Hali ya hewa leo Dar

Wewe ni mwanamke au mwanaume wa Dar?
 
Usijari nitakuita sehemu zile sehemu zetu za kujidai huku ukiwa umevaa koti zito lakukeep joto litakalokuwa likizalishwa mwilini na kinywaji murua😊
avae koti la nini mkuu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…... tafuta forward wa maana atupie mpila wavuni iishe hiyo
 
Yaaani haka kamvua nimeweka miguu ju utasema nna hela [emoji3][emoji3]

Naangalia zangu movie nawaza ningepata na kijikitimoto aah weeee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha
 
Nilikua buuzy na movie, baadae nkahamia kucheza PS, lakini badoo hali inagoma ku settle, nkaona niende kule ambakoo moto utapelekwa vyediiiiii.

Niko njiani ndo nakipelekaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Uduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na kitawaka moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…