Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hajiatolewa ban wewe ni kusudio lililotolewa na Pombeo na Trump wake waliofungashwa virago.Raisi mpya KAKATAA MAKUSUDIO YOTE ALIYOWEKA Trump na kibaraka wake Pompeo na kamtaja kwenye hotuba yake ya kusimikwa kuwa Pompeo ndiye aliyeharibu mahusiano ya kimataifa ya Marekani na nchi zingine katenguaHujui hata kinachoongelewa ni bora ungeficha aibu yako, viongozi na wote waliosababisha ukandamizaji wa demokrasia wamepigwa ban kuingia Marekani, ban iliyoondolewa ni ya Watanzania wa kawaida wanaoshiriki bahati nasibu ya VISA ya USA.
Hapa ndo nashindwa kuwaelewa wafuasi wa CCM na huenda nisiwaelewe milele maana hamueleweki. Watanzania wamepigwa ban na Marekani na tunajua wengine mlikuwa mnapeleka wake zenu kuzalia Marekani (cc: Makonda) ili kupata baadhi ya haki za Umarekani. Sasa Wamarekani kupigwa ban na China inasaidia nini Watanzania?hajiatolewa ban wewe ni kusudio lililotolewa na Pombeo na Trump wake waliofungashwa virago.Raisi mpya KAKATAA MAKUSUDIO YOTE ALIYOWEKA Trump na kibaraka wake Pompeo na kamtaja kwenye hotuba yake ya kusimikwa kuwa Pompeo ndiye aliyeharibu mahusiano ya kimataifa ya Marekani na nchi zingine katengua
Na china imepiga marufuku Pompeo na maafisa 28 wa iliyokuwa serikali ya Marekani ya Trump kukanyaga China na biashaara zao marufuku China
Watakosa soko la bidhaa zao .Hujui kuwa wamarekani wanazalisha bidhaa zao china ndipo zinakuja kwetu?Sasa Wamarekani kupigwa ban na China inasaidia nini Watanzania?
Kwa mimi pro life Huko ni kuzuia haki ya mtoto kuishi.Kuweka ban kwa mzazi asijifungulie marekani ni kuzuia haki ya kiumbe kisicho na hatia kuishi !! ni murder case hiyo!! Marekani wanachofanya kwa hilo ni mauaji siyo kitu cha kuchekelea hata kidogoWatanzania wamepigwa ban na Marekani tunajua wengine mlikuwa mnapeleka wake zenu kuzalia Marekani (cc: Makonda) ili kupata baadhi ya haki za Umarekani.
Umenifanya nicheke kwenye daladala hadi konda kakumbuka kunidai nauli wakati alishasahau.Kwa mimi pro life Huko ni kuzuia haki ya mtoto kuishi.Kuweka ban kwa mzazi asijifungulie marekani ni kuzuia haki ya kiumbe kisicho na hatia kuishi !! ni murder case hayo!! Marekani wanachofanya kwa hilo ni mauaji siyo kitu cha kuchekelea hata kidogo
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia sanaKwa yanayojiri nchini Tanzania kwa sasa inahashiria ugumu wa maisha mbele yetu. Hali ya kisiasa kiuchumi na kijamii inaelekea kuwa ngumu sana hapo mbeleni.
Wiki jana USA imewapiga ban viongozi wa Tanzania, ina maana shuguli nyingi zitakwama kwani kitovu cha uchumi wa dunia ni Marekani. Leo Uingereza imepiga ban watanzania wote. Hatujui jumuiya ya ulaya inapanga nini dhidi ya Tanzania.
Kwa wajuzi wa mambo, hii Hali siyo ya kawaida na inaonyesha ugumu wa mambo hapo mbeleni. Chama Dume, mkombozi kusini mwa afrika.
CCM, hebu mtuambie mbele yetu kuna nini? Na hizi kodi, na tozo za kufa mtu, Mtuambie mbele yetu kuna nini
Kwahiyo? Mnategemea kupewa urais na shoga Robert Amsterdam?
Tatizo watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumia sana
Ukitaka kufaidi awamu hii ya Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
LA sivyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
Kweli ujana ni nusu ya umajnuniKwel mjinga huzeeka na ujinga wake
Kweli ujana ni nusu ya umajnuni
Na isichelewe ili sote tutumie vyichwa kufikiri.KODI YA KICHWA ITARUDI.
ipi iliyotenguliwa ?Imetenguliwa hii ingawa haina maana kwetu
Ujana ni nusu ya umajnuniYawezekana umepitia kote huko,ulivyokuwa kijana ulikuwa majnuun na jaahili murakkab na sasa uzeen umekubuhu na kubobea ujingan na hakika utakufa nao
Si umuelekeze unachoona hakijui..!Hujui kitu kaa kimya!!
[emoji23][emoji1787]
Mkuu umejibiwa?...
Ninyi vipofu wa kisiasa. Kwa nini mnakomalia upuuzi usio na tija kwenu?
Nani kwakwambia hauna tija kwetu?Ninyi vipofu wa kisiasa. Kwa nini mnakomalia upuuzi usio na tija kwenu?
Mkuu Tatizo Watanzania tulizoea kuishi kiujanja ujanja Ndio maana tunaumiaNani kwakwambia hauna tija kwetu?