begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
we jifariji tu@ uswahilini matola -kosa la marehem OCG-nikazezeDogo usiogope UKIMWI kuna dozi yani siku hizi PC kali yenye UKIMWI watu wanaruka nazo tu hakuna noma wala nini maana kuna kisukari, kansa haya magonjwa balaa
Shida njuguBoda boda zinaua zaidi kuliko ukimwi
Umesema vyemaTena watu wenye magonjwa mengine wanakufa wanaacha watu wenye UKIMWI wanadunda mitaani. Sass hivi UKIMWI ni sawa na magonjwa mengine tu. Si ajabu malaria inaendelea kuua watu wengi zaidi kuliko hao.
'Maambukizi' Tanzania kamwe hayawezi kupungua, NGOs zinashindana kutengeneza takwimu takwimu za kutisha kwenye maeneo yao ili waendelee kupata Funds.Hali ya maambukizi ya ukimwi inatisha, ni ya kasi ya 4G.
Wathirika wakuu ni vijana kwa wazee, wanaoedekeza starehe, pombe na ngono zembe.
Wazee wanapenda dogodogo na pisi kali, huku vijana wakipendelea zaidi sponsorz , sugar Mamie's, daddies and single mothers.
Tamaa ya utelezi na msererereko vinatupeleka kaburini tukiwa na kilo2 ,hadi kaburini chap kwa haraka.
Jihadhari, kuwa muaminifu, tumia condom.
Ukimwi upo Unaua mbaya sana.
umepiga kwenye mshono mkuu dah😳'Maambukizi' Tanzania kamwe hayawezi kupungua, NGOs zinashindana kutengeneza takwimu takwimu za kutisha kwenye maeneo yao ili waendelee kupata Funds.
Huko NGos hazifanyi vile zinatakiwa, zimeishiwa kabisa ubunifu, matokeo yake, nchi unakua victim wa kwanza kwa kupewa wrong data.
Identification ya positive clients ni biashara nzuri inayolipa kwa NGOs za afya nyingi.
Akija Donor akitangaza Extra Funds kwa mikoa ambayo maambukizi yamepungua utaona vile maambukizi mapya yatakavyoshuka na jitihada zitafanyika kuwaondoa wale ambao tayari wapo. Ikitangazwa tena fund itatolewa kwa mikoa yenye waathirika wengi mtaona vile ghafla waathirika wanavyoibuliwa ghafla.
Hata malaria, sasa hivi ni kama vile jitihada za kuitokomeza ni kama inaelekea kufanikiwa, lakini akiibuka donor na kutangaxa fungu utaona Malaria inavyokuzwa, hadi Makete itaonekana ndiyo inayoongoza kwa Malaria nchini kama vile ambavyo mikoa ya Njombe, Iringa na Singwe inavyoongoza kwa utapiamlo.
Mbele ya Pesa utapata data zinazoongea chochote mahala popote.
Mbele ya Pesa unaweza ukaletewa Data zunazoonyesha Pemba ndiyo segemu inayoongoza kwa idadi ya Makanisa nchini.
Hatuheshimu data kabisa matokeo yake tumetengeneza majiko mazuri kwa ajili ya kuzipika.
😀😀😀, hatuombei waumwe, ila ndo hivyo ukiunasa sisi kwetu fulsa😋😋😋[emoji1][emoji1][emoji1][emoji119][emoji119][emoji119]
Mjini akili mtu wangu! Piga hizo hela!
Hakuna namnaa [emoji16][emoji3][emoji3][emoji3], hatuombei waumwe, ila ndo hivyo ukiunasa sisi kwetu fulsa[emoji39][emoji39][emoji39]
Kapime tuDalili za ukimwi zipi isije kuwa hata mimi ninao
Mm siwez tembea na mwanamke bila kinga, siamin mwanamke yeyote mmVijana wa sasa hivi utawaeleza nini wakuelewe kuhusu ukimwi? Hawaujui, wazee nao wamesahau madhila ya ukimwi wanaona fresh tu, dawa za kufubaza virusi zipo, hawajali na mipira hawatumii. Ni wachache wenye hofu ya kuambukizwa ukimwi, ni wale walioona wagonjwa wakibaki mifupa mitupu mpaka wanakufa wakiwa na kilo mbili, inatisha. Kama kuna mzee aliyefikisha miaka arobaini hadi sasa na hana maambukizi ya ukimwi ashukuru Mungu na achukue tahadhari zaidi kujilinda na maambukizi ya ukimwi
Mie naoga vvu tu aids na ukimwi siogopii?Mimi naogopa AIDs, Ila UKIMWI siwezi nikaogopa hata iweje
Ww ndio huelewi chochote kuhusu biashara za ulimwengu huuUnaelewa unacho kinena kweli? Hebu fafanua. Usituletee hekaya za Tabo Mbeki hapa.