Mbona unaleta mada kimashambulizi badala ya kiuelimishajiTamaa ya utelezi na msererereko vinatupeleka kaburini tukiwa na kilo2 ,hadi kaburini chap kwa haraka.
Jihadhari, kuwa muaminifu, tumia condom.
[emoji23][emoji23][emoji23]ukimwi unamuua mwenye ukimwi
Samahani mkuu, sote tunajua yakuwa UKIMWI upo na UNAUA.Hali ya maambukizi ya ukimwi inatisha, ni ya kasi ya 4G.
Wathirika wakuu ni vijana kwa wazee, wanaoedekeza starehe, pombe na ngono zembe.
Wazee wanapenda dogodogo na pisi kali, huku vijana wakipendelea zaidi sponsorz , sugar Mamie's, daddies and single mothers.
Tamaa ya utelezi na msererereko vinatupeleka kaburini tukiwa na kilo2 ,hadi kaburini chap kwa haraka.
Jihadhari, kuwa muaminifu, tumia condom.
Ukimwi upo Unaua mbaya sana.
Nikikusaidia nawewe utanisaidia jambo 😅Nikipigwa si utanisaidia jirani 🤣🤣
. Bila shaka wewe ndo utakua huelewi maana nimetumia lugha ngumu🥴.Aisee 🤣🤣🤣🤣 na wewe unaitwa great thinker.
Unaelewa ulichokiandika?
Wathirika wakuu ni vijana kwa wazee, wanaoedekeza starehe, pombe na ngono zembe.[emoji3064][emoji848][emoji2827]Hali ya maambukizi ya ukimwi inatisha, ni ya kasi ya 4G.
Wathirika wakuu ni vijana kwa wazee, wanaoedekeza starehe, pombe na ngono zembe.
Wazee wanapenda dogodogo na pisi kali, huku vijana wakipendelea zaidi sponsorz , sugar Mamie's, daddies and single mothers.
Tamaa ya utelezi na msererereko vinatupeleka kaburini tukiwa na kilo2 ,hadi kaburini chap kwa haraka.
Jihadhari, kuwa muaminifu, tumia condom.
Ukimwi upo Unaua mbaya sana.
ukimwi unamuua mwenye ukimwi
unawapima kwa kutumia nini?Mi huwa nina desturi ya kuwapima ninaoshiriki nao aloo juzi nimekutana na mwenye zaga zake alafu nusu niteleze
Wewe huna?Hali ya maambukizi ya ukimwi inatisha, ni ya kasi ya 4G.
Wathirika wakuu ni vijana kwa wazee, wanaoedekeza starehe, pombe na ngono zembe.
Wazee wanapenda dogodogo na pisi kali, huku vijana wakipendelea zaidi sponsorz , sugar Mamie's, daddies and single mothers.
Tamaa ya utelezi na msererereko vinatupeleka kaburini tukiwa na kilo2 ,hadi kaburini chap kwa haraka.
Jihadhari, kuwa muaminifu, tumia condom.
Ukimwi upo Unaua mbaya sana.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji119][emoji119][emoji119]Kazi zinazo niweka mjini ni program za HIV and AIDS. [emoji3][emoji3]
Tena watu wenye magonjwa mengine wanakufa wanaacha watu wenye UKIMWI wanadunda mitaani. Sass hivi UKIMWI ni sawa na magonjwa mengine tu. Si ajabu malaria inaendelea kuua watu wengi zaidi kuliko hao.UKIMWI ulikuwa zamani nyie kabla ya ARV. Sasa hivi hautishi tunaishi nao
Hakutaka kula vidonge ndo shida, watu wana miaka 30 na wanadunda hadi kesho😭 inauma sana na inatafakarisha sana, natoka mazikoni muda huu, jirani yangu alikua bonge kweli kweli tumempumzisha na kilo2! kweli?
😭Hili Jambo ni la kufumbia macho kweli au kunyamaza? 😭😭
Na jamaa alikua jasiri kama wewe alikua anasema kwamba hii kitu si ya kuogopa tuishi nayo kama ndugu 😭