Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Hali ya hewa ya Dodoma imenishinda

Wanaume wa Dar kilakitu kina washinda, mwanaume rijali huwez sema hadharani upuuzi kama huo...
Wanaume sikuhiz mnalalamika kishoga shoga tu, wanawake wanawashinda, mnapenda maisha mepesi ndio maana mnashikishwa ukuta
Makasiriko
 
Kwa kweli Dodoma sipapendi hata mimi.
Hali ya hewa ya huku hapana aisee.
Mpaka huwa nawauliza wenyeji wanawezaji kuishi hapa miaka yote hiyo.
 
Haya mapuuzi yanayoiongelea Dodoma vibaya yamekuwa mengi sasa JF uzalendo umenishinda wacha niwazabue..hiv mtu unakuja dodoma unakaa uswahilin ambako maji tu shida, ukichanganya na umasikin wako wa kushindwa kununua hata sabuni nzur na mafuta mazur unazan utanawil? hii iko Tz nzima na dunia nzma hata uende sehem gan nzur, kama mifuko yako inasoma 0" jihesabu wew n wakupauka tuu, mbona sis tupo hapo for almost 7yrs na tunapendeza ngozi nzurii zinang'aa,..maswahibu yako usitake kulaumu mkoa mzima, nanyie mapimbi wengine mnaosapoti huu ujinga tutakuja makwenu tupathaminishe na Dodoma pumbv zenu....
Mkuu kisasa ni uswahilini?
 
Baridi + upepo + vumbi.

Yaani puku...puku..puku puku..puku..puku...
Hovyooo sana.
 
Mademu wabovu kinyama. Sura zao kwa mbali unaweza jilipua uingie, wakikuaribia ndio unaona ngozi ya kenge. Mji gani wa kifala, sijui nani alipendekeza uwe mji mkuu. Vumbi kila kona, Mji haueleweki kabisa, serikali wamejenga majengo kama vichuguu yaani hayana mpangilio licha ya eneo kubwa la wazi. Ukifika stendi yao mpya abiria anaruhusiwa kuingia garini akiwa na mifugo yake mf MBUZI, KONDOO. Bora hata Morogoro.
Dodoma na Lusaka ni hali moja, vumbi hewa kavu na kupauka ...ILA Dodoma ikijengwa kisasa miundombinu ya uhakika.. lami kila barabara zenye pavement na bustani kali ... Walaah itakuja kuwa bonge la Jiji tena kimbilio.
 
Nilishasema humu, hali ya hewa ya Singida ipo mild, wafanye extension ya kujenga makao makuu Singida.......lakini wademkaji wapo bize kupiga kampeni makao makuu kurudi Dar, kwa minajili ya kukuza miji yetu mtu mwenye akili timamu huwezi kushadadia makao makuu kurudi Dar....
Nakubaliana na wewe hapa Nyerere alifeli sehemu sahihi ya kujenga Mji kuu ilifaa iwe Singida .

Kwa Dodoma Ili pawe stable miti lazima ipandwe mingi Sana,maji yaletwe ya Ziwa au mito
 
Hiyo hali ya kupauka ngozi kunasababishwa na low humidity, hewa haina unyevu kama ilivyo kwa Dar. Inabidi watumie cream au lotion zinazoweka unyevu kwenye ngozi (moisturizing lotion/cream), na kutokana na hali ya baridi kuoga maji ya moto kwa muda mrefu (hot shower) hupelekea ngozi kupoteza maji, kwa hiyo kama unaoga maji ya moto jitahidi usijimwagie zaidi ya dk 5.....
Lakini mnavyowekeza utadhani kubaya Sana kumbe ni kawaida tuu,Tzn hapa hakuna sehemu yoyote yenye mazingira harsh hata kidogo
 
Dodoma kweli pagumu sana, wengine tunaishi kwamba hakuna namna ila hali ya hewa nzito sana, weekend moja ukienda Dar unaona utofauti na hata ukitoka Dom ukifika Moro unahisi mwili kubadilika,
Pagumu mno mno !!!!
Yaani Ndiyo Ukweli Wenyewe
Ukifika Morogoro Tu Hali Safi
Hata Utatamani Wahamie Japo Morogoro
Dodoma Kumetushinda TAbia 😂🤣😃😅
 
Mkuu naunga mkono hoja yako, ila Dodoma tutatumia nguvu nyingi. Semi-desert to change it need more scientific procedure and technology. Forget about politicians reality it's a big matter

Hazina iko tupu, shahidi tozo za uzalendo. City plans alizoweka JPM zinahitaji pesa mingi na miradi ni shendele bado mibichi
Acha porojo wewe serikali imetoa bil.300 mwaka huu kuendelea na ujenzi wa mji
 
Thread Yako Inaweza Kupata Upinzani Kutoka Genge La Watu Ila Ukweli Umeusema Wazi
Hali Ngumu Wanaishi Huko Ngozi Kavu Maji Ya Visima Kutoka Mzakwe Upepo Muda Wote

Yaani Bado Ni Mkoa Ambao Ulihitaji Maboresho Sana Yule Baba Anaitwa Mzilankende Alitumia Nguvu
Kama unataka ngozi laini kama Dem nenda Dar Mikoani kote Hali ni hiyo hiyo
 
Back
Top Bottom