Ha haaaa...akituma unitag mkuuWeka picha tuone hiyo ngozi yako ilivyonawiri
Shukrani mkuu..ntajaribu..ntaleta mrejeshoTumia shower gel ndo kiboko ya hali ya hewa ya Dodoma. Mafuta tumia ya mgando au mgando changanya na mafuta ya nazi. Utaenjoyi
Mkuu kisasa ni uswahilini?Haya mapuuzi yanayoiongelea Dodoma vibaya yamekuwa mengi sasa JF uzalendo umenishinda wacha niwazabue..hiv mtu unakuja dodoma unakaa uswahilin ambako maji tu shida, ukichanganya na umasikin wako wa kushindwa kununua hata sabuni nzur na mafuta mazur unazan utanawil? hii iko Tz nzima na dunia nzma hata uende sehem gan nzur, kama mifuko yako inasoma 0" jihesabu wew n wakupauka tuu, mbona sis tupo hapo for almost 7yrs na tunapendeza ngozi nzurii zinang'aa,..maswahibu yako usitake kulaumu mkoa mzima, nanyie mapimbi wengine mnaosapoti huu ujinga tutakuja makwenu tupathaminishe na Dodoma pumbv zenu....
Nnitakuja mkuuKaribu Area D
Dodoma na Lusaka ni hali moja, vumbi hewa kavu na kupauka ...ILA Dodoma ikijengwa kisasa miundombinu ya uhakika.. lami kila barabara zenye pavement na bustani kali ... Walaah itakuja kuwa bonge la Jiji tena kimbilio.Mademu wabovu kinyama. Sura zao kwa mbali unaweza jilipua uingie, wakikuaribia ndio unaona ngozi ya kenge. Mji gani wa kifala, sijui nani alipendekeza uwe mji mkuu. Vumbi kila kona, Mji haueleweki kabisa, serikali wamejenga majengo kama vichuguu yaani hayana mpangilio licha ya eneo kubwa la wazi. Ukifika stendi yao mpya abiria anaruhusiwa kuingia garini akiwa na mifugo yake mf MBUZI, KONDOO. Bora hata Morogoro.
Na ikalaanika?Dodoma ni ardhi iliyolaaniwa
Karibu sanaHa haaaa...akituma unitag mkuu
Shukrani mkuu..ntajaribu..ntaleta mrejesho
Nakubaliana na wewe hapa Nyerere alifeli sehemu sahihi ya kujenga Mji kuu ilifaa iwe Singida .Nilishasema humu, hali ya hewa ya Singida ipo mild, wafanye extension ya kujenga makao makuu Singida.......lakini wademkaji wapo bize kupiga kampeni makao makuu kurudi Dar, kwa minajili ya kukuza miji yetu mtu mwenye akili timamu huwezi kushadadia makao makuu kurudi Dar....
Lakini mnavyowekeza utadhani kubaya Sana kumbe ni kawaida tuu,Tzn hapa hakuna sehemu yoyote yenye mazingira harsh hata kidogoHiyo hali ya kupauka ngozi kunasababishwa na low humidity, hewa haina unyevu kama ilivyo kwa Dar. Inabidi watumie cream au lotion zinazoweka unyevu kwenye ngozi (moisturizing lotion/cream), na kutokana na hali ya baridi kuoga maji ya moto kwa muda mrefu (hot shower) hupelekea ngozi kupoteza maji, kwa hiyo kama unaoga maji ya moto jitahidi usijimwagie zaidi ya dk 5.....
Yaani Ndiyo Ukweli WenyeweDodoma kweli pagumu sana, wengine tunaishi kwamba hakuna namna ila hali ya hewa nzito sana, weekend moja ukienda Dar unaona utofauti na hata ukitoka Dom ukifika Moro unahisi mwili kubadilika,
Pagumu mno mno !!!!
Acha porojo wewe serikali imetoa bil.300 mwaka huu kuendelea na ujenzi wa mjiMkuu naunga mkono hoja yako, ila Dodoma tutatumia nguvu nyingi. Semi-desert to change it need more scientific procedure and technology. Forget about politicians reality it's a big matter
Hazina iko tupu, shahidi tozo za uzalendo. City plans alizoweka JPM zinahitaji pesa mingi na miradi ni shendele bado mibichi
Kumekucha Sasa HiviWatu wote wenye hasira zao na mastess yao mnakaribishwa kwenye huu uzi. Rucksa kutoa ya rohoni kwa jina la Dodoma.ππ
πππ€£πππ ππThread Imesagiwa Kunguni Ili Inuke ππUzi umejaa chuki binafsi...
Kama unataka ngozi laini kama Dem nenda Dar Mikoani kote Hali ni hiyo hiyoThread Yako Inaweza Kupata Upinzani Kutoka Genge La Watu Ila Ukweli Umeusema Wazi
Hali Ngumu Wanaishi Huko Ngozi Kavu Maji Ya Visima Kutoka Mzakwe Upepo Muda Wote
Yaani Bado Ni Mkoa Ambao Ulihitaji Maboresho Sana Yule Baba Anaitwa Mzilankende Alitumia Nguvu