Wordsworth
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,191
- 3,360
Inategemea unapoishi. Nilipo mimi kuna barabara mpaka mlangoni. We mwenzangu sijui unatesekea kijiji kipi?Kwa hiyo bora upigwe na vumbi mpaka macho yatoe utoko
Mwaka huu imeanza kunusa nusa tangu April na itakwenda hadi mwanzoni mwa September pale jua likianza kurudi kwenye mstari wa Ikweta.Wa sita mpaka saba mwanzoni tu mpaka tarehe 10 hivi inakuwaga imeisha ila hii ya mwaka huu naona inapitiliza tu inamaliza August sasa
chizi mwenyew nyie ndio wale wenye mindset za kidar mkishazoea ulaini wa huko dar kwenu bas sehem zngne mnaona kama takataka, oyaa si kila sehem itakupenda, na ndio maana wazungu wakija afrika wanapauka kwa jua wakirud makwao wanamuwa fresh, lkn kuna wabongo sehem za badr kama uko ulaya wanapauka, wakirud bongo wananawil.....Wew ni chizi, yaani Dodoma hiyo hiyo nayoifahamu unasema unanawiri! Mama nanii tu na weupe wake akikaa huko for one week anakuwa mweusi ti, sembuse wewe pangu pakavu
[emoji23][emoji23]Unapauka kama mwathirika ukija Dar na Ngozi yako huchukui demu wanajua umeumia
Singida inatofauti gani na dom kwenye hali ya hewa? maji chumvi, upepo, baridi, vumbi pamoja na hewa kavu vyote hivi Singida vipo.Nilishasema humu, hali ya hewa ya Singida ipo mild, wafanye extension ya kujenga makao makuu Singida.......lakini wademkaji wapo bize kupiga kampeni makao makuu kurudi Dar, kwa minajili ya kukuza miji yetu mtu mwenye akili timamu huwezi kushadadia makao makuu kurudi Dar....
Sure maji ya Moro machafu sanaMorogoro ni mkoa mzuri sana, fursa ni nyingi za pesa japo mzunguko ni mdogo sana wa pesa, na wakazi wa hapo wamezubazuba na wavivu sna.
Moro maji ni machafu, kama ni mtu unajali ngozi yako kuwa mweusi haipukiki.
Nina mwaka wa 6 huu huku, sijawahi kuona ngozi yangu inapauka kwa namna ambayo mjumbe ameelezea. Nadhani ni suala la mwili kuadapt mazingira husika!Mkuu vumilia, ngozi itakubaliana na hali hiyo muda sio mrefu, nami yalinikuta hayo [emoji1787]
Mimi kumenishinda aise nilikaa mwezi tu ngozi ya mwili ikaanza kutoka kama nyoka vile nadhan maji yalinikataa aiseNina mwaka wa 6 huu huku, sijawahi kuona ngozi yangu inapauka kwa namna ambayo mjumbe ameelezea. Nadhani ni suala la mwili kuadapt mazingira husika!
Ulikuwa unaishi maeneo gani mkuu?Mimi kumenishinda aise nilikaa mwezi tu ngozi ya mwili ikaanza kutoka kama nyoka vile nadhan maji yalinikataa aise
Kuna wadau waliniambia Dodoma ni mjini zaidi na pana mzunguko mkubwa wa fedha kuliko Singida. Kwenye upande wa hali ya hewa ni sehemu zinazoshabihiana sana kwani zote zinapatikana kanda ya kati na ni Mikoa Jirani.Singida inatofauti gani na dom kwenye hali ya hewa? maji chumvi, upepo, baridi, vumbi pamoja na hewa kavu vyote hivi Singida vipo.
Kule maeneo ya maili mbili karibu na chuo cha mipangoUlikuwa unaishi maeneo gani mkuu?
Wee zwazwa, singida ina hali njema sana ukilinganisha na dodoma...Singida inatofauti gani na dom kwenye hali ya hewa? maji chumvi, upepo, baridi, vumbi pamoja na hewa kavu vyote hivi Singida vipo.
Dom pazur hao wanaopadic washamba tuPamoja na yote,kuku wa pale Chako ni chako na maeneo ya Royal village watamu jamani,bado nikifikiria na zile nyama choma kule mnadani vinanifanya nisipachukie kabisa Dodoma[emoji16][emoji16]...
Uko sahihi. Mimi nimeishi Dodoma huu saa ni mwaka wa 26. Kwa mgeni anayefika kwa mara ya kwanza maji na hali ya hewa itakupa shida lkn ukishazoea utapapenda. Pia Dodoma Ni sehemu inayopata mvua nyingi kipindi cha kati ya December na March hivyo unaweza kufunga gutters kwenye paa la nyumba yako ukavuna maji ya mvua ukatumia miezi 8 kwa maana ya kuanzia April hadi November. Mimi nina experience ya kuvuna maji ya mvua hivyo situmii maji chumvi. Dodoma Ni sehemu nzuri sana ya kuishi maana iko cool na mji umepangwa vizuri. Hali ya hewa inaanza kubadilika kadiri tunavyozidi kupanda miti na kutunza mazingira.Nimeishi Dar maisha yangu yote (takriban miaka 32), nimekuja dom nina miaka takribani mi3 tu kwa sasa, changamoto ya ngozi kuwa mbaya ilinitesa sana, hasa kwa yake mazoea ya Dar kutopenda kupaka mafuta mara kwa mara , ama kutumia lotion ya kuondoa unyevu usoni (sbb ya joto), niliishi Arusha kipindi fulani pia ilinitesa sana vilevile ka dom
Ila kwa sasa naweza kusema napapenda zaidi dom kuliko Dar...atlst niseme nimekubaliana na mazingira
Kupambana na changamoto ya ngozi kuwa kavu dodoma ni kutotumia sabuni usoni (ama paka mara chache sana), pia tumia lotion za kumoisturize ngozi Kama vile NIVEA repair & care kila unapopaka maji usoni hata ka haupo nyumbani, kutooga maji ya moto sana hasa kwa muda mrefu, ukipata fursa ya kuwa na humidifier ndani pia itasaidia
Mbali na hivyo ninaweza kusema napenda hali ya hewa ya dom kuliko joto kali la Dar na vurugu zake
Dar ipo na itazidi kung'ara, ila dom pia itaenda kuwa mji mzuri sana wa kuishi hapo baadaye
Karibuni Kisasa
Kabisa.Safi Mkuu watu tupo hapa tunapambania ugali wa watoto na maisha yanaenda
the bare land of ndugaiBaridi kaliiiii...hewa kavuu...
Wadau mnaoishi Dodoma mnawezaje ishi.. mnatumia sabuni na mafuta gani.. maana mimi ndani ya wiki tu ngozi imekua kama ya kenge, bila citrizine mafua hayaishi..
Utadhani nina-uviko.. Maji chumvi..sabuni hazitoi povu..wadau mnaishije... Msaada tafadhali
hapo mipango na mailimbili kiujumla maji yake mabaya sana njoo kikuyu hapa St John hutojutia huku sisi washuaKule maeneo ya maili mbili karibu na chuo cha mipango
Nina mwaka wa 6 huu huku, sijawahi kuona ngozi yangu inapauka kwa namna ambayo mjumbe ameelezea. Nadhani ni suala la mwili kuadapt mazingira husika!
Nina mwaka wa 6 huu huku, sijawahi kuona ngozi yangu inapauka kwa namna ambayo mjumbe ameelezea. Nadhani ni suala la mwili kuadapt mazingira husika