MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
😃😃Kwa wanawake wetu hawa wa uswahilini au wachache wengine walipo?Unatafuta kupigwa mwiko wa pua usingizie uliteleza mlangoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃Kwa wanawake wetu hawa wa uswahilini au wachache wengine walipo?Unatafuta kupigwa mwiko wa pua usingizie uliteleza mlangoni.
Wanawake huwa mnafurahisha, yaani mnapenda sana luxury life, huku mkijua watz wengi maisha yetu niyakutafuta chakula tu.Mkuu wewe ndiyo huwezi kuna wengine tunaweza ni mipango tu.
Moments zinasaidia sana kwenye mahusiano na kufanya mjione wapya kila siku.
Sio lazima uende Dubai hata Arusha panafaa! Sio lazima ulale Serena hata hotel za kawaida.
Umemaliza dada ,Mungu ailinde ndoa yakoWanawake tunapenda vitu vidogo sana Mkuu, umekaa miaka miwili ujamletea hiyo nguo ya ndani ikitokea siku umemletea atafurahi sana
Nashukuru Mungu nilienae anayaweza na mimi huwa nampeleka Vacation kwa pesa yangu pia.Wanawake huwa mnafurahisha, yaani mnapenda sana luxury life, huku mkijua watz wengi maisha yetu niyakutafuta chakula tu.
Ameen Mkuu🙏🏿Umemaliza dada ,Mungu ailinde ndoa yako
😂Kwa uchumi upi?Haitekelezeki hiyo.Asubiri maua tukienda kuzika.
Napenda niishi uhalisia wa maisha yangu, hata kama na pesa ya kwenda vocation siwezi kwenda kwa sababu kuna wajomba, wadogo zangu, na ndugu jamaa wanashida nyingi wanahihitaji msaada wangu, kuliko kwenda kutapanya pesa vocation zisizo na msingi. Kisa kufurahisha kiumbe anaeitwa mwanamke. Jambo la msingi kwangu nikutekeleza mahitaji ya msingi tu.Nashukuru Mungu nilienae anayaweza na mimi huwa nampeleka Vacation kwa pesa yangu pia.
Sio wanawake tu, hakuna binadamu asiependa luxury life au mwenzetu unapenda shida??
Hayo ni maisha yako wewe na ni kitu kizuri pia kwako ila isikufanye useme eti wanaoishi maisha yao wanapenda luxury life.Napenda niishi uhalisia wa maisha yangu, hata kama na pesa ya kwenda vocation siwezi kwenda kwa sababu kuna wajomba, wadogo zangu, na ndugu jamaa wanashida nyingi wanahihitaji msaada wangu, kuliko kwenda kutapanya pesa vocation zisizo na msingi. Kisa kufurahisha kiumbe anaeitwa mwanamke. Jambo la msingi kwangu nikutekeleza mahitaji ya msingi tu.
Kuna kitu nimejifunza dah...Thank you babe🙏🏿
Hakuna mahala nimepokataza usiende Vocation, Wala mtu yeyoye asiende vocation lkn inafahamika vocation za watz walio wengi wanaenda vijijin kwao.Hayo ni maisha yako wewe na ni kitu kizuri pia kwako ila isikufanye useme eti wanaoishi maisha yao wanapenda luxury life.
Kwako wewe Vacation haina msingi kwa mwingine ina msingi kila mtu ana uhuru wa kuishi atakavyo Mkuu sababu kila mtu anatafuta pesa kwa malengo yake.
Vacations nyingi za Watanzania;-Hayo ni maisha yako wewe na ni kitu kizuri pia kwako ila isikufanye useme eti wanaoishi maisha yao wanapenda luxury life.
Kwako wewe Vacation haina msingi kwa mwingine ina msingi kila mtu ana uhuru wa kuishi atakavyo Mkuu sababu kila mtu anatafuta pesa kwa malengo yake.
Asante mkuu, wewe unatufahamu watanzania namna tulivyo.Vacations nyingi za Watanzania;-
1-Mwezi Disemba hurudi kijijini kulima jembe la mkono kwa bidii.
2-Likizo ya "Pasaka" wanaenda kuangalia maendeleo ya mazao waliyoyaacha shambani na shamba boy kama mlinzi.
3-Likizo mwezi wa sita ie May-July,kuvuna na kuhifadhi mazao.
4-Likizo fupi Agosti-Septemba kwenda kuandaa upya mashamba.
Hiyo ndiyo ratiba ya vacation za familia nyingi za Tanzania.Mbali na hapo ni aidha wana uchumi mkubwa au mfanyabiashara.
Namuona Nyamwi255 hapo juz kat kwenye ndoa yakeView attachment 3074976ndio mnakuwa hivyo au?
Refer your comments Mkuu umepinga, mimi siwezi kupinga maamuzi yako na ushauri wako kwa mtoa mada.Hakuna mahala nimepokataza usiende Vocation, Wala mtu yeyoye asiende vocation lkn inafahamika vocation za watz walio wengi wanaenda vijijin kwao.
Sasa mtu kwenda vocation eti kwa lengo la kum spoil boyfriend/girlfriend alale hotel za laki mbili, elfu 90 au laki Moja na nusu hilo kwa watz tuliowengi asilimia zaid ya 98 hawawezi. nyinyi asilimia 2 mliobaki ndio mnaweza maisha hayo.
Hongera mkuu.
Aahahahah...kwahiyo unajikataa? 😂Hahahaha nitake radhi 🤣🤣