Hali ya maisha kwa wananchi ni ngumu kweli!? Ama tulizoea Dezodezo

Hali ya maisha kwa wananchi ni ngumu kweli!? Ama tulizoea Dezodezo

Smartkahn

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2020
Posts
594
Reaction score
1,061
Ukiangalia awamu ya tano na ya Sita kumekuwa na mzunguko hafifu wa fedha kwa wananchi... Pesa imepotea.

Ukilinganisha na awamu ya nne kurudi Nyuma inaonekana mzunguko wa pesa ulikuwa mkubwa mno(pesa ilikuepo).

Nimetafakari na kujiuliza maswali; "inawezekana awamu ya nne kurudi Nyuma tulikua na viongozi wanaotudekeza(dezodezo), ama hali ile ndio ilikua hali halisi ya maisha".

Pia nikawaza "inawezekana awamu ya tano na ya sita tupo chini ya viongozi wanaotimiza wajibu wao ipasavyo na hii hali tunayoiona ndio hali halisi inavyopaswa iwe hakuna anaekandamiza wala nini, na hii hali ya wananchi kuona maisha magumu ni denial stage tutaenda nayo na kufika hutua tunaizoea(tunaikubali) na kuishi nayo, ama awamu ya tano na ya sita ni inautawala ambao uko too harsh kwa wananchi na hawawajali wananchi(🐸)".

Kipi ni kipi hapo wakuu?

Karibuni.
 
Ukiangalia awamu ya tano na ya Sita kumekua na mzunguko hafifu wa fedha kwa wananchi... Pesa imepotea.

Ukilinganisha na awamu ya nne kurudi Nyuma inaonekana mzunguko wa pesa ulikua mkubwa mno(pesa ilikuepo).

Nimetafakari na kujiuliza maswali; "inawezekana awamu ya nne kurudi Nyuma tulikua na viongozi wanaotudekeza(dezodezo), ama hali ile ndio ilikua hali halisi ya maisha".

Pia nikawaza "inawezekana awamu ya tano na ya sita tupo chini ya viongozi wanaotimiza wajibu wao ipasavyo na hii hali tunayoiona ndio hali halisi inavyopaswa iwe hakuna anaekandamiza wala nini, na hii hali ya wananchi kuona maisha magumu ni denial stage tutaenda nayo na kufika hutua tunaizoea(tunaikubali) na kuishi nayo, ama awamu ya tano na ya sita ni inautawala ambao uko too harsh kwa wananchi na hawawajali wananchi(🐸)".

Kipi ni kipi hapo wakuu?

Karibuni
Kweli hali ya maisha ni ngumu sana.
Sababu kubwa ni mfumuko wa bei kuwa juu sana sambamba na kupotea kwa mzunguko wa pesa kunakosababishwa na wimbi kubwa la ufisadi.Awamu ya 5, hali ya maisha ilikuwa nzuri sana [''ni mtazamo wangu'']ukilinganisha na awamu ya4 na hii ya6,ambazo zinafanana kwa sifa ya mfumuko wa bei, ufisadi uliokithiri pamoja na kuwa na viongozi wabinafsi,wezi na wasiojali wananchi.
 
Ukiangalia awamu ya tano na ya Sita kumekua na mzunguko hafifu wa fedha kwa wananchi... Pesa imepotea.

Ukilinganisha na awamu ya nne kurudi Nyuma inaonekana mzunguko wa pesa ulikua mkubwa mno(pesa ilikuepo).

Nimetafakari na kujiuliza maswali; "inawezekana awamu ya nne kurudi Nyuma tulikua na viongozi wanaotudekeza(dezodezo), ama hali ile ndio ilikua hali halisi ya maisha".

Pia nikawaza "inawezekana awamu ya tano na ya sita tupo chini ya viongozi wanaotimiza wajibu wao ipasavyo na hii hali tunayoiona ndio hali halisi inavyopaswa iwe hakuna anaekandamiza wala nini, na hii hali ya wananchi kuona maisha magumu ni denial stage tutaenda nayo na kufika hutua tunaizoea(tunaikubali) na kuishi nayo, ama awamu ya tano na ya sita ni inautawala ambao uko too harsh kwa wananchi na hawawajali wananchi(🐸)".

Kipi ni kipi hapo wakuu?

Karibuni.
raaraaaaa reeeeeeeee hajaiona hii
 
Ukiangalia awamu ya tano na ya Sita kumekua na mzunguko hafifu wa fedha kwa wananchi... Pesa imepotea.

Ukilinganisha na awamu ya nne kurudi Nyuma inaonekana mzunguko wa pesa ulikua mkubwa mno(pesa ilikuepo).

Nimetafakari na kujiuliza maswali; "inawezekana awamu ya nne kurudi Nyuma tulikua na viongozi wanaotudekeza(dezodezo), ama hali ile ndio ilikua hali halisi ya maisha".

Pia nikawaza "inawezekana awamu ya tano na ya sita tupo chini ya viongozi wanaotimiza wajibu wao ipasavyo na hii hali tunayoiona ndio hali halisi inavyopaswa iwe hakuna anaekandamiza wala nini, na hii hali ya wananchi kuona maisha magumu ni denial stage tutaenda nayo na kufika hutua tunaizoea(tunaikubali) na kuishi nayo, ama awamu ya tano na ya sita ni inautawala ambao uko too harsh kwa wananchi na hawawajali wananchi(🐸)".

Kipi ni kipi hapo wakuu?

Karibuni.
mwijaku-1024x576.jpg
 
Point Nne;
Utangulizi; Angalau kuna awamu tuliona kinachofanyika hata ukibana mkanda unajua unachumia juani kulia kivulini kuliko awamu nyingine unaona unayonywa ili kufaidisha makupe ambayo hayatosheki hivyo kesho kuwa ngumu kuliko leo

Moja; tabia ya kujenga kwa awamu na sio kuwa na sera za muda mrefu inaweza kupelekea awamu fulani kufuja kilichojengwa nyuma au kukopa ili kunufaisha leo wakijua kesho msala ukitokea watakuwa hawapo

Mbili: Vitendea kazi vilivyopo leo (teknolojia na ukusanyaji mapato) ni advantage kubwa sana kwa awamu ambazo ni recent kuliko za kale hivyo tungetegemea mambo yawe rahisi zaidi kuliko huko nyuma ila inakuwa vice versa

Tatu: Bomu linalopandwa leo litakuja kuzipa shida awamu zinazokuja, sababu dunia ya sasa ambayo haiitaji nguvu kazi na ya automation na teknolojia hizi so called kufungua nchi kutawaacha watu wanakuwa watwana wasiomiliki njia zozote za kupata ujira wakati huo huo tuliowapa vyanzo hawahitaji nguvu kazi hence watu kubakia wategemea hisani

Nne: Its going to get worse ila huenda awamu zijazo itakuwa ngumu kwao kwa makosa yaliyofanyika leo na sio wao...
 
Maisha magumu yapo kwenye tafsiri ya kichwa cha mtu.Hata wakati wa Mkapa mlisemaga maisha magumu na kauli ikaibuka inayosema USAWA WA MKAPA
Wabongo wengi sisi ni wavivu na tuna nidhamu mbaya ya kifedha mambo yamebadilika kila kitu kinahitaji hela tofauti na zamani mtu ukiwa na unga matembele unayakuta nyuma ya nyumba na hata umalaya ulikuwa sio gharama sana kiasi kwamba uchunaji haukuwepo wa kiwango hiki.
Mambo yamebadilika ila tabia zetu za ulevi na umalaya bado tunakomaa nazo
 
Maisha magumu yapo kwenye tafsiri ya kichwa cha mtu.Hata wakati wa Mkapa mlisemaga maisha magumu na kauli ikaibuka inayosema USAWA WA MKAPA
Wabongo wengi sisi ni wavivu na tuna nidhamu mbaya ya kifedha mambo yamebadilika kila kitu kinahitaji hela tofauti na zamani mtu ukiwa na unga matembele unayakuta nyuma ya nyumba na hata umalaya ulikuwa sio gharama sana kiasi kwamba uchunaji haukuwepo wa kiwango hiki.
Mambo yamebadilika ila tabia zetu za ulevi na umalaya bado tunakomaa nazo
Wabongo wavivu? Ushaona hata ikitokea ajira moja ya kupata ujira wa bei ya kutupa watu wangapi wanajitokeza ? Am Sorry to say hii ni kauli ya mtu ambaye ameamu kufumba macho au ya aliyeshiba hence hamjui mwenye njaa....

1719075293632.png
 
Point Nne;
Utangulizi; Angalau kuna awamu tuliona kinachofanyika hata ukibana mkanda unajua unachumia juani kulia kivulini kuliko awamu nyingine unaona unayonywa ili kufaidisha makupe ambayo hayatosheki hivyo kesho kuwa ngumu kuliko leo

Moja; tabia ya kujenga kwa awamu na sio kuwa na sera za muda mrefu inaweza kupelekea awamu fulani kufuja kilichojengwa nyuma au kukopa ili kunufaisha leo wakijua kesho msala ukitokea watakuwa hawapo

Mbili: Vitendea kazi vilivyopo leo (teknolojia na ukusanyaji mapato) ni advantage kubwa sana kwa awamu ambazo ni recent kuliko za kale hivyo tungetegemea mambo yawe rahisi zaidi kuliko huko nyuma ila inakuwa vice versa

Tatu: Bomu linalopandwa leo litakuja kuzipa shida awamu zinazokuja, sababu dunia ya sasa ambayo haiitaji nguvu kazi na ya automation na teknolojia hizi so called kufungua nchi kutawaacha watu wanakuwa watwana wasiomiliki njia zozote za kupata ujira wakati huo huo tuliowapa vyanzo hawahitaji nguvu kazi hence watu kubakia wategemea hisani

Nne: Its going to get worse ila huenda awamu zijazo itakuwa ngumu kwao kwa makosa yaliyofanyika leo na sio wao...
Mkuu ume-analyze vyema... Wahenga wanasema "lisemwalo lipo kama halipo basi laja"

Cc. kwa wazee wa nchi wahakikishe mipango wanayoipanga na kuanza kuitekeleza ni thabiti.
Tatu: Bomu linalopandwa leo litakuja kuzipa shida awamu zinazokuja, sababu dunia ya sasa ambayo haiitaji nguvu kazi na ya automation na teknolojia hizi so called kufungua nchi kutawaacha watu wanakuwa watwana wasiomiliki njia zozote za kupata ujira wakati huo huo tuliowapa vyanzo hawahitaji nguvu kazi hence watu kubakia wategemea hisani
Swala la kufungua nchi naomba wajitathmini je wamejianda na kujipanga kisawasawa na matokeo yake. Potential za wazawa ziko Well secured (chaebol family zinaweza ku-compete na wageni) isije ikawa nchi inauzwa kweli?
 
Back
Top Bottom