Hali ya kisiasa kijamii na kiuchumi inaelekea kuwa ngumu sana

Hali ya kisiasa kijamii na kiuchumi inaelekea kuwa ngumu sana

Nairobian

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
873
Reaction score
2,281
Kwa yanayojiri nchini Tanzania kwa sasa inahashiria ugumu wa maisha mbele yetu. Hali ya kisiasa kiuchumi na kijamii inaelekea kuwa ngumu sana hapo mbeleni.

Wiki jana USA imewapiga ban viongozi wa Tanzania, ina maana shuguli nyingi zitakwama kwani kitovu cha uchumi wa dunia ni Marekani. Leo Uingereza imepiga ban watanzania wote. Hatujui jumuiya ya ulaya inapanga nini dhidi ya Tanzania.

Kwa wajuzi wa mambo, hii Hali siyo ya kawaida na inaonyesha ugumu wa mambo hapo mbeleni. Chama Dume, mkombozi kusini mwa afrika.

CCM, hebu mtuambie mbele yetu kuna nini? Na hizi kodi, na tozo za kufa mtu, Mtuambie mbele yetu kuna nini.
 
Kwa yanayojiri nchini Tanzania kwa sasa inahashiria ugumu wa maisha mbele yetu. Hali ya kisiasa kiuchumi na kijamii inaelekea kuwa ngumu sana hapo mbeleni.

Wiki jana USA imewapiga ban viongozi wa Tanzania, ina maana shuguli nyingi zitakwama kwani kitovu cha uchumi wa dunia ni Marekani. Leo Uingereza imepiga ban watanzania wote. Hatujui jumuiya ya ulaya inapanga nini dhidi ya Tanzania.

Kwa wajuzi wa mambo, hii Hali siyo ya kawaida na inaonyesha ugumu wa mambo hapo mbeleni. Chama Dume, mkombozi kusini mwa afrika.

CCM, hebu mtuambie mbele yetu kuna nini? Na hizi kodi, na tozo za kufa mtu, Mtuambie mbele yetu kuna nini
Imetenguliwa hii ingawa haina maana kwetu
 
Hakuna kilichotenguliwa Boss, soma vizuri lile tamko la Marekani.
Acha tabia yenu ya kuwaogofya watu ili kuleta taharuki. Makubaliano kati ya mpumbavu Tundu Lissu na trump chali. Na hawa hawajui kiingilish?
 

Attachments

  • 22C0AA3D-54C0-407B-A56A-3F509ADF3096.png
    22C0AA3D-54C0-407B-A56A-3F509ADF3096.png
    200.3 KB · Views: 1
Acha tabia yenu ya kuwaogofya watu ili kuleta taharuki. Makubaliano kati ya mpumbavu Tundu Lissu na trump chali. Na hawa hawajui kiingilish?
Hujui hata kinachoongelewa ni bora ungeficha aibu yako, viongozi na wote waliosababisha ukandamizaji wa demokrasia wamepigwa ban kuingia Marekani, ban iliyoondolewa ni ya Watanzania wa kawaida wanaoshiriki bahati nasibu ya VISA ya USA.
 
Back
Top Bottom