tutunfyekyela
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 473
- 781
Uko sahihi mkuuHahaaaa Mkuu hao Wanasiasa achana nao wewe jikite kuchapa kazi ya kupeleka mkono kinywani. Siku zote jambo ambalo halitunishi akaunti yangu huwa sina muda nalo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi mkuuHahaaaa Mkuu hao Wanasiasa achana nao wewe jikite kuchapa kazi ya kupeleka mkono kinywani. Siku zote jambo ambalo halitunishi akaunti yangu huwa sina muda nalo
Mkuu sumbawanga mashamba por ya kulima mpunga na mahindi ni bei ganHata huku Sumbawanga hali siyo njema kwa upande wa Mahindi. Ila Mpunga na Maharage tutapiga bingo kama kawaida.
Shamba la Kulima mahindi kukodi Ekari 1 ni Tshs.40,000/= elfu 40. Kuhusu Kilimo cha Mpunga kwa sasa UMAFIA umeanza kuingia kwa kasi sana baada ya WACOMORO na WANYARWANDA kuvamia mashambani. Wacomoro wanakupa pesa tangu maandalizi mwishowe uwauzie Mpunga.Mkuu sumbawanga mashamba por ya kulima mpunga na mahindi ni bei gan
SAWA kakaShamba la Kulima mahindi kukodi Ekari 1 ni Tshs.40,000/= elfu 40. Kuhusu Kilimo cha Mpunga kwa sasa UMAFIA umeanza kuingia kwa kasi sana baada ya WACOMORO na WANYARWANDA kuvamia mashambani. Wacomoro wanakupa pesa tangu maandalizi mwishowe uwauzie Mpunga.
Mashamba yanamilikiwa na tycoon wenyeji kibabe tuu ukivuna mnagawana magunia ya Mpunga.
Wale waliowahi Mapema kununua hizi Mbuga za Mpunga kwa sasa anaweza tokea mtu mmoja akaanzisha kesi kwamba hilo shamba ni lake. Kwa kifupi umafia umekuwa mwingi sana. Unaweza kulima Mpunga mavuno akaja kuvuna mtu mwingine tena akiwa na SMG zimesimamia zoezi. Kwa kifupi Kilimo cha Mpanda na Sumbawanga bado hakina formula ingawa mavuno yapo mengi
Hiyo ndo akili ya ma CCM,kila jambo ni uchawa tu.mkuu umeandika kwa kutumia makalio sio bure...watu wapo kwenye hoja ya msingi wewe unaleta dhihaka
Nami nimeshtuka kidogoSio mbeya mzima. Kiongozi sema mbeya gani?
Unawaza kwa kutumia utumbo mpana?Mlishangilia kifo cha Dkt Magufuli tubuni
Hata hapa mahango tutapata vizuri, ila mbolea za mwaka huu hazikuwa sawa aisee utendaji wake uko tofauti... Njoo kwenye mpunga usanguSijui mbeya gani, mbona Inyala hapa tumepata sana mkuu, [emoji848]
Mpunga imekuwaje tenaHata hapa mahango tutapata vizuri, ila mbolea za mwaka huu hazikuwa sawa aisee utendaji wake uko tofauti... Njoo kwenye mpunga usangu
Njoo tulime mpungaMpunga imekuwaje tena
Sawa mkuuNjoo tulime mpunga
Mavuno ya Mpunga hayatakuwa mazuri sana, kwa sababu vipindi vya jua vilikuwa virefu sana kushinda mvua. Hasa ikizingatiwa kuwa Mpunga unategemea sana maji kwenye ukuaji wake.Mchele umekubali maana huku pwani bila mchele Maisha magumu Ugali hatuli so nimesikia kuwa mpunga umestawi vizuri Sana.