Hali ya kutokupenda ujulikane wewe ni kabila gani maofisini ni uzalendo au ni usaliti?

Hali ya kutokupenda ujulikane wewe ni kabila gani maofisini ni uzalendo au ni usaliti?

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Mnaofanya Kazi katika ofisi za Uma na za private lazma mtakubaliana na mim kuwa Kuna watu huwa hawataki wajulikane kuwa yeye Ni kabila gan,mfano watu wa Kanda ya ziwa waliobahatika kusoma na kuajiliwa kwenye ofis za Uma huwa hawapendi wajulikane walikotoka.

Wanawake wa Kisukuma ndo wanaongoza kwa Tabia hii.

Kwa Sasa npo kweny ofis moja ya Uma Kuna jamaa Ni kabila fulan ila hataki ajulikane kuwa yeye Ni kabila Hilo,Kuna ciku alikuwa anaongea na cm kisir kwa kilugha ndo nkajua kuwa kumbe jamaa Ni wa kabila Fulani ila hatak kuongea kilugha na watu wa kabila Hilo hata mkiwa nje ya ofisi.

Swali Ni je yeye anadumisha uzalendo wa kuondoa ukabila au anasaliti kabila lake?
 
Mnaofanya Kazi katika ofisi za Uma na za private lazma mtakubaliana na mim kuwa Kuna watu huwa hawataki wajulikane kuwa yeye Ni kabila gan,mfano watu wa Kanda ya ziwa waliobahatika kusoma na kuajiliwa kwenye ofis za Uma huwa hawapendi wajulikane walikotoka.

Wanawake wa Kisukuma ndo wanaongoza kwa Tabia hii.

Kwa Sasa npo kweny ofis moja ya Uma Kuna jamaa Ni kabila fulan ila hataki ajulikane kuwa yeye Ni kabila Hilo,Kuna ciku alikuwa anaongea na cm kisir kwa kilugha ndo nkajua kuwa kumbe jamaa Ni wa kabila Fulani ila hatak kuongea kilugha na watu wa kabila Hilo hata mkiwa nje ya ofisi.

Swali Ni je yeye anadumisha uzalendo wa kuondoa ukabila au anasaliti kabila lake?
Kujilikana kabila sio shida lakini kuna baadhi ya makabila yanatangaza especially wachaga, wajaluo, wamasai, wasukuma , wairaq wanaweka ukabila kwenye kazi
 
Kwanza ni uthenge!! Pia kutokujiamini kujua kabila la mtu ili ikusaidie ...nilikuja gundua watu wanafuatilii huu ujinga siku moja Kuna mdada ameniita eti tunaongea ananiuliza unatokea Zanzibar sehemu gani?😥😥😥binafsi sijawai kukaa hata mwezi Zanzibar na nimeenda hata mara tatu hazifiki nilienda nimekaa siku 4 nimegeuka sasa nikaona anaweza kuwa ananichoka ili apate ukweli.

Siku nyingine Kuna mchaga mmoja anameniita we mdigo mchapakazi katika group la ofisi Tena jamaa ni mtu mkubwa kabisa nilimaindi mi hata kidogo sikijui ila ukweli hawatokuja kujua kabila hata siku moja.
 
Nadhani mwenye tatizo ni wewe ambae utanataka kujua kabila za watu..., unless ofisi yenu inadeal na matambiko......

Anyway hakuna msukuma pure au kabila fulani pure kwa sasa wote tushakuwa ma-half-caste anyway kwangu mimi ilimradi huyu ni binadamu inatosha (character yake ndio itadetermine kama nitampa muda wangu au hapana)
 
Mnaofanya Kazi katika ofisi za Uma na za private lazma mtakubaliana na mim kuwa Kuna watu huwa hawataki wajulikane kuwa yeye Ni kabila gan,mfano watu wa Kanda ya ziwa waliobahatika kusoma na kuajiliwa kwenye ofis za Uma huwa hawapendi wajulikane walikotoka.

Wanawake wa Kisukuma ndo wanaongoza kwa Tabia hii.

Kwa Sasa npo kweny ofis moja ya Uma Kuna jamaa Ni kabila fulan ila hataki ajulikane kuwa yeye Ni kabila Hilo,Kuna ciku alikuwa anaongea na cm kisir kwa kilugha ndo nkajua kuwa kumbe jamaa Ni wa kabila Fulani ila hatak kuongea kilugha na watu wa kabila Hilo hata mkiwa nje ya ofisi.

Swali Ni je yeye anadumisha uzalendo wa kuondoa ukabila au anasaliti kabila lake?
Mkuu upo ofisi gani ya umma, mbona unaonekana Kama upstairs hamna kitu? Hebu fikiria ofisi ambayo imekuamini wewe ndiye think tank wao?

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kujilikana kabila sio shida lakini kuna baadhi ya makabila yanatangaza especially wachaga, wajaluo, wamasai, wasukuma , wairaq wanaweka ukabila kwenye kazi
Hujatoa msimamo wako
 
Back
Top Bottom