Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Bora Dodoma kuliko joto la Dar. Dar kuna lilie joto la kukaba unapata shida kuhema.
Wewe uko na mimi siwezi kuishi sehemu ya joto kama dar hakuna raha huko watu wanajianika nje ucku makelele ya feni huwezi tembea kwa miguu kwenye magari ya umma joto tupu .

Hata raha ya papuchi hakuna ndio maana unakuta hata uviko inakula vichwa Sana huko kwa watu laini wenye kushinda kwenye AC.

Mikoani Hali hiyo ni kawaida na ni kipindi kinapita haiwi mda wote
 
Halafu ndio wanahamasisha watu wawekeze dom....meko hakua na akili kabisa alipaswa atoe maji ya uhakika kwenye vyanzo moro mpka dom,ndio aanze kujenga huo mji
Wewe ni mpumbavu kabisa kwa hiyo kujenga Mji ni sawa na kujenga Banda lako hilo?

Mji inajengwa kwa hatua kwa hatua na sio overnight,kama ni maji kubwa kubwa Sana litajengwa hapo na pia kwenye mpango wa mda mrefu ni kutoa maji Victoria na Mtera ila kwa sasa wanaanza na bwawa.Hivyo hivyo na sekta zingine Kama afforestation.

Hakuna Mji utakuwa mzuri kuizidi Dom nchi hii by 2030 kwa kila kitu
 
Mademu wabovu kinyama. Sura zao kwa mbali unaweza jilipua uingie, wakikuaribia ndio unaona ngozi ya kenge. Mji gani wa kifala, sijui nani alipendekeza uwe mji mkuu. Vumbi kila kona, Mji haueleweki kabisa, serikali wamejenga majengo kama vichuguu yaani hayana mpangilio licha ya eneo kubwa la wazi. Ukifika stendi yao mpya abiria anaruhusiwa kuingia garini akiwa na mifugo yake mf MBUZI, KONDOO. Bora hata Morogoro.
Usifananishe Dom na Dar slum City
 
Wewe ni mpumbavu kabisa kwa hiyo kujenga Mji ni sawa na kujenga Banda lako hilo?

Mji inajengwa kwa hatua kwa hatua na sio overnight,kama ni maji kubwa kubwa Sana litajengwa hapo na pia kwenye mpango wa mda mrefu ni kutoa maji Victoria na Mtera ila kwa sasa wanaanza na bwawa.Hivyo hivyo na sekta zingine Kama afforestation.

Hakuna Mji utakuwa mzuri kuizidi Dom nchi hii by 2030 kwa kila kitu
JK Alisema Kigoma Itakuwa Kama Dubai
Mwanri Alisema Tabora Itakuwa Kama Toronto
Nafurahi Sana Nawe Umetuhakikishia Dodoma Itakuwa Nzuri By 2030
Kuliko Mkoa Wowote Hapa Tanzania 😂😁😀🤣😃😄
 
Hivi baridi Dom Ni kuanzia mwezi wangapi mpk wangapi?
Yaani mtu na akili zako unauliza baridi Dodoma,Dom kuna baridi? Kama unaogopa baridi unaweza kuishi mikoa ya Nyanda za Juu wewe? Maana si TU baridi kali bali kipindi cha upepo ni upepo mkali kutoka Ziwa Nyasa .

Tofauti na Dom ni kwamba huku kuna miti mingi
 
JK Alisema Kigoma Itakuwa Kama Dubai
Mwanri Alisema Tabora Itakuwa Kama Toronto
Nafurahi Sana Nawe Umetuhakikishia Dodoma Itakuwa Nzuri By 2030
Kuliko Mkoa Wowote Hapa Tanzania 😂😁😀🤣😃😄
Kigoma sio Mji mkuu wa serikali,hata sasa Dom ina mtandaoni mkubwa wa lami na zenye mpangilio kuliko Mji wowote Tzn hii ikiwemo Dar is Slum city .

Hapo ring roads hazijamalizika km 120 dual carriage,bado duar carriage zingine km 50 kila njia kuingia na kutoka Dom sasa utalinganisha na wapi kwa mfano.

Nimekwambia ujenzi unaenda kwa awamu ,mwaka huu ukiacha barabara wanaanza kujenga wizara zote bil.300 zimetolewa.
 
Yaani mtu na akili zako unauliza baridi Dodoma,Dom kuna baridi? Kama unaogopa baridi unaweza kuishi mikoa ya Nyanda za Juu wewe? Maana si TU baridi kali bali kipindi cha upepo ni upepo mkali kutoka Ziwa Nyasa .

Tofauti na Dom ni kwamba huku kuna miti mingi
Yaani mtu na akili zake analeta ujuaji kwny swali ambalo hajaulizwa?Kweli mtoto halali na hela analala na mavi.
 
Baridi kaliiiii...hewa kavuu...
Wadau mnaoishi Dodoma mnawezaje ishi.. mnatumia sabuni na mafuta gani.. maana mimi ndani ya wiki tu ngozi imekua kama ya kenge, bila citrizine mafua hayaishi..

Utadhani nina-uviko.. Maji chumvi..sabuni hazitoi povu..wadau mnaishije... Msaada tafadhali
Nimeishi Dar maisha yangu yote (takriban miaka 32), nimekuja dom nina miaka takribani mi3 tu kwa sasa, changamoto ya ngozi kuwa mbaya ilinitesa sana, hasa kwa yake mazoea ya Dar kutopenda kupaka mafuta mara kwa mara , ama kutumia lotion ya kuondoa unyevu usoni (sbb ya joto), niliishi Arusha kipindi fulani pia ilinitesa sana vilevile ka dom

Ila kwa sasa naweza kusema napapenda zaidi dom kuliko Dar...atlst niseme nimekubaliana na mazingira

Kupambana na changamoto ya ngozi kuwa kavu dodoma ni kutotumia sabuni usoni (ama paka mara chache sana), pia tumia lotion za kumoisturize ngozi Kama vile NIVEA repair & care kila unapopaka maji usoni hata ka haupo nyumbani, kutooga maji ya moto sana hasa kwa muda mrefu, ukipata fursa ya kuwa na humidifier ndani pia itasaidia

Mbali na hivyo ninaweza kusema napenda hali ya hewa ya dom kuliko joto kali la Dar na vurugu zake

Dar ipo na itazidi kung'ara, ila dom pia itaenda kuwa mji mzuri sana wa kuishi hapo baadaye

Karibuni Kisasa
 
Pamoja na njaa, ukame lakini ni kati ya mikoa yenye mademu wazuri kuliko Mbeya, Iringa,Njombe.
Vyakula vingi havisaidii wanawake kuwa wazuri !
 
Pamoja na njaa, ukame lakini ni kati ya mikoa yenye mademu wazuri kuliko Mbeya, Iringa,Njombe.
Vyakula vingi havisaidii wanawake kuwa wazuri !
Kondoa Kuna Sehemu Inaitwa Mauno Ukifika Unapata Shombe 😂😀😃
 
Back
Top Bottom