124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,813
- 5,514
Nami pia nina cha upepo changu huko na hii hamisha hamisha yaoOhoooo kuna demu wangu huko taratibu baharia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami pia nina cha upepo changu huko na hii hamisha hamisha yaoOhoooo kuna demu wangu huko taratibu baharia
[emoji1787][emoji1787][emoji16] na wanasema eti tukiwa mbali huwa tunatafuniwaNami pia nina cha upepo changu huko na hii hamisha hamisha yao
hapo sasa![emoji1787][emoji1787][emoji16] na wanasema eti tukiwa mbali huwa tunatafuniwa
nilikuwa naenda mara mbili kwa mwezi sasa imekuwa mara mojankwa miezi kadhaa[emoji1787][emoji1787][emoji16] na wanasema eti tukiwa mbali huwa tunatafuniwa
Hahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23], ndio vilivyo videm vyakule vinaomba balaaaMwambie huyo.. ni demu wangu wa Dodoma anayo Tamu balaa.. sasa ananzaje kukandia tena jamani?
Sema kanaomba hela hako.. hakana kona yani utasikia Tu naomba hela ukiuliza ya nini hakana jibu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mademu wabovu kinyama. Sura zao kwa mbali unaweza jilipua uingie, wakikuaribia ndio unaona ngozi ya kenge. Mji gani wa kifala, sijui nani alipendekeza uwe mji mkuu. Vumbi kila kona, Mji haueleweki kabisa, serikali wamejenga majengo kama vichuguu yaani hayana mpangilio licha ya eneo kubwa la wazi. Ukifika stendi yao mpya abiria anaruhusiwa kuingia garini akiwa na mifugo yake mf MBUZI, KONDOO. Bora hata Morogoro.Afu mda wote wamekunja ndita sababu ya vumbi
Kuku buku 14, 15, 16 Mzima na wa kienyeji. Sasa ukitoka pale ukikutana na pisi zao ndio unaona bora uguse ngozi ya kuku tu. Dodoma pa kisenge sana.Pamoja na yote,kuku wa pale Chako ni chako na maeneo ya Royal village watamu jamani,bado nikifikiria na zile nyama choma kule mnadani vinanifanya nisipachukie kabisa Dodoma[emoji16][emoji16]...
Usifananishe Moro na ule mji wa kiboyaMademu wabovu kinyama. Sura zao kwa mbali unaweza jilipua uingie, wakikuaribia ndio unaona ngozi ya kenge. Mji gani wa kifala, sijui nani alipendekeza uwe mji mkuu. Vumbi kila kona, Mji haueleweki kabisa, serikali wamejenga majengo kama vichuguu yaani hayana mpangilio licha ya eneo kubwa la wazi. Ukifika stendi yao mpya abiria anaruhusiwa kuingia garini akiwa na mifugo yake mf MBUZI, KONDOO. Bora hata Morogoro.
Weka picha yako hapa. Na unaishi mtaa upi ambao una hali ya hewa nzuri pale Dom? Dodoma pamelaaniwa pale, watu wake wamepauka mwanzo mwisho, ukibahatika kuwa na pisi za CBE, MIPANGO, UDOM nk nao wamebadilika hata kama wametoka sehemu nzuri utawaona wana ngozi ngumu. Kwa kifupi hakufai kwa matumizi ya binadamu. Kule ilifaa wajenge Jela tu.Haya mapuuzi yanayoiongelea Dodoma vibaya yamekuwa mengi sasa JF uzalendo umenishinda wacha niwazabue..hiv mtu unakuja dodoma unakaa uswahilin ambako maji tu shida, ukichanganya na umasikin wako wa kushindwa kununua hata sabuni nzur na mafuta mazur unazan utanawil? hii iko Tz nzima na dunia nzma hata uende sehem gan nzur, kama mifuko yako inasoma 0" jihesabu wew n wakupauka tuu, mbona sis tupo hapo for almost 7yrs na tunapendeza ngozi nzurii zinang'aa,..maswahibu yako usitake kulaumu mkoa mzima, nanyie mapimbi wengine mnaosapoti huu ujinga tutakuja makwenu tupathaminishe na Dodoma pumbv zenu....
Haha haha Dom wagogo wenzako wanauza nyama huku Vingunguti na Pugu mnadani wamekimbia ukame na kuvuna Ubuyu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya mapuuzi yanayoiongelea Dodoma vibaya yamekuwa mengi sasa JF uzalendo umenishinda wacha niwazabue..hiv mtu unakuja dodoma unakaa uswahilin ambako maji tu shida, ukichanganya na umasikin wako wa kushindwa kununua hata sabuni nzur na mafuta mazur unazan utanawil? hii iko Tz nzima na dunia nzma hata uende sehem gan nzur, kama mifuko yako inasoma 0" jihesabu wew n wakupauka tuu, mbona sis tupo hapo for almost 7yrs na tunapendeza ngozi nzurii zinang'aa,..maswahibu yako usitake kulaumu mkoa mzima, nanyie mapimbi wengine mnaosapoti huu ujinga tutakuja makwenu tupathaminishe na Dodoma pumbv zenu....
Kweli afu Kuna shida ya maji sana kuna mtaa wao wanauona wa kishua wanauita Nkuhungu maji ya shidaWeka picha yako hapa. Na unaishi mtaa upi ambao una hali ya hewa nzuri pale Dom? Dodoma pamelaaniwa pale, watu wake wamepauka mwanzo mwisho, ukibahatika kuwa na pisi za CBE, MIPANGO, UDOM nk nao wamebadilika hata kama wametoka sehemu nzuri utawaona wana ngozi ngumu. Kwa kifupi hakufai kwa matumizi ya binadamu. Kule ilifaa wajenge Jela tu.
Njoovtuu mkuu tena mazao ya Dodoma hayana chemical,ni originally hasa!kila kitu ni bora hasa,mahindi,mafuta ya alizeti vumbi lisikutishe kwani we katope?Na nilikuwa na mpango wa kuhamia dom ila kwa kinachoendelea humu wala siendi
Mbona wanapasifia sana hasa kiuchumi!?Pagumu Sana Sana
Pole ndugu, karibu makao makuu yanchiBaridi kaliiiii...hewa kavuu...
Wadau mnaoishi Dodoma mnawezaje ishi..mnatumia sabuni na mafuta gan..maana mm ndani ya wiki tu ngozi imekua kama ya kenge, bila citrizine mafua hayaishi.. utazani nina-uviko.. Maji chumvi..sabuni hazitoi povu..wadau mnaishije...Msaada tafadhali
Ardhi gani kame vile, vumbi na upepo ndio vitu pekee vinapatikana DodomaDuhhh.. sio Kweli mkuu
Hivi baridi Dom Ni kuanzia mwezi wangapi mpk wangapi?Kwa kweli sisi wazawa wa hapa baridi la msimu huu ni refu kama kimba la usiku.
Wa sita mpaka saba mwanzoni tu mpaka tarehe 10 hivi inakuwaga imeisha ila hii ya mwaka huu naona inapitiliza tu inamaliza August sasaHivi baridi Dom Ni kuanzia mwezi wangapi mpk wangapi?