We ujuaye, tuhabarisheHujui kitu kaa kimya!!
Corona denialBan ya Uingereza imekuja kwa sababu zipi ?
“kahama Fresh”
Imetenguliwa hii ingawa haina maana kwetuKwa yanayojiri nchini Tanzania kwa sasa inahashiria ugumu wa maisha mbele yetu. Hali ya kisiasa kiuchumi na kijamii inaelekea kuwa ngumu sana hapo mbeleni.
Wiki jana USA imewapiga ban viongozi wa Tanzania, ina maana shuguli nyingi zitakwama kwani kitovu cha uchumi wa dunia ni Marekani. Leo Uingereza imepiga ban watanzania wote. Hatujui jumuiya ya ulaya inapanga nini dhidi ya Tanzania.
Kwa wajuzi wa mambo, hii Hali siyo ya kawaida na inaonyesha ugumu wa mambo hapo mbeleni. Chama Dume, mkombozi kusini mwa afrika.
CCM, hebu mtuambie mbele yetu kuna nini? Na hizi kodi, na tozo za kufa mtu, Mtuambie mbele yetu kuna nini
Hakuna kilichotenguliwa Boss, soma vizuri lile tamko la Marekani.Imetenguliwa hii ingawa haina maana kwetu
Maziwa anayoyasindika huko atakunywa mwenyewe na familia yake“kahama Fresh”
Nchi inaangamia.Hujui kitu kaa kimya!!
Acha tabia yenu ya kuwaogofya watu ili kuleta taharuki. Makubaliano kati ya mpumbavu Tundu Lissu na trump chali. Na hawa hawajui kiingilish?Hakuna kilichotenguliwa Boss, soma vizuri lile tamko la Marekani.
Diversity visa siyo sawa na ban waliyopewa wale walionajisi uchaguzi. Ni vitu viwili tofautiAcha tabia yenu ya kuwaogofya watu ili kuleta taharuki. Makubaliano kati ya mpumbavu Tundu Lissu na trump chali. Na hawa hawajui kiingilish?
Vyote chali afterall nani yupo interested kwenda USA? NowadaysDiversity visa siyo sawa na ban waliyopewa wale walionajisi uchaguzi. Ni viti viwili tofauti
Leta ushahidi kuwa vyote ni chali? Kama hauna interest ya kwenda unashangilia nini kufutwa kwake?Vyote chali afterall nani yupo interested kwenda USA? Nowadays
Wewe tu ndio hutaki kwenda wenzio wanaenda kulia Bata hukuVyote chali afterall nani yupo interested kwenda USA? Nowadays
Ninyi vipofu wa kisiasa. Kwa nini mnakomalia upuuzi usio na tija kwenu?Diversity visa siyo sawa na ban waliyopewa wale walionajisi uchaguzi. Ni viti viwili tofauti
Hujui hata kinachoongelewa ni bora ungeficha aibu yako, viongozi na wote waliosababisha ukandamizaji wa demokrasia wamepigwa ban kuingia Marekani, ban iliyoondolewa ni ya Watanzania wa kawaida wanaoshiriki bahati nasibu ya VISA ya USA.Acha tabia yenu ya kuwaogofya watu ili kuleta taharuki. Makubaliano kati ya mpumbavu Tundu Lissu na trump chali. Na hawa hawajui kiingilish?