaskazini wa dunia, wakati kusini mwa dunia ni baridi...

Hivyo ni kawaida miezi hii hata kwa Dar kuwa na jotoridi lenye ubaridi, upepo kiasi...

Pia mabadiliko ya hali ya hewa yamechangia Dar kuwa na joto la chini, mathalani mwaka jana Dar ilikuwa na kipindi kirefu cha jotoridi lenye ubaridi kwa muda mrefu...
Asante kwa kuongea kijiografia mkuu🤝
 
Jamani asubuh kulikua jua. Ila huwezi amin ilipofika sa 8 wingu zito mara mvua hii hapa.

Hata TMA hawajatupa tahadhari kuna kiubaridi haswaa. Jamani vaeni masweta na miguun tupia tusoksi mana tiles zinatia ubarid.

Koroga kahawa au chai ya tangawizi kaa nayo pembeni kama una mzgo wa series huu ndo muda ss.

Usiwe kama Equation x angeshatafuta pisi ya kuzagamua au mzabzab anawaza kuita watoto wa watu.

Saa zingine kuspend time alone kuna karaha kake. Mimi nipo na series ya Citadel hapa karibuni[emoji8]
Uko vizur mkuu
 
Jamani asubuh kulikua jua. Ila huwezi amin ilipofika sa 8 wingu zito mara mvua hii hapa.

Hata TMA hawajatupa tahadhari kuna kiubaridi haswaa. Jamani vaeni masweta na miguun tupia tusoksi mana tiles zinatia ubarid.

Koroga kahawa au chai ya tangawizi kaa nayo pembeni kama una mzgo wa series huu ndo muda ss.

Usiwe kama Equation x angeshatafuta pisi ya kuzagamua au mzabzab anawaza kuita watoto wa watu.

Saa zingine kuspend time alone kuna karaha kake. Mimi nipo na series ya Citadel hapa karibuni😘
Nikwambie kitu, Na leo siogi😅😅
 
Hilo ndio baridi la Chuga kwenu kipindi hiki🤣🤣
Nalielewa sana maana nimekaa huko kikazi miaka 7.
Hapa nina blankets mbili, socks na nguo za kutosha na bado natetemeka
 
Hapa nina blankets mbili, socks na nguo za kutosha na bado natetemeka
Nasikia baridi ya mwaka huu A town si mchezo😂😂
Haha unanikumbusha inapofika asubuhi muda wa kwenda job, unapasha maji lakini una mawazo ya kibaridi baridi🤣🤣
 
Back
Top Bottom