Hali ya kutokupenda ujulikane wewe ni kabila gani maofisini ni uzalendo au ni usaliti?

Hali ya kutokupenda ujulikane wewe ni kabila gani maofisini ni uzalendo au ni usaliti?

Mnaofanya Kazi katika ofisi za Uma na za private lazma mtakubaliana na mim kuwa Kuna watu huwa hawataki wajulikane kuwa yeye Ni kabila gan,mfano watu wa Kanda ya ziwa waliobahatika kusoma na kuajiliwa kwenye ofis za Uma huwa hawapendi wajulikane walikotoka.

Wanawake wa Kisukuma ndo wanaongoza kwa Tabia hii.

Kwa Sasa npo kweny ofis moja ya Uma Kuna jamaa Ni kabila fulan ila hataki ajulikane kuwa yeye Ni kabila Hilo,Kuna ciku alikuwa anaongea na cm kisir kwa kilugha ndo nkajua kuwa kumbe jamaa Ni wa kabila Fulani ila hatak kuongea kilugha na watu wa kabila Hilo hata mkiwa nje ya ofisi.

Swali Ni je yeye anadumisha uzalendo wa kuondoa ukabila au anasaliti kabila lake?
Ushakutana na mtu wa kabila la wafipa mtaani.japo wapo
 
Nadhani mwenye tatizo ni wewe ambae utanataka kujua kabila za watu..., unless ofisi yenu inadeal na matambiko......

Anyway hakuna msukuma pure au kabila fulani pure kwa sasa wote tushakuwa ma-half-caste anyway kwangu mimi ilimradi huyu ni binadamu inatosha (character yake ndio itadetermine kama nitampa muda wangu au hapana)
Hujaelewa hoja ya mleta mada, yeye anasema wale wanaojificha hawataki kujulikana kabila lao, simu inapigwa anaongelewa kikwao hataki kuongea ila kwa vile simu ile nimuhimu analazimika kujificha hadi chooni je hiyo ni sawa??
 
Karne Ya 21 Mnaongelea Makabila?
Kazi Ya Kabila Ni Nini? Labda Kutambika Tu
Kwahiyo wenye wazazi ambao hawajui kiswahili wakipigiwa simu ni sawa kwenda kuipokelea chooni?? Ili wenzake wasijue yeye ni kabila gani??
 
Kuficha kabila au utaifa wako ni utoto uliambatana na ujinga.
 
Changamoto za hya makabila yetu yanasifa fulan +na - ambazo wengine tulizikita nakuzisikia Sasa ndio kipimo Cha Maisha yetu wengine unaulizwa tu hivi we Ni kabila gani? Ukijibu tyari ushapewa nafasi yko Kama kabila lako

Kwahiyo me Naona Tuunde kabila Jipya[emoji41]
 
Hujaelewa hoja ya mleta mada, yeye anasema wale wanaojificha hawataki kujulikana kabila lao, simu inapigwa anaongelewa kikwao hataki kuongea ila kwa vile simu ile nimuhimu analazimika kujificha hadi chooni je hiyo ni sawa??
Umensaidia Sana kuielezea mada kwa wanaojifanya hawaelewi
 
Kuficha kabila au utaifa wako ni utoto uliambatana na ujinga.
Tena wengi wao wanaoficha kabila zao huwa wanasaliti had wazazi wao kisa mzaz hajui Kiswahili,kwa hyo anaweza akamkana mbele ya rafk kisa mzaz hajui Kiswahili
 
Back
Top Bottom