Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Eee mkuu,Chumvini tena Mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eee mkuu,Chumvini tena Mkuu?
Tena baridi la dom linakufanya mtu uwe mweusi haswaaaa. Nguo pia zinapaukaaaaa na maji ya chumvi hasa nguo nyeusiBaridi kaliiiii...hewa kavuu...
Wadau mnaoishi Dodoma mnawezaje ishi.. mnatumia sabuni na mafuta gani.. maana mimi ndani ya wiki tu ngozi imekua kama ya kenge, bila citrizine mafua hayaishi..
Utadhani nina-uviko.. Maji chumvi..sabuni hazitoi povu..wadau mnaishije... Msaada tafadhali
Nilidhani mwaka mzima huo ubaridi unakuwepo mkuu.Wa sita mpaka saba mwanzoni tu mpaka tarehe 10 hivi inakuwaga imeisha ila hii ya mwaka huu naona inapitiliza tu inamaliza August sasa
Tumia shower gel ndo kiboko ya hali ya hewa ya Dodoma. Mafuta tumia ya mgando au mgando changanya na mafuta ya nazi. UtaenjoyiBaridi kaliiiii...hewa kavuu...
Wadau mnaoishi Dodoma mnawezaje ishi.. mnatumia sabuni na mafuta gani.. maana mimi ndani ya wiki tu ngozi imekua kama ya kenge, bila citrizine mafua hayaishi..
Utadhani nina-uviko.. Maji chumvi..sabuni hazitoi povu..wadau mnaishije... Msaada tafadhali
Aisee mi ni mhanga wa maji moto yaani iwe jua,iwe mvua ni maji moto Tu Dar pekee ndo inaweza tokea kuoga maji baridi ila mikoani nishashindwa kabisa ndo mana sometime naona ngozi yangu inakuwa kavu kumbe maji moto huchangia na siwezi paka cream yangu bila mosturizer natumia sana mafuta ya nazi ila kuna kipindi ngozi inakataa kabisa[emoji22][emoji22]Hiyo hali ya kupauka ngozi kunasababishwa na low humidity, hewa haina unyevu kama ilivyo kwa Dar. Inabidi watumie cream au lotion zinazoweka unyevu kwenye ngozi (moisturizing lotion/cream), na kutokana na hali ya baridi kuoga maji ya moto kwa muda mrefu (hot shower) hupelekea ngozi kupoteza maji, kwa hiyo kama unaoga maji ya moto jitahidi usijimwagie zaidi ya dk 5.....
Yaani Dom inataka moyo aisee kuna Baridi baya japo halizidi nyanda za juu ila upepo wake sio kabisaHuwa natumia Nivea..but naona imedunda...
Mimi nina alergy na vumbi nikija huko c chafya zitaniua mkuuNjoovtuu mkuu tena mazao ya Dodoma hayana chemical,ni originally hasa!kila kitu ni bora hasa,mahindi,mafuta ya alizeti vumbi lisikutishe kwani we katope?
Kwa kigezo cha hali ya hewa Moro pako njema asee. Tena safi tu sema hawawezi kuhamia.
Mkuu umesahau bunge na zabibu[emoji3]Ardhi gani kame vile, vumbi na upepo ndio vitu pekee vinapatikana Dodoma
Huwezi kufa ingekuwa hivyo tungekuwa tumezika wengi kwa sababu hiyo ,utazoea tu Afu maisha utayaona simple.Mimi nina alergy na vumbi nikija huko c chafya zitaniua mkuu
Sasa ww unaapendekeza serikali ijikite tena ujenzi wa makao makuu Singida ?Nilishasema humu, hali ya hewa ya Singida ipo mild, wafanye extension ya kujenga makao makuu Singida.......lakini wademkaji wapo bize kupiga kampeni makao makuu kurudi Dar, kwa minajili ya kukuza miji yetu mtu mwenye akili timamu huwezi kushadadia makao makuu kurudi Dar....
Aisee.Eee mkuu,
Hataree ipo. DOM nimetokea kupapenda sana tena wadau wa DOM mkuye tutengeneze wing yetuEee mkuu,
moro kuna tope na vumbi jekundu hatari..Kwa kigezo cha hali ya hewa Moro pako njema asee. Tena safi tu sema hawawezi kuhamia.
Karibu sana kisasa,.Hataree ipo. DOM nimetokea kupapenda sana tena wadau wa DOM mkuye tutengeneze wing yetu
Kufanya sehemu kame kama Dodoma iwe sehemu nzuri inahitaji mambo mawili. 1. Maji 2. Commitment ya kupanda miti (bustani, mpangilio mzuri wa mji eg open spaces)Exactly, ingekuwa rahisi kwa nchi zilizoendelea......kwa sisi pwagu na pwaguzi itachukua karne nzima kupafanya Dodoma pawe na hali ya hewa ya kuridhisha.
we nae hata kama ni uongo sasa umezidisha, stand gani hiyo ya kwenda na mbuzi kwenye gari.....sasa kwa kifua kipana naweza kusema kuna mtu amekuacha kwenye mataa huko ukachukia mkoa mzima..Mademu wabovu kinyama. Sura zao kwa mbali unaweza jilipua uingie, wakikuaribia ndio unaona ngozi ya kenge. Mji gani wa kifala, sijui nani alipendekeza uwe mji mkuu. Vumbi kila kona, Mji haueleweki kabisa, serikali wamejenga majengo kama vichuguu yaani hayana mpangilio licha ya eneo kubwa la wazi. Ukifika stendi yao mpya abiria anaruhusiwa kuingia garini akiwa na mifugo yake mf MBUZI, KONDOO. Bora hata Morogoro.
Na Kila anayeiponda Dom aseme anakotoka!! Nimekaa Dom miaka 5 naona pako poa tu.inategemea na life standard zako!!Haya mapuuzi yanayoiongelea Dodoma vibaya yamekuwa mengi sasa JF uzalendo umenishinda wacha niwazabue..hiv mtu unakuja dodoma unakaa uswahilin ambako maji tu shida, ukichanganya na umasikin wako wa kushindwa kununua hata sabuni nzur na mafuta mazur unazan utanawil? hii iko Tz nzima na dunia nzma hata uende sehem gan nzur, kama mifuko yako inasoma 0" jihesabu wew n wakupauka tuu, mbona sis tupo hapo for almost 7yrs na tunapendeza ngozi nzurii zinang'aa,..maswahibu yako usitake kulaumu mkoa mzima, nanyie mapimbi wengine mnaosapoti huu ujinga tutakuja makwenu tupathaminishe na Dodoma pumbv zenu....