Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,754
- 4,746
Uko Kisasa Mkuu? Share codes za location PM nije weekend kukusabahi.Karibu sana kisasa,.
Ila hali ya hewa yake iko poa sana. Imagine pale Dom mwaka mzima unakunja ndita [emoji23][emoji23]moro kuna tope na vumbi jekundu hatari..
Sawa ili tulipane peaaa za uhamishoBasi kàma mmeamua singida tutatekeleza..
Tongotongo kama maziwa mgando au utokUpepo Mwingi Vumbi Jepesi Tongotongo Tele
haahaha kweli hali ya hewa poa lakini na changamoto zipo, tope baya sana msimu wa mvua ukikanyaga chini kiatu kinanasa mzigo mzito huwezi kunyanyua mguu..Ila hali ya hewa yake iko poa sana. Imagine pale Dom mwaka mzima unakunja ndita [emoji23][emoji23]
Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Unapauka kama mwathirika ukija Dar na Ngozi yako huchukui demu wanajua umeumiaHuwa natumia Nivea..but naona imedunda...
Alafu macho yanatoa utoko mzitoBado msimu wa vumbi mzee,.ni kama umetoka chumvini vile unavyokuwa,.. daah!!! Sema nini me Dom nilikuwa yechu yechu tuu...
Kwa hiyo bora upigwe na vumbi mpaka macho yatoe utokoBora Dodoma kuliko joto la Dar. Dar kuna lilie joto la kukaba unapata shida kuhema.
Weka picha tuone hiyo ngozi yako ilivyonawiriHaya mapuuzi yanayoiongelea Dodoma vibaya yamekuwa mengi sasa JF uzalendo umenishinda wacha niwazabue..hiv mtu unakuja dodoma unakaa uswahilin ambako maji tu shida, ukichanganya na umasikin wako wa kushindwa kununua hata sabuni nzur na mafuta mazur unazan utanawil? hii iko Tz nzima na dunia nzma hata uende sehem gan nzur, kama mifuko yako inasoma 0" jihesabu wew n wakupauka tuu, mbona sis tupo hapo for almost 7yrs na tunapendeza ngozi nzurii zinang'aa,..maswahibu yako usitake kulaumu mkoa mzima, nanyie mapimbi wengine mnaosapoti huu ujinga tutakuja makwenu tupathaminishe na Dodoma pumbv zenu....
Mkuu ilikuwepo CDA ambayo ina wataalamu wa mipango miji, kwa sasa kazi ya mipango miji wamerudishiwa madiwani.......hivi diwani mwenye elimu ya hapa na pale anayo akili ya kupangilia majengo na mandhari ya jiji........akili ya diwani ndo inaweza ku transform Dodoma kuwa jiji la kisasa? wadanganyika hatujawahi kuwa serious aisee...Kufanya sehemu kame kama Dodoma iwe sehemu nzuri inahitaji mambo mawili. 1. Maji 2. Commitment ya kupanda miti (bustani, mpangilio mzuri wa mji eg open spaces)
Mkuu umeenda shule tena chuo kikuu . your so smart.Hiyo hali ya kupauka ngozi kunasababishwa na low humidity, hewa haina unyevu kama ilivyo kwa Dar. Inabidi watumie cream au lotion zinazoweka unyevu kwenye ngozi (moisturizing lotion/cream), na kutokana na hali ya baridi kuoga maji ya moto kwa muda mrefu (hot shower) hupelekea ngozi kupoteza maji, kwa hiyo kama unaoga maji ya moto jitahidi usijimwagie zaidi ya dk 5.....
[emoji23][emoji23] Tope jekundu la msimu na linavumilika na pia inategemea na eneo Hamieni Moro wakuuhaahaha kweli hali ya hewa poa lakini na changamoto zipo, tope baya sana msimu wa mvua ukikanyaga chini kiatu kinanasa mzigo mzito huwezi kunyanyua mguu..
Hawawezi. Inahitaji wataalam tena wenye moyo hasa wa kuifanya. Madiwani wapo kuchumia matumbo yao.Mkuu ilikuwepo CDA ambayo ina wataalamu wa mipango miji, kwa sasa kazi ya mipango miji wamerudishiwa madiwani.......hivi diwani mwenye elimu ya hapa na pale anayo akili ya kupangilia majengo na mandhari ya jiji........akili ya diwani ndo inaweza ku transform Dodoma kuwa jiji la kisasa? wadanganyika hatujawahi kuwa serious aisee...
Utazoea mkuu,Mimi nina alergy na vumbi nikija huko c chafya zitaniua mkuu
Pata kazi afu tafuta uhamisho usepe uwaachie vumbi laoDoooh sasa mbona nim nmeomba kaz huo mji,una nitisha ndugu
Zabibu au bunge ndio vinaondoa vumbi au ukameMkuu umesahau bunge na zabibu[emoji3]
Hahahahah NANE NANE mkuu. Unakutana na mtu anaingia kwa gari na mbuzi wake.we nae hata kama ni uongo sasa umezidisha, stand gani hiyo ya kwenda na mbuzi kwenye gari.....sasa kwa kifua kipana naweza kusema kuna mtu amekuacha kwenye mataa huko ukachukia mkoa mzima..
Pale kijana wa 'kiume' anapoona bora akose kazi kwa sababu ya kuogopa HALI ya HEWA!Doooh sasa mbona nim nmeomba kaz huo mji,una nitisha ndugu
Sina jeuri hiyo nduguPale kijana wa 'kiume' anapoona bora akose kazi kwa sababu ya kuogopa HALI ya HEWA!