byakunu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 583
- 1,318
Wadau nimekaa kwenye foleni barabarani nikitafakari ni vipi ile kasi ya ununuaji wa madungu jeshi (DISCOVERY3,4) ilivyokuwa mwaka jana kipindi kama hiki na mwaka huu ikoje?
Mimi naona haya madungu watu wengi yamewashinda hayana tena attraction ile kama ya mwaka jana na kabla yake.
Ishu itakua ni ubovu wa engine? Reliability ya gari? au gari tumesha izoea tunaiona ya kawaida, au ni kitu gani kimeondoka na upepo wa haya madungu? Maana hata ukiwa nalo na ukataka kuliuza unaliuza bei ya hasara sana inakuaje?
Mimi naona haya madungu watu wengi yamewashinda hayana tena attraction ile kama ya mwaka jana na kabla yake.
Ishu itakua ni ubovu wa engine? Reliability ya gari? au gari tumesha izoea tunaiona ya kawaida, au ni kitu gani kimeondoka na upepo wa haya madungu? Maana hata ukiwa nalo na ukataka kuliuza unaliuza bei ya hasara sana inakuaje?