ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Wakuu mbona paukweli tu mitaa yangu Ni ihumwa,kisasa napiga kazi kwenye mrad wa reli.kweli ukame upo ila sio wa kutisha kiasi kwamba hakunaga mboga za majani..zipo kibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] Hili la kukunja ndita [emoji817] niliwahi kuishi hiyo fasi. Nakumbuka nilimwambia mwenyeji wangu kuwa watu wa huku wengi sana wanakunja ndita, jamaa akajibu jua kali vumbi jumlisha na nonstop upepo. Dodoma muda mwingi upepo unavuma aseeAfu mda wote wamekunja ndita sababu ya vumbi
[emoji23][emoji23] Moro tena?Haa[emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28][emoji23][emoji16][emoji3]
Serikali Sasa Hivi Iamue Japo Irudi Morogoro
Na yenye omba omba professionalDodoma ni ardhi iliyolaaniwa
Sasa Mkuu Wapi Unafikiri[emoji23][emoji23] Moro tena?
🤣😂😄😅😂😁😀Na yenye omba omba professional
Yule Baba AlilazimishaDom ni nyoko nimepakimbia
Unavuta hewa kama unavuta misumari au viwembe puaniHiyo hali ya kupauka ngozi kunasababishwa na low humidity, hewa haina unyevu kama ilivyo kwa Dar. Inabidi watumie cream au lotion zinazoweka unyevu kwenye ngozi (moisturizing lotion/cream), na kutokana na hali ya baridi kuoga maji ya moto kwa muda mrefu (hot shower) hupelekea ngozi kupoteza maji, kwa hiyo kama unaoga maji ya moto jitahidi usijimwagie zaidi ya dk 5.....
Unapapasa unakutana na ukakasi kama nukta nunduMi binafsi nimeshindwa kuishi... Hakuna mafuta unatumia ukawa na ngozi nzuri, mademu wao wamekomaa ngozi kichizi.
Kwa kigezo cha hali ya hewa Moro pako njema asee. Tena safi tu sema hawawezi kuhamia.Sasa Mkuu Wapi Unafikiri
Morogoro Safi Siyo Kama Dodoma Tongotongo
Hakika mkuu na hata ikibaki hapo hapo ni sawa tu seikali iwekezepo tu mambo yatakaa sawa .mbona israel na uarabuni ni majangwa lakini wameweza kupatengeneza pakapendezaNilishasema humu, hali ya hewa ya Singida ipo mild, wafanye extension ya kujenga makao makuu Singida.......lakini wademkaji wapo bize kupiga kampeni makao makuu kurudi Dar, kwa minajili ya kukuza miji yetu mtu mwenye akili timamu huwezi kushadadia makao makuu kurudi Dar....
Ha ha haaaa...mkuu ni hatari..I am not joking
Samahani mkuu, hivi nini hasa husababisha tongotongo? chukulia macho ya Muhusika hayana shida yoyote.Watu Wanatoka Tongotongo Kwenye Macho Mpaka Huruma YaaniHapa Bado!!🙄🙄😶😶😑😐😏😣