Hali ya Maambukizi ya HIV kwenye vyuo vikuu si nzuri na elimu ya kujikinga haitolewi vya kutosha kama miaka ya nyuma 2010 kurudi nyuma

Hali ya Maambukizi ya HIV kwenye vyuo vikuu si nzuri na elimu ya kujikinga haitolewi vya kutosha kama miaka ya nyuma 2010 kurudi nyuma

Mnaweza mkamuona mtoa mada ni mzushi, lakini anachosema ni kweli kabisa, vyuoni kuko hovyo, hasa kwa watoto wa kike... Uliza wale wafanya usafi vyuo vikifungwa huwa wanakutana na nini hasa kwenye hosteli za watoto wa kike
 
Kama una mdogo wako wa kike awe makini aache tamaa ya mambo ambayo hana uwezo nayo, kwa sababu mabinti wengi wanaingia kwenye vishawishi vya kutembea na wanaume walio wazidi umri (Sugar dads) ili kupata fedha.

Pia mdogo wako wa kiume wa chuo mwambie afunge zipu asome kwani wengi wa wanachuo wenzao wakike wanakuwa nao lakini pia wanatembea na hiyo mibaba inayowarubuni kisa fedha zao.

Wazazi ni wajibu wa kuwa karibu na mwanao ili ujue anaendeleaje na jitahidi uzungumze nae mare kwa mara.

Serikali nayo inachangia kwa namna nyingine kwa kuto kutoa mikopo kwa wanafunzi wote na pia kuchelewesha kutoa mikopo hiyo kwa wakati.
Takwimu zako umezitoa wapi?
 
Kama una mdogo wako wa kike awe makini aache tamaa ya mambo ambayo hana uwezo nayo, kwa sababu mabinti wengi wanaingia kwenye vishawishi vya kutembea na wanaume walio wazidi umri (Sugar dads) ili kupata fedha.

Pia mdogo wako wa kiume wa chuo mwambie afunge zipu asome kwani wengi wa wanachuo wenzao wakike wanakuwa nao lakini pia wanatembea na hiyo mibaba inayowarubuni kisa fedha zao.

Wazazi ni wajibu wa kuwa karibu na mwanao ili ujue anaendeleaje na jitahidi uzungumze nae mare kwa mara.

Serikali nayo inachangia kwa namna nyingine kwa kuto kutoa mikopo kwa wanafunzi wote na pia kuchelewesha kutoa mikopo hiyo kwa wakati.
Mwanafunzi wa chyo kikuu anayo simu ya bei kali eti hapewi elimu ya kutosha kuhusu ukimwi! Bora afe tu.
 
Ajse kweli kabisa sie wenye ngoma tuna hezea sana mbususu za wanachuo...maana vinape da starehe hivyo basi unajigegedea tuu threesome kwa kwenda mbele.

Wenhe watoto wakike nawaonea huruma sana
"Zab" au "zabah" neno la Wayahudi,maana mtu ananuka gono.

Leviticus Chapter 15.
Biblia inakemea watu kuwa na gono.

12 “‘A clay pot that the man touches must be broken, and any wooden article is to be rinsed with water.


Yule mtu walikuwa wanasema lazima apeleke kwo pigeons to the Temple ili atakaswe.

Lakini siku hizi utaona kojana anapits ananuka gono, it does not raise eyebrows.
 
Back
Top Bottom