Hali ya maambukizi ya UKIMWI inatisha😭

Hali ya maambukizi ya UKIMWI inatisha😭

Hali ya maambukizi ya ukimwi inatisha, ni ya kasi ya 4G.

Wathirika wakuu ni vijana kwa wazee, wanaoedekeza starehe, pombe na ngono zembe.

Wazee wanapenda dogodogo na pisi kali, huku vijana wakipendelea zaidi sponsorz , sugar Mamie's, daddies and single mothers.

Tamaa ya utelezi na msererereko vinatupeleka kaburini tukiwa na kilo2 ,hadi kaburini chap kwa haraka.

Jihadhari, kuwa muaminifu, tumia condom.

Ukimwi upo Unaua mbaya sana.
'Maambukizi' Tanzania kamwe hayawezi kupungua, NGOs zinashindana kutengeneza takwimu takwimu za kutisha kwenye maeneo yao ili waendelee kupata Funds.

Huko NGos hazifanyi vile zinatakiwa, zimeishiwa kabisa ubunifu, matokeo yake, nchi unakua victim wa kwanza kwa kupewa wrong data.
Identification ya positive clients ni biashara nzuri inayolipa kwa NGOs za afya nyingi.
Akija Donor akitangaza Extra Funds kwa mikoa ambayo maambukizi yamepungua utaona vile maambukizi mapya yatakavyoshuka na jitihada zitafanyika kuwaondoa wale ambao tayari wapo. Ikitangazwa tena fund itatolewa kwa mikoa yenye waathirika wengi mtaona vile ghafla waathirika wanavyoibuliwa ghafla.
Hata malaria, sasa hivi ni kama vile jitihada za kuitokomeza ni kama inaelekea kufanikiwa, lakini akiibuka donor na kutangaxa fungu utaona Malaria inavyokuzwa, hadi Makete itaonekana ndiyo inayoongoza kwa Malaria nchini kama vile ambavyo mikoa ya Njombe, Iringa na Singwe inavyoongoza kwa utapiamlo.
Mbele ya Pesa utapata data zinazoongea chochote mahala popote.
Mbele ya Pesa unaweza ukaletewa Data zunazoonyesha Pemba ndiyo segemu inayoongoza kwa idadi ya Makanisa nchini.
Hatuheshimu data kabisa matokeo yake tumetengeneza majiko mazuri kwa ajili ya kuzipika.
 
'Maambukizi' Tanzania kamwe hayawezi kupungua, NGOs zinashindana kutengeneza takwimu takwimu za kutisha kwenye maeneo yao ili waendelee kupata Funds.

Huko NGos hazifanyi vile zinatakiwa, zimeishiwa kabisa ubunifu, matokeo yake, nchi unakua victim wa kwanza kwa kupewa wrong data.
Identification ya positive clients ni biashara nzuri inayolipa kwa NGOs za afya nyingi.
Akija Donor akitangaza Extra Funds kwa mikoa ambayo maambukizi yamepungua utaona vile maambukizi mapya yatakavyoshuka na jitihada zitafanyika kuwaondoa wale ambao tayari wapo. Ikitangazwa tena fund itatolewa kwa mikoa yenye waathirika wengi mtaona vile ghafla waathirika wanavyoibuliwa ghafla.
Hata malaria, sasa hivi ni kama vile jitihada za kuitokomeza ni kama inaelekea kufanikiwa, lakini akiibuka donor na kutangaxa fungu utaona Malaria inavyokuzwa, hadi Makete itaonekana ndiyo inayoongoza kwa Malaria nchini kama vile ambavyo mikoa ya Njombe, Iringa na Singwe inavyoongoza kwa utapiamlo.
Mbele ya Pesa utapata data zinazoongea chochote mahala popote.
Mbele ya Pesa unaweza ukaletewa Data zunazoonyesha Pemba ndiyo segemu inayoongoza kwa idadi ya Makanisa nchini.
Hatuheshimu data kabisa matokeo yake tumetengeneza majiko mazuri kwa ajili ya kuzipika.
umepiga kwenye mshono mkuu dah😳
Thanks very much.
 
Wengi naona mna underestimate HIV,[emoji18][emoji23] siku mkianza trip za kwenda CTC kila baada ya miezi 3 ndo mtajua hamjui[emoji23][emoji23]
 
Vijana wa sasa hivi utawaeleza nini wakuelewe kuhusu ukimwi? Hawaujui, wazee nao wamesahau madhila ya ukimwi wanaona fresh tu, dawa za kufubaza virusi zipo, hawajali na mipira hawatumii. Ni wachache wenye hofu ya kuambukizwa ukimwi, ni wale walioona wagonjwa wakibaki mifupa mitupu mpaka wanakufa wakiwa na kilo mbili, inatisha. Kama kuna mzee aliyefikisha miaka arobaini hadi sasa na hana maambukizi ya ukimwi ashukuru Mungu na achukue tahadhari zaidi kujilinda na maambukizi ya ukimwi
Mm siwez tembea na mwanamke bila kinga, siamin mwanamke yeyote mm
 
Back
Top Bottom