BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Watu tunawaza nguo na mashuka vinakauka vipi nyie mnawaza mizagamuano.Baridi mwenzie mzagamuano.
Hiki ndio kipindi cha kina dada kutumiwa msg za kuwa wamemisiwa na kuitwa majumbani kwa wanaume.
Hahaa na hiki kimvua hotelini?? Hatari tusije tukang'ang'aniana bure😒😒😒 tukutane basi hata hotelin.. pasio kwako wala kwanguu.. unachukua huku umesimama mlangoni.. na kusepa
wanaume wa hovyoUmeona uwauwe😂😂😂
Ohoo!Wazinzi maarufu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna kubwaa kuliko. Haya acha yatokee ili walane nyama vizuri wenyewe kwa wenyeweSio hili tulilokopa fedha World Bank kwaajili ya uendeshaji wa Bandari alafu ndo hivyo tena DP World.......😷🙌
Ndio nashangaa wanalialia tuUliza watu wa Makete baridi ipo nyuzi 2. Nyie kidogo tu mnawalalamikia TMA.
Ila jaman kuna watu hela wanazishika nikichek magari yanayoingia ss hv had natetemekaKuna kubwaa kuliko. Haya acha yatokee ili walane nyama vizuri wenyewe kwa wenyewe
Wewe unalala tu. toka na wewe uzipate helaIla jaman kuna watu hela wanazishika nikichek magari yanayoingia ss hv had natetemeka
Ngoja tusubirie mkuu.😊Kuna kubwaa kuliko. Haya acha yatokee ili walane nyama vizuri wenyewe kwa wenyewe
Wewe endelea kuangalia series na socks zako mpaka magotini😆😆Ila jaman kuna watu hela wanazishika nikichek magari yanayoingia ss hv had natetemeka
watu wa dar ndio wanaongoza kuwa nyege tz nzimaaHivi huko daslam, mvua ikinyesha nayo ni habari eeehhh...🤔🤔
Hivi unadhani kwanini Mungu alimuumba Eva na kipindi kile adamu was controlled by nature yaani mvua juu yake, baridi juu yake, Wala alikuwa hajafunguka kiakili ili ajisitiri na baridi. Mungu fundi bhana🤣🤣🤣Hahaa na hiki kimvua hotelini?? Hatari tusije tukang'ang'aniana bure
Vipaumbele hutofautiana chief ila haimaanishi kuna yeyote alie sahihi ama batili.Watu tunawaza nguo na mashuka vinakauka vipi nyie mnawaza mizagamuano.
Umewatenga watu wanaotoka maeneo yenye asili ya baridi mkuu? Haujafika Nyanda za juu kusini huko na pande za Kanda ya kaskazini bila kuwasahau ndugu zetu wahaya🤣🤣watu wa dar ndio wanaongoza kuwa nyege tz nzimaa
anasikitisha sanaaa.. 😅😅Wewe endelea kuangalia series na socks zako mpaka magotini😆😆
😀😀😀 naona unamsaidia kumpa assist, itakua ukumbusho baada ya miezi 9 watoto mapacha😀 National AnthemHivi unadhani kwanini Mungu alimuumba Eva na kipindi kile adamu was controlled by nature yaani mvua juu yake, baridi juu yake, Wala alikuwa hajafunguka kiakili ili ajisitiri na baridi. Mungu fundi bhana🤣🤣🤣
So usijari mrembo, we tafuta chimbo mwana akuibukie😆😆
Hata nikifanya kaz 24 hours siyapat yaleWewe unalala tu. toka na wewe uzipate hela
😅😅 watu wa Dar wanakula sana supu ya pweza mkuu.. pia dar watu wame haribikiwa sana kuliko huko maeneo mengine.. Dar watu wamelewa mvinyo wa minyanduano ... mda kamaa huu kuna maeneo ni kama sodoma na gomoraa .. mikoani kuna mengi ya kujifunza kutoka dar es salaam..Umewatenga watu wanaotoka maeneo yenye asili ya baridi mkuu? Haujafika Nyanda za juu kusini huko na pande za Kanda ya kaskazini bila kuwasahau ndugu zetu wahaya🤣🤣
Dar inasingiziwa kwasababu ina mchanganyiko unaopelekea ubunifu mpya katika kuzagamuana😆😆😆
Kenge wewe😂😂😂. Njoo na ww uvae nna pea nyingWewe endelea kuangalia series na socks zako mpaka magotini😆😆