Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Yule mwehu alikosea sana kuhamisha serikali na wao wakamkubalia tu kisa alikua kichaa, sasa wanaona kwamba haikuwa sahihi ndiomaana kila uchao wako Dar wamejazana wanapiga misele tu , ukiuliza eti wamekuja kutalii ili wasisahau mitaa ya jiji, kimsingi hakuna hata mmoja wa watumishi waliotaka kwenda kuugua trakoma huko ni wazimu tu wa mwendazake
 
Yule mwehu alikosea sana kuhamisha serikali na wao wakamkubalia tu kisa alikua kichaa, sasa wanaona kwamba haikuwa sahihi ndiomaana kila uchao wako Dar wamejazana wanapiga misele tu , ukiuliza eti wamekuja kutalii ili wasisahau mitaa ya jiji, kimsingi hakuna hata mmoja wa watumishi waliotaka kwenda kuugua trakoma huko ni wazimu tu wa mwendazake
Mzilankende Alikataa Asizikwe Dodoma
Alisema Fisi Wa Watani Zake Watafukua Kaburi
Yule Jamaa 😁😁😂🤣😃😃🤣😂😄😅😄😁😀
 
Ukii dodoma ,moro,singida tegemea ngozi yako kuwa ovyo ovyo

Hi mikoa Hali zake za hewa na maji yake sio rafiki kabisa.


Watu wa pwani Wana ngozi nzuri sababu ya hali ya hewa na maji
 
Dodoma Malaya anataka 80000 mpaka 70000 kulala nae mpaka asubuhi short time wanataka 30000 mpaka 40000
 
Nilikutana na demu mmoja kipindi cha nyuma!tena bus terminal pale arusha nilimuona tuu nikamfeel na ule uarabu wake wa kuchovya!!

Niliongea nae nikaona kaniamini tuu!!
Labda kwa jinsi y uonekano wangu.

Nikachukua namba yake wakati namshusha olasiti huko kwa shangazi yake!!

Nilizoeana nae sana ikawa namfata pale kwa shangazi yake namtoa out kwa gia ya kumuonyesha mji..

Nikawa najilia sana yule mtoto!!
Akarudi huko dodoma...
Akanipa mwaliko nikaenda.

Ptuuuuu...
Yaani ule mji ulinikinai hatari kwa ile hali ya hewa!
Msela kila siku naaga niondoke ila mtoto analalamika niendelee kubaki baki..
Alichoniuzi ni kwamba alinishawishi sana kwamba hapo dodoma baadae serikali itahamishiwa hapo hvyo kuna viwanja ninunue!
Kweli nilinunua kiwanja bei rahisi sana!
Akawa anashughulikia yeye hicho kiwanja mambo ya kukatia hati na mengineyo!!
Mwisho nilimuachia kile kiwanja kiwe chake!
Yule demu angekubali kuja kuishi nilipo ningemuoa!!
Lakini hakutaka kuondoka dodoma kbs nikapiga chini
Uko vizuri kitabia
 
Ukii dodoma ,moro,singida tegemea ngozi yako kuwa ovyo ovyo

Hi mikoa Hali zake za hewa na maji yake sio rafiki kabisa.


Watu wa pwani Wana ngozi nzuri sababu ya hali ya hewa na maji
Kwenye list yako ondoa moro wewe, usilinganishe Moro na siginda acha mazereu [emoji23][emoji23]

Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
 
Kwenye list yako ondoa moro wewe, usilinganishe Moro na siginda acha mazereu [emoji23][emoji23]

Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Morogoro ni mkoa mzuri sana, fursa ni nyingi za pesa japo mzunguko ni mdogo sana wa pesa, na wakazi wa hapo wamezubazuba na wavivu sna.

Moro maji ni machafu, kama ni mtu unajali ngozi yako kuwa mweusi haipukiki.
 
Back
Top Bottom