Hali ya Jack gerezani Macau siyo nzuri

Hali ya Jack gerezani Macau siyo nzuri

Yaan muda mwingine banaa post zako

Hamna hivyo Dina nina bro wangu anakunywa methodonine zao na nimeishi kwenye sehemu iuzwayo unga na juzi kati narudi home nakuta watoto wadogo wameingia kwenye biashara hiyo.Wengine watasema wamejitakia lakini hawajui kama familia zao zingekaa karibu ya biashara hiyo wangekuaje hao.Mungu tusaidie tutokomeze hili janga.
 
Hamna hivyo Dina nina bro wangu anakunywa methodonine zao na nimeishi kwenye sehemu iuzwayo unga na juzi kati narudi home nakuta watoto wadogo wameingia kwenye biashara hiyo.Wengine watasema wamejitakia lakini hawajui kama familia zao zingekaa karibu ya biashara hiyo wangekuaje hao.Mungu tusaidie tutokomeze hili janga.

Poleeee sanaaa mi hayo nayasikiaga tu hayo madawaa
 
Lazma afya yake itetereke si alikua na uhusiano na Captain wa majengo pacha.?
alaf hatutakiwi kuwaonea huruma watu kama hawa..
 
Kile alichokifanya alijua faida yake na hasara yake....lazima tufike mahali tujue kwamba ikiwa faida kubwa basi na hasara nayo kubwa....ama kweli starehe gharama, isipo kugharimu jasho itakugharimu maisha.
 
Yaan had sasa ivi nikiona nguo na products za gucci na louis vuitton sijui namkumbuka jack tu, yule dada aliwakomesha aiseeh

Aliwakomeshajee???halaf mbona jux anamkana tena binam
 
UNAWEZA kusema ni majanga juu ya majanga yanazidi kumkumba modo wa Bongo, Jacqueline Patrick ‘Jack’ baada ya wiki iliyopita kushindwa kupanda kortini kufuatia kutetereka kwa afya yake bila kufafanuliwa. Mbali na kuwa na afya tete, pia Jack anadaiwa kulalamikia haki za msingi za kibinadamu ambazo anazikosa mahabusu kwa kuishi maisha kama ya mtu aliye kifungoni.

Akizungumza juzi jijini Dar, mtu anayejitolea kumpa msaada na kumtembelea Jack mahabusu, Macau, China alikoshikiliwa, Matilda- alisema Jack anaumia kwa kupewa maisha kama tayari amehukumiwa, anaona bora hukumu yake ipite ajue moja. “Kiukweli Jack anaumwa, alishindwa hata kwenda mahamani, mbaya zaidi hata wakili wake naye hakutokea siku iyo

Aache kulalamika uko, kwani mfano angefanikisha ilo deal angerudi Tz kulalamika??sana sana angekuja kujinadi kua ana fedha tena za halali. Mi naamini kabla hajafanya uo upuuzi alijua FAIDA na HASARA sasa now yupo side ya hasara atumikie tu sehemu iyo
 
Hivi nae ni mmoja kati ya wale 65 wanaotarajiwa 'kunyongwa' huko china?

Serikali ya GREENLABEL haijatoa tamko lolote juu ya hawa wananchi mpaka sasa?

Mbona nchi nyingine zinawatetea raia wake mpaka kwenye makosa mazito sana? iweje Tanzania?

Kwanini uongozi wa GREENLABEL uko kimya jamani juu ya watu wake ambao wanakaribia 'kukatwa vichwa' karibuni?
Wamama wanajifungulia njiani watu watatu kitandani wodini watoto wanakaa chini serikali ian mambo ya msingi yakufanya na sio kufanya mambo ya kitaahira.

Hakutumwa ni kwa starehe zake alafu siku nyingine ufikirie cha kuongea we poyoyo.
 
Serikali ya tanzania ingekuwa inasheria kali kama za china pengine matatizo ya madawa yangepungua sana.huyu ni mmoja wa waathirika wa madawa ya kulevya hapa china.nlimkuta amekaa pembeni ya barabara hapa kitongoji cha xiaobei mjini guangzhou.kama mnavyomuona ameisha kabisa na kubaki mifupa mitupu,pengine jack patrik angefanikiwa kupita pale macau na kuingia huku mainland huyu nae angekuwa mmoja ya watu ambao wangeutumia huo mzigo aliokuja nao.hawa wauza unga si wakuonewa huruma kabisa sababu ni wauaji wanaangamiza maisha ya vijana kama huyu.kesho kutwa wabongo zaidi ya hamsini wananyongwa huku.tuacheni tamaa jaman.tutafute rizki za halali

attachment.php

Jamaa ni sembe au minyenyere? mbona kaisha sana.
 
attachment.php

Jamaa ni sembe au minyenyere? mbona kaisha sana.

Sembe hyo mkuu .deile namwona akiwa kalanduka hajielewi kabisa fulu udenda hata kutembea kwa shida,huyu inaonekana hali kabisa
 
Wamama wanajifungulia njiani watu watatu kitandani wodini watoto wanakaa chini serikali ian mambo ya msingi yakufanya na sio kufanya mambo ya kitaahira.

Hakutumwa ni kwa starehe zake alafu siku nyingine ufikirie cha kuongea we poyoyo.
Serikali ipo kwa ajili ya watu wa aina fulani kumbe? we wa wapi?

mbona kura tulipiga sawa na zikahesabiwa sawa? kila sector inatofauti za priorities,

huyo mama anaejifungulia njiani ana wizara husika ambayo inatakiwa ishughulikie mahitaji yake,

Huyu anaeuza unga nae ana wizara mahususi kwa ajili yake,

Mwizi na jambazi na wahalifu wa kila aina, wao pia wana chombo maalum kwa ajili ya kushughulika nao,

Mwisho wa siku, maamuzi makuu yanatolewa na serikali kuu juu ya wananchi wake!

Usione upande mmoja umezidiwa na shida basi ukadhani ndio una haki ya kusaidiwa kuliko mwingine!

Kwa taarifa yako tu, hao unaowaita masikini ambao wanatakiwa kusaidiwa na serikali, ndio wanaonyonywa na serikali kwa kulipishwa kodi nzito, halafu mwisho wa siku, pesa zao zinaelekezwa kusikojulikana!

No research, no right to open your mouth aiming to speak.
 
Serikali ipo kwa ajili ya watu wa aina fulani kumbe? we wa wapi?

mbona kura tulipiga sawa na zikahesabiwa sawa? kila sector inatofauti za priorities,

huyo mama anaejifungulia njiani ana wizara husika ambayo inatakiwa ishughulikie mahitaji yake,

Huyu anaeuza unga nae ana wizara mahususi kwa ajili yake,

Mwizi na jambazi na wahalifu wa kila aina, wao pia wana chombo maalum kwa ajili ya kushughulika nao,

Mwisho wa siku, maamuzi makuu yanatolewa na serikali kuu juu ya wananchi wake!

Usione upande mmoja umezidiwa na shida basi ukadhani ndio una haki ya kusaidiwa kuliko mwingine!

Kwa taarifa yako tu, hao unaowaita masikini ambao wanatakiwa kusaidiwa na serikali, ndio wanaonyonywa na serikali kwa kulipishwa kodi nzito, halafu mwisho wa siku, pesa zao zinaelekezwa kusikojulikana!

No research, no right to open your mouth aiming to speak.
So serikali iongeze fungu kwenye wizara mabo ya nje kwaajili ya kuwatetea wauza unga na kuwalipia mawakili???

you deserve even a life BAN!!!
 
Back
Top Bottom