Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Bado msimu wa vumbi mzee,.ni kama umetoka chumvini vile unavyokuwa,.. daah!!! Sema nini me Dom nilikuwa yechu yechu tuu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekuwa raisi, kesho ungepokea barua ya teuzi.....Hiyo hali ya kupauka ngozi kunasababishwa na low humidity, hewa haina unyevu kama ilivyo kwa Dar. Inabidi watumie cream au lotion zinazoweka unyevu kwenye ngozi (moisturizing lotion/cream), na kutokana na hali ya baridi kuoga maji ya moto kwa muda mrefu (hot shower) hupelekea ngozi kupoteza maji, kwa hiyo kama unaoga maji ya moto jitahidi usijimwagie zaidi ya dk 5.....
Na nilikuwa na mpango wa kuhamia dom ila kwa kinachoendelea humu wala siendiMi binafsi nimeshindwa kuishi... Hakuna mafuta unatumia ukawa na ngozi nzuri, mademu wao wamekomaa ngozi kichizi.
Na nilikuwa na mpango wa kuhamia dom ila kwa kinachoendelea humu wala siendiMi binafsi nimeshindwa kuishi... Hakuna mafuta unatumia ukawa na ngozi nzuri, mademu wao wamekomaa ngozi kichizi.
Afu mda wote wamekunja ndita sababu ya vumbi
[emoji23][emoji23][emoji23]Subiri na tetemeko dom ndo njia yake [emoji3][emoji3][emoji3]Baridi kaliiiii...hewa kavuu...
Wadau mnaoishi Dodoma mnawezaje ishi..mnatumia sabuni na mafuta gan..maana mm ndani ya wiki tu ngozi imekua kama ya kenge, bila citrizine mafua hayaishi.. utazani nina-uviko.. Maji chumvi..sabuni hazitoi povu..wadau mnaishije...Msaada tafadhali
Upepo Wenye Vumbi Muda WoteSamahani mkuu, hivi nini hasa husababisha tongotongo? chukulia macho ya Muhusika hayana shida yoyote.
[emoji23][emoji23][emoji23]Afu mda wote wamekunja ndita sababu ya vumbi
Morogoro Inaungana Na Dar Es SalaamKwa kigezo cha hali ya hewa Moro pako njema asee. Tena safi tu sema hawawezi kuhamia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi binafsi nimeshindwa kuishi... Hakuna mafuta unatumia ukawa na ngozi nzuri, mademu wao wamekomaa ngozi kichizi.
Chumvini tena Mkuu?Bado msimu wa vumbi mzee,.ni kama umetoka chumvini vile unavyokuwa,.. daah!!! Sema nini me Dom nilikuwa yechu yechu tuu...
Duhhh.. sio Kweli mkuuDodoma ni ardhi iliyolaaniwa
Halafu ndio wanahamasisha watu wawekeze dom....meko hakua na akili kabisa alipaswa atoe maji ya uhakika kwenye vyanzo moro mpka dom,ndio aanze kujenga huo mjiBaridi kaliiiii...hewa kavuu...
Wadau mnaoishi Dodoma mnawezaje ishi..mnatumia sabuni na mafuta gan..maana mm ndani ya wiki tu ngozi imekua kama ya kenge, bila citrizine mafua hayaishi.. utazani nina-uviko.. Maji chumvi..sabuni hazitoi povu..wadau mnaishije...Msaada tafadhali
Mwambie huyo.. ni demu wangu wa Dodoma anayo Tamu balaa.. sasa ananzaje kukandia tena jamani?Ohoooo kuna demu wangu huko taratibu baharia